Dar: Wabunge 19 wa Viti Maalum waliovuliwa uwanachama na CHADEMA, Kuongea na Wanahabari

Status
Not open for further replies.
ALERT
👉 CCM wamemuandalia Halima Mdee press conference kesho na ajenda ni kama ifuatavyo:-
  • Kuwa alipewa baraka zote na Mbowe kwenda kuapishwa na wenzake covid 19
  • Aliruhusiwa na Mbowe aandae list na iende NEC
  • Atasema Mbowe alikuwa analazimisha mademu zake wawekwe na yeye akakataa ndiyo maana kafukuzwa
  • Ataongea kuwa CHADEMA walikubali na yeye kwa kuwa ni mwenyekiti wa BAWACHA akakataa kuweka watu wasio jenga chama
  • Atasema CHADEMA kuna mfumo dume ambao haupendi kuona wanachama wanakua kisiasa
  • Atasema kuwa barua ilipelekwa TUME/NEC na Katibu Mkuu
  • Atatangaza kuwa yeye bado ni Mwenyekiti wa BAWACHA na ile secretariat yao ya BAWACHA haijafukuzwa
*MWISHO atasema kuwa wamehukumiwa bila kusikilizwa

HAYO NDIO YANAYOPANGWA MUDA HUU HUKO CCM NA MDEE NA BULAYA

=====

Wabunge 19 wa Viti Maalum waliovuliwa uwanachama na Chadema jana kwa tuhuma za usaliti, Kesho Jumapili Nov 29, 2020 wamepanga kuzungumza na waanahabari jijini Dar es Salaam.

Wabunge hao 19 ambao kwasasa kwa mujibu wa katiba ya Tanzania Ibara 67(b) wamekosa sifa za kuwa wabunge
Kama mambo yote yameshaelezewa hapa, hiyo press conference ina faida gani sasa.?
 
Kwa afya ya Nchi mwenyekiti wangu wa CCM akutane na hawa vyama rafiki ili maisha yaendelee. Tunachafuka sana sana.
Kama ilivyotokea kwa wale viti maalumu wa CUF CHADEMA watateua sasa wabunge halali wa viti maalumu na kuwasilisha majina yao.

CCM na Rais tutambue kwamba hivi vyama vingine ni muhimu kwa uhai wa Taifa lazma tuvijenge na pia.

Tuheshimu Viongozi wa vyama vyote kuna vitakataka ndani ya CCM eti vinamdharau Mbowe au Lissu au Maalim Seif. Hii ni laana.
CCM tumeiba tukashindishwa Sasa tutazame taifa linaenda wapi?!
Duh..........

Wanaccm mshaanza kuusema ukweli!
 
Hivi mbona kila mpango unaoandaliwa na CCM huwa unagonga ukuta na mwisho wanalazimisha ushindi kwa mabavu?

Ni upungufu wa watu wenye akili au ina viongozi wasio akili na wanawalazimisha wenye akili kufuata yao?
Mpango upi huo uliogonga ukuta? Mimi naiona CCM imetulia na inaendelea kutekeleza ilani ya uchaguzi 2020-2025 kwa kasi kubwa huku ikishuhudia upande wa pili wakigomba wenyewe kwa wenyewe.
 
mmelikoroga wenyewe mlinywe...msitake kuingiza wasio husika..eti wamepagiwa kusema yafuatayo!!!
 
Wazungu wanasema the damage is done pamoja na kwamba mnaona kama hakuna kilicho haribika, CDM inaelekea njia ya CUF, Lissu katimua, Lema katimua, Halima na Bulaya wameona bora na wao wakajitafutie maisha kimpango wao. Wa maana alie baki CDM ni mbowe peke yake. Ruzuku ndio imepotea, magu amebana kila kona kwaiyo wafadhili hela hamna.
Wewe endelea kuona giza, utakapofumbua macho utagundua kuwa hilo giza lilikuwa kwako mwenyewe. Amen.
 
Na kesi itachukua miaka mitano huku wakiwa bado ni wabunge Covid-19
Kwa chadema hiyo sio shida walipoamua walijua.muhimu kwao.haramu haiwezi kuzaa halali.
Heshima ya chadema imehifahiwa Kama matakwa ya wapiga kura wao walioibiwa kura yalivyotaka
 
Busara za kawaida zinamtaka Mdee na genge lake kwa sasa wachutame wasubiri muda kidogo upite then wawaombe msamaha Chadema na Watanzania kwa ujumla kwa ujinga na upuuzi waliofanyishwa na Job.

Otherwise-wategemee anguko kubwa sana na la fedheha mbele yao. By the way-Job na genge lake wanawatumia kwa sasa baadae kidogo watawatelekeza kwa fedheha sana.

God bless the dead.
Yes wangekuwa wanatumia akili zao...walitakiwa watulie sema now akili iko mtaa wa pili ngoja tuone

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Haya makoti ya vyama yanawanyima wanasiasa uhuru, kwa nini wasipewe uhuru wa kujiunga au kuanzisha chama muda wowote inapotokea kubanwa sana na wababe wenye vyama vyao, ndo maana hoja ya mgombea binafsi bado ina mashiko sana..
 
ALERT
CCM wamemuandalia Halima Mdee press conference kesho na ajenda ni kama ifuatavyo:-
  • Kuwa alipewa baraka zote na Mbowe kwenda kuapishwa na wenzake covid 19
  • Aliruhusiwa na Mbowe aandae list na iende NEC
  • Atasema Mbowe alikuwa analazimisha mademu zake wawekwe na yeye akakataa ndiyo maana kafukuzwa
  • Ataongea kuwa CHADEMA walikubali na yeye kwa kuwa ni mwenyekiti wa BAWACHA akakataa kuweka watu wasio jenga chama
  • Atasema CHADEMA kuna mfumo dume ambao haupendi kuona wanachama wanakua kisiasa
  • Atasema kuwa barua ilipelekwa TUME/NEC na Katibu Mkuu
  • Atatangaza kuwa yeye bado ni Mwenyekiti wa BAWACHA na ile secretariat yao ya BAWACHA haijafukuzwa
*MWISHO atasema kuwa wamehukumiwa bila kusikilizwa

HAYO NDIO YANAYOPANGWA MUDA HUU HUKO CCM NA MDEE NA BULAYA

=====

Wabunge 19 wa Viti Maalum waliovuliwa uwanachama na Chadema jana kwa tuhuma za usaliti, Kesho Jumapili Nov 29, 2020 wamepanga kuzungumza na waanahabari jijini Dar es Salaam.

Wabunge hao 19 ambao kwasasa kwa mujibu wa katiba ya Tanzania Ibara 67(b) wamekosa sifa za kuwa wabunge
Naamini kwa mara ya kwanza press conference hiyo ya covd 19, ya waliokuwa chadema itaonyeshwa live TBC.
 
ALERT
CCM wamemuandalia Halima Mdee press conference kesho na ajenda ni kama ifuatavyo:-
  • Kuwa alipewa baraka zote na Mbowe kwenda kuapishwa na wenzake covid 19
  • Aliruhusiwa na Mbowe aandae list na iende NEC
  • Atasema Mbowe alikuwa analazimisha mademu zake wawekwe na yeye akakataa ndiyo maana kafukuzwa
  • Ataongea kuwa CHADEMA walikubali na yeye kwa kuwa ni mwenyekiti wa BAWACHA akakataa kuweka watu wasio jenga chama
  • Atasema CHADEMA kuna mfumo dume ambao haupendi kuona wanachama wanakua kisiasa
  • Atasema kuwa barua ilipelekwa TUME/NEC na Katibu Mkuu
  • Atatangaza kuwa yeye bado ni Mwenyekiti wa BAWACHA na ile secretariat yao ya BAWACHA haijafukuzwa
*MWISHO atasema kuwa wamehukumiwa bila kusikilizwa

HAYO NDIO YANAYOPANGWA MUDA HUU HUKO CCM NA MDEE NA BULAYA

=====

Wabunge 19 wa Viti Maalum waliovuliwa uwanachama na Chadema jana kwa tuhuma za usaliti, Kesho Jumapili Nov 29, 2020 wamepanga kuzungumza na waanahabari jijini Dar es Salaam.

Wabunge hao 19 ambao kwasasa kwa mujibu wa katiba ya Tanzania Ibara 67(b) wamekosa sifa za kuwa wabunge
Wanawake wa shoka.
MDEE, BULAYA, MATIKO....
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom