Dar: TRL yabomoa nyumba kadhaa eneo la Buguruni

Dar: TRL yabomoa nyumba kadhaa eneo la Buguruni

Bravo. Safari ni hatua. Wimbo wa standard gauge railway tumeusikia miaka mingi na sasa JPM in action. Bravo Ngosha.
Sgr si hiyo hapo tazara???
Sisi tunayo tangu enzi za uhuru....
Na leo train ya kisasa ya watalii toka RSA imetua bongo.
 
Kura za ubunge za jimbo hili ziligawanyika kwa watu watatu yaani cdm, cuf na ccm walioshinda. Ukijumlisha kura za cuf na cdm kwa pamoja zilikuwa myingi kuzidi za ccm lakini katika principle ya simple majority ccm wakashinda!
Sasa siwezi kujua hapa ni nani anasomeshwa namba na ukweli kwa sasa familia nyingi hazina uhakika wa hata kula mlo mmoja hivyo shelter pekee ndio ilikuwa tumaini lililobakia. Kubomoa na nyumba si ajabu tukasikia tena tukio kama la mfanyabiashara wa vinywaji wa Dodoma!
Maelezo yako ni mazuri ndugu lakini ungeshauri kipi kifanyike ikiwa waathirika wamejenga katika eneo la reli ambalo wakati wowote shirika la reli litahitaji kuliendeleza.
 
Kura za ubunge za jimbo hili ziligawanyika kwa watu watatu yaani cdm, cuf na ccm walioshinda. Ukijumlisha kura za cuf na cdm kwa pamoja zilikuwa myingi kuzidi za ccm lakini katika principle ya simple majority ccm wakashinda!
Sasa siwezi kujua hapa ni nani anasomeshwa namba na ukweli kwa sasa familia nyingi hazina uhakika wa hata kula mlo mmoja hivyo shelter pekee ndio ilikuwa tumaini lililobakia. Kubomoa na nyumba si ajabu tukasikia tena tukio kama la mfanyabiashara wa vinywaji wa Dodoma!

Mmmmmmmmmmh
 
Wapelekwe mahakamani kwa kusababisha usumbufu kwa serikali, huu siyo muda wa kuleana tena
 
Wapelekwe mahakamani kwa kusababisha usumbufu kwa serikali, huu siyo muda wa kuleana tena
Kosa lao litakuwa kuisababishia hasara serikali. Maana pesa, nguvu na muda unaotumika hapo zingetumika kufanya shughuli nyingine za maendeleo.
 
Kura za ubunge za jimbo hili ziligawanyika kwa watu watatu yaani cdm, cuf na ccm walioshinda. Ukijumlisha kura za cuf na cdm kwa pamoja zilikuwa myingi kuzidi za ccm lakini katika principle ya simple majority ccm wakashinda!
Sasa siwezi kujua hapa ni nani anasomeshwa namba na ukweli kwa sasa familia nyingi hazina uhakika wa hata kula mlo mmoja hivyo shelter pekee ndio ilikuwa tumaini lililobakia. Kubomoa na nyumba si ajabu tukasikia tena tukio kama la mfanyabiashara wa vinywaji wa Dodoma!
Achana na vyama mkuu, ni lazima watanzania tutafute kuelewa badala ya kusubiri kulaumu wakati makosa ni yetu wenyewe. Ni mda wa kurudisha heshima na nidhamu
 
sijaelewa kwa nini wanavunja au ndio muelekeo wa 'city centre' yetu?kariakoo next lol
 
Watu wanapoanza kujenga Kwenye Hifadhi wasimamishwe.si kuna serikali za Mitaa?wengine hawajui sheria,sio kwamba Wote anafanya makusudi.Na kwa nini wahusika hawaweki beacons za kutosha ili kuonyesha eneo la hifadhi?ingesaidia sana.gharama ya kubomoa na athari zake ni kubwa sana kulinganisha na za kuweka beacons.
 
Wakuu,

NImepita hapa eneo la Buguruni kwenye kiwanda cha Said Salim Bakheresa & Co Ltd ambapo reli ya kati imekatiza kwenye barabara ya Mandela kuna zoezi la bomoabomoa linaloendeshwa na kampuni ya reli Tanzania (TRL) dhidi ya watu waliofanya maendelezo ndani ya eneo la reli, nmeshndwa kupiga picha ila kuna ulinzi mkali wa Jeshi la polisi na magari 2 ya maji ya kuwasha.
Lakini, Sheria inasemaje

RELI INAWEZA LETA MAZAO TOKA MOROGORO KUJA MPAKA SOKONI BUGURUNI. HUO UPUMBAVU ULIOBOMOLEWA UNAPELEKAGA HATA TAKWIMU YA MAPATO KILA MWISHO WA MWAKA ZISOMWE KATIKA MAKUSANYO ILI ISAIIDIE KATIKA KUCHANGIA BAJETI YETU HAFIFU. WAZUNGU WASHATUCHOKA TRUMP KAWATOLEA UVIVU MJUE.
 
Wakimaliza Buguruni wapite nyumba kwa nyumba mpaka tunyooke. Kosa moja jela miaka 10. Tuone kama kuna atayejenga holela. Kama Sophia Yanga katolewa chamani itakuwa hizo mbavu za mbwa hapo buguruni sijui tandale? bomoa mpaka wakazi wenyewe humo maana waafrika hatuendi bila mijeledi.
 
Kura za ubunge za jimbo hili ziligawanyika kwa watu watatu yaani cdm, cuf na ccm walioshinda. Ukijumlisha kura za cuf na cdm kwa pamoja zilikuwa myingi kuzidi za ccm lakini katika principle ya simple majority ccm wakashinda!
Sasa siwezi kujua hapa ni nani anasomeshwa namba na ukweli kwa sasa familia nyingi hazina uhakika wa hata kula mlo mmoja hivyo shelter pekee ndio ilikuwa tumaini lililobakia. Kubomoa na nyumba si ajabu tukasikia tena tukio kama la mfanyabiashara wa vinywaji wa Dodoma!
Kwa hiyo unatuwekea siasa humu au vipi? Kafie mbele huko na siku ukushindwa kunya pia utaweka hesabu cuf chadema na ccm. Akili za kushikiwa hizo
 
Back
Top Bottom