Dar: TRL yabomoa nyumba kadhaa eneo la Buguruni

Dar: TRL yabomoa nyumba kadhaa eneo la Buguruni

duuh!asa mwenye hiko kighorofa si ndio maisha alikuwa ashayapatia hapa mjini,kweli life is a wind,blows any side..
 
Nina hakika waliojenga maeneo ya hifadhi sio kwamba huwa hawana habari, ila mara nyingi watanzania huwa tunajitia moyo kusema hadi waje waanze kubomoa ni miaka mingapi, si leo wala kesho. miaka imeenda ndi hivo wenye eneo lao wamekuja. wabomoe tu hakuna namna nyngine.
 
Wakati serikali ikibomoa makaazi yenu, sisi huku ndo tumejengewa chini ya railway
a712e72d8c81bfca2996c6be98c59b79.jpg
 
duuh!asa mwenye hiko kighorofa si ndio maisha alikuwa ashayapatia hapa mjini,kweli life is a wind,blows any side..
Fungua video mkuu hicho kighorofa kilibomelewa toka miaka ya nyuma kilikuwa mbezi beach karibu na hifadhi ya vyanzo vya maji
 
Dar is no more safe to live...walijengaje na nani aliwaruhusu wajenge?
 
,KUA UYAONE'

Tatizo sisi Watanzania tumezoea mitelemko, wewe mwenyewe na akili zako unaenda unajenga karibu na vyanzo vya maji,juu kuna nyaya za umeme za 33KV au zaidi, ifadhi ya barabara, ifadhi ya reli ...unakuja unabomolewa unailaumu serikali au anataka fidia je ulitumwa akajenge hapo??
wengine wakisikia kuna mradi sehemu wanavamia ardhi ..ili baadae waje wilipwe fidia....kuna watu walifanya fojali kigamboni now viwanja vimewadodea. watanzania tunakiwa tubadilike
 
Unajua nikuombe ww unaekaa nyuma ya kibodi yako na kutoa kashfa nakukuakikishia Mkuu wa tanzagiza akikugusa direct lazima utanielewa kwa sasa uwezi Mungu awape nguvu wahanga
 
Back
Top Bottom