Mwadilifu Mdhulumiwa
JF-Expert Member
- Jul 22, 2021
- 419
- 630
Duu! Pole nyingi kwa wafiwa, Pia Shukurani nyingi kwa mola wetu na madaktari wote waliojaribu kupambania maisha ya viumbe hao!
Tuliwapenda na tukapenda kuwa nao lakini Mungu kawapenda zaidi!
Bwana Alitoa na Bwana Ametwaa Jina lake lihimidiwe!
Mola wetu azihifadhi roho zao pahala peponi . Amina!
Tuliwapenda na tukapenda kuwa nao lakini Mungu kawapenda zaidi!
Bwana Alitoa na Bwana Ametwaa Jina lake lihimidiwe!
Mola wetu azihifadhi roho zao pahala peponi . Amina!