Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,807
- 11,969
Mtoto Rehema ambaye ni pacha aliyekuwa amesalia baada ya mwenzake waliyetenganishwa kufariki dunia, naye ameaga Dunia katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), jana Agosti 11, 2022.
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano kwa Umma wa MNH, Aminiel Aligaesha amesema: "Ni kweli amefariki jana saa tano asubuhi".
Watoto hao walifanyiwa upasuaji wa kutenganishwa Julai Mosi, 2022, pacha wa kwanza, Neema alifariki Julai 10, 2022.
Pia soma:
Pacha waliotenganishwa, mmoja afariki dunia