Dar: Mvua kubwa sana imenyesha usiku wa kuamkia leo 21/01/2024

Mvua imeanza kunyesha tangu usiku wa manane wa jumamosi hadi alfajili ya jumapili. Acha ubishi bi mkubwa. Mvua imeharubu madaraja na mkazi ya raia na imeua raia.
Nimekwambia kafanye editing post namba moja, unanambia ubishi, sasa mbishi mimi au wewe?

Umk89na ulichokiandikqmpost ya kwanza? Nenda kajisome.

Punguani wahed.
 
Kuna nabii alitabiri,Dar kufikia mwezi Mei mwaka huu,itafunikwa na maji,kwamba kuna Tsunami itaipiga Dar.
Huenda hizi mvua ni maonyo ya mwisho.Watu wa Mungu watamuuliza Mungu ukweli wa unabii huu.Ila walio wengi waliposikia unabii huo,walimdhihaki mtoa unabii.

Biblia inasema "msiutweze unabii,bali zipimeni roho kama zimetokana na Mungu au la!
Kwanini hujawasemea mamlaka ya hali ya hewa waliotoa utabiri huo?

Kusudi la Mungu huyo ni nini haswa?
 
Naingia kwenye mada moja kwa moja. Mvua kubwa sana inanyesha mahali hapa sijapata kuona. Haki tangu nizaliwe sijawahi kushuhusia mvua kubwa kiasi hiki.

Srtikali ijiandae kukabiliana na adhari za mafuriko zitakazsababishwa na mafuriko haya kwani adri muda unavyoenda inazidi kuongezeka

Mara ya mwisho mvua iliponyesha ilingo'a madaraja na kuua watu watatu. Safari hii tujiandae kwa maafa zaidi.

Tuambie mahali ulipo hali ikoje na nini tutarajie baada ya mvua hii.

Nawasilisha.
Sio hapa Morogoro kweli? Niko Moro hapafai kabisa Ndugu yangu. Duh
 
Nimekwambia kafanye editing post namba moja, unanambia ubishi, sasa mbishi mimi au wewe?

Umk89na ulichokiandikqmpost ya kwanza? Nenda kajisome.

Punguani wahed.
Uliniambia niangalie saa wewe unajua mvua imeanza saa ngapi? Huko shule ulienda kusoma ujinga? Elimu ya zamani ilikuwa nzuri lakini wewe ilikupita. Uliishia tu kusoma korani ukaacha elimu dunia
 
Mvua huku Dar imesababisha maafa. Imesomba magari, nyumba na mali za raia na kubomoa madaraja. Serikali iingilie kati kurejesha mawasiliano ya barabara kwa kujenga madaraja ya muda.
 
Uliniambia niangalie saa wewe unajua mvua imeanza saa ngapi? Huko shule ulienda kusoma ujinga? Elimu ya zamani ilikuwa nzuri lakini wewe ilikupita. Uliishia tu kusoma koranj ukaacha elimu dunia


Kapten, unajua heading ya Uzi unasema "mvua kubwa sana inanyesha usiku huu" lakini umepost saa 12 alfajiri ambayo sio usiku.

Mvua kuanza kuonyesha usiku na wewe kupost saa 12 asubuhi sio shida. Tatizo linaanza hapo kuchukulia saa 12 kama usiku na awali haukutoa taarifa za mahali ulipo.

Ndio maana FaizaFoxy akashayri urekebishe post ya kwanza.

Shukran
 
Mvua huku Dar imesababisha maafa. Imesomba magari, nyumba na mali za raia na kubomoa madaraja. Serikali iingilie kati kurejesha mawasiliano ya barabara kwa kujenga madaraja ya muda.
Serikali ipi unayoisema ? Mimi nakwambia kifungu Cha maafa na dharula Huwa katika level ya kitaifa not kikata,wilaya au mtaa.

1. Madhara ya mvua Huwa yanachukuliwa kisiasa tu
2.
 
Kapten, unajua heading ya Uzi unasema "mvua kubwa sana inanyesha usiku huu" lakini umepost saa 12 alfajiri ambayo sio usiku.

Mvua kuanza kuonyesha usiku na wewe kupost saa 12 asubuhi sio shida. Tatizo linaanza hapo kuchukulia saa 12 kama usiku na awali haukutoa taarifa za mahali ulipo.

Ndio maana FaizaFoxy akashayri urekebishe post ya kwanza.

Shukran
Sawa mkuu. Siwezi kubadilisha tittle ya uzi. Nasubiri mods wakiamka waje kubadilisha. Asante kwa kunikumbusha mkuu.
 
Back
Top Bottom