benzemah
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 1,504
- 3,034
Mamlaka ya Hali ya Hewa TMA imetahadharisha uwepo wa mvua kubwa kwa Jiji la Dar es Salaam kwa siku ya kesho, Jumapili Novemba 12 2023.
Utabiri wa TMA unaonesha mvua hiyo itakayoenea hadi katika baadhi ya maeneo ya mikoa ya Tanga,
Pwani ikijumuisha visiwa vya Mafia na mikoa ya Lindi pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba.
Taarifa ya TMA imeandikwa:
"VIPINDI VYA MVUA KUBWA VINATARAJIWA KUJITOKEZA KATIKA MAENEO MENGI YA MIKOA YA TANGA, MOROGORO, PWANI (UKIJUMUISHA VISIWA VYA MAFIA) NA DAR ES SALAAM PAMOJA NA VISIWA VYA UNGUJA NA PEMBA."
Mvua hizo zitaleta athari za mafuriko kwa baadhi ya maeneo, pamoja na n kuathirika kwa baadhi ya shughuli za kiuchumi hivyo sekta na taasisi zinatakiwa kuchukua tahadhari.
Utabiri wa TMA unaonesha mvua hiyo itakayoenea hadi katika baadhi ya maeneo ya mikoa ya Tanga,
Pwani ikijumuisha visiwa vya Mafia na mikoa ya Lindi pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba.
Taarifa ya TMA imeandikwa:
"VIPINDI VYA MVUA KUBWA VINATARAJIWA KUJITOKEZA KATIKA MAENEO MENGI YA MIKOA YA TANGA, MOROGORO, PWANI (UKIJUMUISHA VISIWA VYA MAFIA) NA DAR ES SALAAM PAMOJA NA VISIWA VYA UNGUJA NA PEMBA."
Mvua hizo zitaleta athari za mafuriko kwa baadhi ya maeneo, pamoja na n kuathirika kwa baadhi ya shughuli za kiuchumi hivyo sekta na taasisi zinatakiwa kuchukua tahadhari.