Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,413
- 55,987
Lile jengo la nyuma ya DIT ndo juvenile jail ile!kabla ya kufika regencyKuna mtu aliwahi kuniambia kwamba karibia na DIT huku Dar kuna jela za watoto
Lile jengo la nyuma ya DIT ndo juvenile jail ile!kabla ya kufika regencyKuna mtu aliwahi kuniambia kwamba karibia na DIT huku Dar kuna jela za watoto
Huku kwa sasa ndo hvyo yaani mwanzoni kwa wanaonza na 6yrs shule!Ni kweli kabisa, nchi nyingine 21-22 unakamata first degree
Ngukufifyehata kama ndo uandike essay?
PakaziaMkuu kwa taarifa yako tu ni kwamba kwenye huu mtaa iliootokea hili tukio wamejazana wapemba wengi sana yani ni kama kamtaa kao, na hilo tukio limetokea kwenye nyumba ya mpemba na wana misimamo mikali ya kidini na hata wakati wa kujenga hapo mtaani unaambiwa wewe kama si muislamu utapigwa vita balaa!
Kingine kwenye haka kamtaa kao ndio pana familia ya moja ya wale magaidi /mashehe wa Zanzibar waliopo rumande, nyumba yake ilipigwa na bomu kipindi kile cha mabomu ya gongo la mboto.
Baadae tukaja kusikia na yeye ni moja ya wale waliokuwa wanafanya matukio ya kuua mapadri kule Zanzibar na jamaa alivyo hubishi.
Kwa hiyo pata picha huyo kijana akiwa mkubwa atakuwa vipi.
Haiko hivo, huyu kijana wa miaka 17 alijua fika matumizi ya hiyo bastola na madhara yake.Dogo anachomoka ,nakumbuka lugalo mwaka 1996 lishawai kutokea tukio kama hilo ,Mwanafunzi wa miaka 14 Alex alimpiga risasi kichwani mwanafunzi mwenzake lakini hakufungwa.
Madrasa zinaharibu sana watotoMiaka 17 yuko kidato cha tatu mbona amechelewa kuanza shule
Haiko hivo, huyu kijana wa miaka 17 alijua fika matumizi ya hiyo bastola na madhara yake.
Pia yawezekana huyo unaemsema wa miaka 14 labda mazingira ya tukio ndio yaliyomuokoa na kifungo
Akianza shule (darasa la 1)na miaka 7 atamaliza darasa la 7 akiwa na miaka 13Miaka 7 yupo la kwanza, maika 14 kama liza la saba, form 3 anatakiwa awe na miaka mingapi?
Sheria ya mtoto inamtambua kama mtoto maana ametenda kosa akiwa below 18 Na ukumbuke mtoto hafungwiWanavyokazana kumuita mtoto miaka 17 ni mtoto! Huyo ni kijana tena shababi sababu ameshabalehe na tayari ana demu kama sio mademu, aende tu Segerea akatumikie miaka yake kwa mujibu wa sheria.
Mtoto hafungwi kasome sheria ya mtotoBaba apewe adhabu ndogo ya 30 years, .Huyo kanjanja mwingine sijui mtoto afungwe tu maisha maana hayo ni mauaji ya kukusudia
Ile ni mahabusu ya watoto siyo jelaKuna mtu aliwahi kuniambia kwamba karibia na DIT huku Dar kuna jela za watoto
Acha ubaguzi na chuki.Mkuu kwa taarifa yako tu ni kwamba kwenye huu mtaa iliootokea hili tukio wamejazana wapemba wengi sana yani ni kama kamtaa kao, na hilo tukio limetokea kwenye nyumba ya mpemba na wana misimamo mikali ya kidini na hata wakati wa kujenga hapo mtaani unaambiwa wewe kama si muislamu utapigwa vita balaa!
Kingine kwenye haka kamtaa kao ndio pana familia ya moja ya wale magaidi /mashehe wa Zanzibar waliopo rumande, nyumba yake ilipigwa na bomu kipindi kile cha mabomu ya gongo la mboto.
Baadae tukaja kusikia na yeye ni moja ya wale waliokuwa wanafanya matukio ya kuua mapadri kule Zanzibar na jamaa alivyo hubishi.
Kwa hiyo pata picha huyo kijana akiwa mkubwa atakuwa vipi.
unataka ugomvi na waislamuMkuu kwa taarifa yako tu ni kwamba kwenye huu mtaa iliootokea hili tukio wamejazana wapemba wengi sana yani ni kama kamtaa kao, na hilo tukio limetokea kwenye nyumba ya mpemba na wana misimamo mikali ya kidini na hata wakati wa kujenga hapo mtaani unaambiwa wewe kama si muislamu utapigwa vita balaa!
Kingine kwenye haka kamtaa kao ndio pana familia ya moja ya wale magaidi /mashehe wa Zanzibar waliopo rumande, nyumba yake ilipigwa na bomu kipindi kile cha mabomu ya gongo la mboto.
Baadae tukaja kusikia na yeye ni moja ya wale waliokuwa wanafanya matukio ya kuua mapadri kule Zanzibar na jamaa alivyo hubishi.
Kwa hiyo pata picha huyo kijana akiwa mkubwa atakuwa vipi.
Sidhani kama alimpiga makusidi tusitumie hisia kali kwenye ili inawezekana alikuwa anachezea tu nakumbuka dogo 6 years old hivi zamani ashakuja na machine sitting room tukiwa familia yote watu walijificha adi kwenye kwenye friji nikamsikia mzee anamuomba aweke chini akiwa anachungulia kwa mbali kwenye kochi kwaiyo utoto una michezo mingi sana hatari.Duh huyu dogo ni jasiri na ana roho ngumu, unampiga mtoto mwenzio risasi na unambeba kumpeleka kwao na unadanganya amepigwa na shoti kwanza miaka 17 huyu si anajitambua kabisa sheria ifate mkondo wake tu .
basi wazazi wenye silaha tunzeni vizuri silaha zenu ili kuepusha madhara kama haya. R.I.P mtoto
Wewe ulikua A level ukiwa na 17?Miaka 17 -18 ni umri wa A level
At ceteris peribus...others remain constant umenikumbusha hili neno nilikuwa nalipenda balaaAkianza shule (darasa la 1)na miaka 7 atamaliza darasa la 7 akiwa na miaka 13
Ataanza kidato Cha Kwanza akiwa na miaka 14 then 16 atakuwa kidato Cha tatu
At ceteris peribus
Mtu mkubwa ndo kafanya dogo atakuwa kabebeshwa zigo tu.huyu dogo atakuja kuwa jambazi akiachwa mtaani huwezi mpiga risasi bado ukapata ujasiri wa kumbeba na kudanganya kapigwa na shoti ya umeme
kweli 17 ni umri wa mtoto ila kwa matendo haya huyu anajua alichokuwa anafanya wamlambe mvua za kutosha
wachumi bhna. 😌At ceteris peribus...others remain constant umenikumbusha hili neno nilikuwa nalipenda balaa