Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Said Meck Sadick amepiga marufuku mihadhara yote ya kidini inayokashifu na kukebehi imani za watu wengine, hadi hapo hali itakapokuwa shwari.
Ameonya pia dhidi ya waandishi na vyombo vya habari vinavyochochea udini kuacha mara moja kabla hatua husika hazijachukuliwa.
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Said Meck Sadick amepiga marufuku mihadhara yote ya kidini inayokashifu na kukebehi imani za watu wengine, hadi hapo hali itakapokuwa shwari.
Ameonya pia dhidi ya waandishi na vyombo vya habari vinavyochochea udini kuacha mara moja kabla hatua husika hazijachukuliwa.
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Said Meck Sadick amepiga marufuku mihadhara yote ya kidini inayokashifu na kukebehi imani za watu wengine, hadi hapo hali itakapokuwa shwari.
Ameonya pia dhidi ya waandishi na vyombo vya habari vinavyochochea udini kuacha mara moja kabla hatua husika hazijachukuliwa.
Hata hali ikiwa swari hatutaki kuona mashehe wakishika Biblia kwenye mihadhara yao na kuistafsiri wanavyotaka wao. Kila mtu ahubiri cha dini yake.
Aidha uelewa wako kwa jambo ulilosikia ni finyu au ni straight up muongo, period! Mkuu wa Mkoa sio pumbavu kiasi hicho eti aseme mihadhara ya kukashifu dini imesimamishwa mpaka hali itakapokuwa shwari....!hadi hapo hali itakapokuwa shwari.
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Said Meck Sadick amepiga marufuku mihadhara yote ya kidini inayokashifu na kukebehi imani za watu wengine, hadi hapo hali itakapokuwa shwari.
Ameonya pia dhidi ya waandishi na vyombo vya habari vinavyochochea udini kuacha mara moja kabla hatua husika hazijachukuliwa.Alipoulizwa hali itakapokuwa shwari waendelee alisema , katiba inaruhusu uhuru wa maoni ambao hauhatarishi amani ya nchi.
tv/radio imaan ndio virus wakuu.
Unajua great thinkers mnaonyesha kitu ambacho watu wengi wanakiongea mitaani kuwa wasomi wetu siku hizi hawana uwezo wa kufikiri critically, mnatukanana, mara radio iman mara nini, kama unaisiriza then you like it, haiwezekani ukakaa unasikiliza kitu usichokipenda.
Sisemi radio iman wanachofanya ni sahihi lakini kuna radio kama wapo hawana tofauti na radio iman, ila kama sipendi wanachosema natune kwingine, kama ukinitukana wakati sijasikia it doesn't affect me.
Angalia Radio tumaini is my best radio katika vipindi mbali mbali mimi ni mwislam lakini nasikiliza vipi vile vilivyotengenezwa kwa ajiri ya watu wote, wakiweka walivyotengeneza kwa ajiri ya wakristu then natune kwingine.
Tunachofanya hapa ni kuzidisha chuki wenyewe kwa wenyewe kwa matusi yasiyo na kichwa wa mguu.
Critical thinkers anaangalia na kufikiri mara mbili kabla ya kuropoka, hivi mnavyotukanana mnafikiri mnaondoa tatizo au mnaliongezea, fikirieni kama wasomi kwa kutafuta solution ya tatizo hili
Huyo mkuu wa mkoa ndio kasema hayo maneno (kwenye red). Kwamba mihadhara kwa sasa ni marufuku LAKINI hali ikiwa shwari mihadhara hiyo inaweza kuendelea! Kama sio mzaha ni nini? Haya, hii ni kwa Dar es Salaam, vipi Kigoma na mikoa mingine? Au hii amri ni kwa nchi nzima?
Kwa hapa tulipofikia, kama Bunge halikupitisha sheria inayokataza mtu au kikundi cha watu wa dini moja kukashfu dini nyingine, basi machafuko lazima yatatokea, tena yatakuwa makubwa. Na hadi sasa hakuna anayeweza kunishawishi kuwa wakubwa wana nia ya dhati ya kutatua tatizo la udini.
Tukumbuke, wanaoleta vurugu sio wale wanaokashfiwa, au wanaochomewa majegno yao ya ibada, bali wale wale wanaokashfu. Wanahubiri kashfa na dhihaka kwa dini nyingine, na wakitoka hapo wanaenda kuchoma majengo ya hao hao waliokuwa wanakashfu. Makanisa zaidi ya 25 yamechomwa bado viongozi wapo kimya!
Nirudie kuuliza, ni vigezo gani vilivyotumika kulifungia gazeti la Mwanahalisi, na kuacha Radio Imaan na gezeti la Al-Noor liendelee na campaign zake? Hivi tuamini kuna nia ya dhati ya kutatua tensio za kidini?
Unajua great thinkers mnaonyesha kitu ambacho watu wengi wanakiongea mitaani kuwa wasomi wetu siku hizi hawana uwezo wa kufikiri critically, mnatukanana, mara radio iman mara nini, kama unaisiriza then you like it, haiwezekani ukakaa unasikiliza kitu usichokipenda.
Sisemi radio iman wanachofanya ni sahihi lakini kuna radio kama wapo hawana tofauti na radio iman, ila kama sipendi wanachosema natune kwingine, kama ukinitukana wakati sijasikia it doesn't affect me.
...
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Said Meck Sadick amepiga marufuku mihadhara yote ya kidini inayokashifu na kukebehi imani za watu wengine, hadi hapo hali itakapokuwa shwari.
Ameonya pia dhidi ya waandishi na vyombo vya habari vinavyochochea udini kuacha mara moja kabla hatua husika hazijachukuliwa.Alipoulizwa hali itakapokuwa shwari waendelee alisema , katiba inaruhusu uhuru wa maoni ambao hauhatarishi amani ya nchi.
Mkwara wa kizamani!!Redio iman ifungiwe kwanza kama onyo, statement ilitakiwa kusomeka hivi-tunaifungia hadi hapo itakapojirekebisha,hii ya kumtishia kumkimbiza mtu uliyesimama naye ni dalili ya uoga.