BHULULU
JF-Expert Member
- Jun 28, 2012
- 4,994
- 2,045
Akitaka kucheza ngoma ya ukweli aifungue hiyo redio. Anadhan kama madhaifu mwanahalisi hiyo redio
wewe siyo mzima!
Akitaka kucheza ngoma ya ukweli aifungue hiyo redio. Anadhan kama madhaifu mwanahalisi hiyo redio
..... amepiga marufuku mihadhara yote ya kidini inayokashifu na kukebehi imani za watu wengine, hadi hapo hali itakapokuwa shwari.
.......Alipoulizwa hali itakapokuwa shwari waendelee alisema , katiba inaruhusu uhuru wa maoni ambao hauhatarishi amani ya nchi.
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Said Meck Sadick amepiga marufuku mihadhara yote ya kidini inayokashifu na kukebehi imani za watu wengine, hadi hapo hali itakapokuwa shwari.
Ameonya pia dhidi ya waandishi na vyombo vya habari vinavyochochea udini kuacha mara moja kabla hatua husika hazijachukuliwa.Alipoulizwa hali itakapokuwa shwari waendelee alisema , katiba inaruhusu uhuru wa maoni ambao hauhatarishi amani ya nchi.[/QUOTE
JK yuko wapi? Nilifikiri yeye ndie wa kupiga marufuku mihadhara hiyo nchi nzima ikiwa ni pamoja na kuifungia Radio Iman na gazeti la Al Noor. Lakini wapi Mtu dhaifu siku zote anakaa kimya akiwaacha wenzie wajichanye na yeye huibuka mwishoni ili kujipatia umaarufu kama alivyofanya kwenye suala la Katiba mpya. "Tumefika hapa kwa sababu ya Udhaifu wa JK, Uzembe wa Bunge na ubovu wa CCM" JJ Mnyika
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Said Meck Sadick amepiga marufuku mihadhara yote ya kidini inayokashifu na kukebehi imani za watu wengine, hadi hapo hali itakapokuwa shwari.
Ameonya pia dhidi ya waandishi na vyombo vya habari vinavyochochea udini kuacha mara moja kabla hatua husika hazijachukuliwa.Alipoulizwa hali itakapokuwa shwari waendelee alisema , katiba inaruhusu uhuru wa maoni ambao hauhatarishi amani ya nchi.
Msikilizeni aliyekuwa kadhi wa somalia
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Said Meck Sadick amepiga marufuku mihadhara yote ya kidini inayokashifu na kukebehi imani za watu wengine, hadi hapo hali itakapokuwa shwari.
Ameonya pia dhidi ya waandishi na vyombo vya habari vinavyochochea udini kuacha mara moja kabla hatua husika hazijachukuliwa.Alipoulizwa hali itakapokuwa shwari waendelee alisema , katiba inaruhusu uhuru wa maoni ambao hauhatarishi amani ya nchi.
Hapo mkuu wa mkoa atakuwa ameongeza vibaka maana Yesu si Mungu ndiyo ilikuwa ajira yao ya kukusanya sadaka
Kwa tamko hilo ina maana hali itakapokuwa shwari ruksa kendelea na mihadhara ya aina hiyo ya kukashifu imani za watu? Mimi niliratajia amri hiyo iwe kali yaani kupiga marufuku aina ya mihadhara hiyo milele!!Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Said Meck Sadick amepiga marufuku mihadhara yote ya kidini inayokashifu na kukebehi imani za watu wengine, hadi hapo hali itakapokuwa shwari.
Ameonya pia dhidi ya waandishi na vyombo vya habari vinavyochochea udini kuacha mara moja kabla hatua husika hazijachukuliwa.Alipoulizwa hali itakapokuwa shwari waendelee alisema , katiba inaruhusu uhuru wa maoni ambao hauhatarishi amani ya nchi.
Serikali inafanya makosa makubwa kuacha hii Redio WAPO ndio chanzo ni kashfa na matusi makubwa kwa viongozi wa kiislam.
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Said Meck Sadick amepiga marufuku mihadhara yote ya kidini inayokashifu na kukebehi imani za watu wengine, hadi hapo hali itakapokuwa shwari.
.