Dar: Mihadhara ya kidini yapigwa marufuku!

Dar: Mihadhara ya kidini yapigwa marufuku!

acha kuchangia kama muhuni, kama kupiga marufuku mihadhara haisaidii basi toa pendekezo. Usiandike kama upo form two C

Waislamu sasa hivi wanatumia misikitu kumwaga sumu, wanatumiana SMS pia. Kupiga marufuku mihadhara haisaidii.
 
safi sanaaa
~manzese
~ ubungo mataa
~ buguluni
~ mwenge
~ temeke n.k
Stop wapinga kristu
AMANI INATAKUWEPO
safi RC

V
SENGEREMA

Mkuu Rc ametoa tamko la kisiasa.

Alitakiwa kuwa specific, kwamba atakayeanya moja, mbili, tatu, atakumbwa na adhabu .......

Redio flani na redio flan na tv ..... Kuanzia sasa zinatakiwa ......................vinginevyo ............

Mtu yeyote atakaepatikana akikashifu iman ya mtu mwingine na ikathibitishwa adhabu yake ni ........


Alichokifanya Rc ni kucheza na akili za watu hakuna lolote hapo ni siasa tu.
 
Mkwara wa kizamani!!Redio iman ifungiwe kwanza kama onyo, statement ilitakiwa kusomeka hivi-tunaifungia hadi hapo itakapojirekebisha,hii ya kumtishia kumkimbiza mtu uliyesimama naye ni dalili ya uoga.

Hamna jipya VIKOJOZI nyie, katafuteni misahafu mukojolee!Dua la kuku hilo...radio imaan ndo kwanza ina dunda na itazidi kudunda.Inawapa kweli hakuna unafiki aka ELIMU BILA MIPAKA.
 
watamuua njaa cecil simbaulanga na ndimbo kwa ajira yao ya muhamad si mtume.

awajamaa wanakimudu kile kitabu kilchokojolewa.wanakijua in out wakisoma zile aya ya wenye ****** makubwa na mtt wa miaka 9 kutumika kumliwaza mzee.wapinzan wanafyta
 
Mkuu hizo Radio huwa zinasaidia sana kuondoa majini na mapepo ambayo nyie huwa mnayafuga, pia kwa kufanya hivyo nazo ni janga la kitaifa?

Mkuu, Mtu akikuchunguza anaweza kuta unadigrii na hata masters ya mkopo wa Heslb ambao hata haujaanza kuurudisha. Halafu Haya ndo mawazo yako.
 
Ni sawa na kutibu kansa ambayo tayari imeshasambaa mwilini.

Viongozi wa nchii ni kama wako likizo.Wako makini kudhibiti chadema na sio mihazara ya kidini.

It is already too late.
unategemea nini? hapa sheik jakaya,pale shehe mwema,pale alhaji ighondu,pale sheik .. hakuna kuwaza juu ya maslahi ya nchi zaidi ya kuwaza kuwa sasa ni zamu yao.viongozi walikuwepo enzi hizo bwana, akina Mahitta hawakuwa na mzaha na watu walio kuwa wanachezea amani ya NCHI.
 
Mkuu Rc ametoa tamko la kisiasa.

Alitakiwa kuwa specific, kwamba atakayeanya moja, mbili, tatu, atakumbwa na adhabu .......

Redio flani na redio flan na tv ..... Kuanzia sasa zinatakiwa ......................vinginevyo ............

Mtu yeyote atakaepatikana akikashifu iman ya mtu mwingine na ikathibitishwa adhabu yake ni ........


Alichokifanya Rc ni kucheza na akili za watu hakuna lolote hapo ni siasa tu.
Kwani sheria inampa hayo mamlaka?
 
Kuna yale mamihadhara hapo magomeni kwa wauza kahawa, kazi hawana wanga wakubwa
 
To late redio Imani na lile gazeti vinaendelea kupeta.This DHAIfu Govt bwana!
 
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Said Meck Sadick amepiga marufuku mihadhara yote ya kidini inayokashifu na kukebehi imani za watu wengine, hadi hapo hali itakapokuwa shwari.

Ameonya pia dhidi ya waandishi na vyombo vya habari vinavyochochea udini kuacha mara moja kabla hatua husika hazijachukuliwa.

kwa hyo hali ikishakuwa shwari mihadhara ya namna hyo iendelee syo??? amakweli nchi haina uongozi bali magenge ya waoga na walinda maovu
 
Utafanya nini wewe yahe,wewe ni mtawaliwa tu.Unajitutumua wakati huna lolote!


Umemjibu vizuri. Tena anajitutumua akiwa uvunguni mwa kitanda! Hawa sijui wanafanya kazi saa ngapi kwa kweli!! Sitaki hata kuamini ikiwa maana ya Islam ni "amani" halafu waumini ndo wanakuwa na akili fupi namna hii!!! Au wao wanatafsiri gani kuhusu neno "amani"??
 
Hapo mkuu wa mkoa atakuwa ameongeza vibaka maana Yesu si Mungu ndiyo ilikuwa ajira yao ya kukusanya sadaka

We acha tu. Kama amesema dini zote, kweli matapeli (waganga njaa) watumiao jina la Yesu wamelala njaa. Na akumbuke kupiga marufuku mahubiri kwenye mabasi, maana nilisafiri toka Mwanza -Dar ilikuwa ni Tabu. Tofauti na mahala pa wazi, kwenye basi kushuka huwezi inakuwa kama uko kifungoni na hata ukishuka nauli hutarudishiwa. Unalazimika kusikiliza matapishi tu.
 
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Said Meck Sadick amepiga marufuku mihadhara yote ya kidini inayokashifu na kukebehi imani za watu wengine, hadi hapo hali itakapokuwa shwari.

Ameonya pia dhidi ya waandishi na vyombo vya habari vinavyochochea udini kuacha mara moja kabla hatua husika hazijachukuliwa.

Kwa hiyo hali ikiwa shwari KUKEBEHI na KUKASHIFU kutaruhusiwa kuendelea tena? Nisaidieni kwani uelewa wangu mdogo
 
Back
Top Bottom