Dar: Mihadhara ya kidini yapigwa marufuku!

Dar: Mihadhara ya kidini yapigwa marufuku!

mkuu tamko zito kama hilo lingetolewa na mkuu wa kya sio bwana mdogo mkuu wa mkoa. Tatizo la mihadhara ni la Tanzania nzima sio dra pekee.
 
Hadi ari itapokuwa shwari? ina maana ikiwa shwar wanaruhusiwa kuendelea na kashfa?
 
Mimi nadhani kuna tatizo la msingi la namna baadhi ya viongozi wa dini ya kiislam wanavyotransmit mafundisho ya MWENYEZI MUNGU NA MTUME KWA WAFUASI WAO. Hivi ni kweli mafundisho ya quran na hadith za mtume hazihimizi subira na kuvumiliana? Upendo kwa jirani na amani vina nafasi gani katika mafundisho ya Kiislamu?
 
kauli na majibu yanayotolewa na wakristo humu Jf ni ya kukera mno, kwa hali hii tunakoelekea kitaeleweka tu.
 
Masikini tanzania! Sijui tunaelekea wapi? Kila mtu amekuwa na lake, na kila mtu anapambana kushinda na mbaya zaidi ni mashindano ya kiimani. Poor tz government.
 
Serikali inafanya makosa makubwa kuacha hii Redio WAPO ndio chanzo ni kashfa na matusi makubwa kwa viongozi wa kiislam.
Wapo radio, Ufalme wao si wa hii Dunia!Huwaoni wanaotaka ufalme duniani walivyo taka kuvamia Ikulu?
 
Huu ni upumbavu wa hali ya juu. Mihadhara ingepigwa marufuku nchi nzima na radio imamu ifungwe haraka sana.
 
Bado hawako serious, mihadhara ya kukashfu dini za watu wengine ifungwe ina maana baadaye tena iruhusiwe? Waache masihara na uhai wa watu.
 
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Said Meck Sadick amepiga marufuku mihadhara yote ya kidini inayokashifu na kukebehi imani za watu wengine, hadi hapo hali itakapokuwa shwari.

Ameonya pia dhidi ya waandishi na vyombo vya habari vinavyochochea udini kuacha mara moja kabla hatua husika hazijachukuliwa.


Itakuwa ni Bure iwapo mtu atachukua kipaza sauti asubuhi asubuhi au jioni na kuingia Msikitini/kanisani na kuanza kutukana watu na dini zao.
 
Kumekucha, walio na hofu zaidi ni Waganga njaa. Matapeli watumiao jina la Yesu kula kilaini. Mimi sipo, msije mkaniomba mkopo. Na zile pesa mlizomkopa nanihii za kununulia Maspika mrudishe haraka. Usiniulize utapata wapi pesa, ukitaka kamuombe RC agairishe kupiga marufuku mpaka mwezi ujao.
 
Kama uislaam usingekuwepo, dunia ingekuwa ni mahari salama pa kuishi.
 
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Said Meck Sadick amepiga marufuku mihadhara yote ya kidini inayokashifu na kukebehi imani za watu wengine, hadi hapo hali itakapokuwa shwari.

Ameonya pia dhidi ya waandishi na vyombo vya habari vinavyochochea udini kuacha mara moja kabla hatua husika hazijachukuliwa.

Ahaa, hali ikiwa shwari Mihadhara ya kukashifu dini za wengine na vyombo vya habari vya vinavyochochea udini RUKSA!
 
Hata hali ikiwa swari hatutaki kuona mashehe wakishika Biblia kwenye mihadhara yao na kuistafsiri wanavyotaka wao. Kila mtu ahubiri cha dini yake.

Hapo kwenye red, kumbe mashehe wanasoma injili ya Yesu kristo? Safi sana kukaa na biblia inaonyesha kuwa neno la MUNGU linawaingia akilini. Vitabu vyao (quran) ni maandshi yasioeleweka. Hivyo lazima wasome biblia ili kumfahamu Yesu kristo. Tena mimi nitawanunulia hata biblia 100 niwape bure ili neno la bwana MUNGU wetu lienee kotekote hadi misikitini.
 
The words of a wise man's mouth are gracious, but the lips of a fool shall shallow him up!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom