Dar: Mihadhara ya kidini yapigwa marufuku!

Dar: Mihadhara ya kidini yapigwa marufuku!

Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Said Meck Sadick amepiga marufuku mihadhara yote ya kidini inayokashifu na kukebehi imani za watu wengine, hadi hapo hali itakapokuwa shwari.

Ameonya pia dhidi ya waandishi na vyombo vya habari vinavyochochea udini kuacha mara moja kabla hatua husika hazijachukuliwa.Alipoulizwa hali itakapokuwa shwari waendelee alisema , katiba inaruhusu uhuru wa maoni ambao hauhatarishi amani ya nchi.


Mnacho shindwa kuelewa kati ya dini ya hizi mbili ni kuwa , kwa waislam wao kuuliwa kwa kupigania dini yao kuna malipo makubwa sana mbele ya Mungu, na ndani ya Qur-an kumesisitizwa kufa kwa kupigania dini yao, kwa wakristo hicho kitu hakipo, na hawana malipo mema wanapo pigania dini yao. Kwa maana hiyo basi waislamu wao kufa hawaogopi na wanapenda kufa kwa kupigania dini yao
 
Yakhe,uongozi wa nchi ni ndhaifu,choche chonde wakristo,tuambieni tufanyaje ili kuweza pata uongozi imara.
 
Jamani hawa wenzetu tatizo lao ni Shule maana wamekulia madrassa na akili zao zinanuka harufu ya chuki.
 
bora tu wafute kabisa, wana haribu amana ya nchi yetu tu hawa
 
Kweli kichapo noma, nipo mitaa ya kariakoo huku, kila mtu ninayekutana naye, waarabu hadi wapemba nawasalimia"
asalaam aleykum" lakini wao wanajibu "milele amina"
 
Kweli kichapo noma, nipo mitaa ya kariakoo huku, kila mtu ninayekutana naye, waarabu hadi wapemba nawasalimia"
asalaam aleykum" lakini wao wanajibu "milele amina"
Mwingine kanijibu "Peace and Love" si mchezo.
 
Mheshimiwa mkuu wa mkoa wa Dar 'Hakuna wakati wowote unaoruhusu mtu/watu kuendesha mihadhara ya kukashifu imani ya mwingine/wengine. Uhuru wa kutoa maoni utofautishwe na kashfa za imani.
 
Mnacho shindwa kuelewa kati ya dini ya hizi mbili ni kuwa , kwa waislam wao kuuliwa kwa kupigania dini yao kuna malipo makubwa sana mbele ya Mungu, na ndani ya Qur-an kumesisitizwa kufa kwa kupigania dini yao, kwa wakristo hicho kitu hakipo, na hawana malipo mema wanapo pigania dini yao. Kwa maana hiyo basi waislamu wao kufa hawaogopi na wanapenda kufa kwa kupigania dini yao
Ili wakapate wanawake wenye macho kama VIKOMBE.
 
Kwa hii Team watafanya watakalo tu hadi hapo……..

Rais wa Tanzania Jakaya Khalfan Kikwete
Makamu wa Rais-Ghalib Bilal
Jaji mkuu wa Tanzania-Mohamed Chande Othman
Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania-Hussein Kattanga
IGP Tanzania –Said Mwema
Kanda Maalum (polisi) Dar Suleiman Kova

List inaendelea
 
This Cow must be specific what he meant by mihadhara ya kashifa.
 
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Said Meck Sadick amepiga marufuku mihadhara yote ya kidini inayokashifu na kukebehi imani za watu wengine, hadi hapo hali itakapokuwa shwari.

Ameonya pia dhidi ya waandishi na vyombo vya habari vinavyochochea udini kuacha mara moja kabla hatua husika hazijachukuliwa.Alipoulizwa hali itakapokuwa shwari waendelee alisema , katiba inaruhusu uhuru wa maoni ambao hauhatarishi amani ya nchi.

Ameshindwa kupiga marufuku Redio Imani ambayo ndio mchochezi mkubwa wa dini,mimi nadhani yeye naye ni sehemu ya matatizo na inawezekana ni mwanachama wa UAMSHO
 
Mnacho shindwa kuelewa kati ya dini ya hizi mbili ni kuwa , kwa waislam wao kuuliwa kwa kupigania dini yao kuna malipo makubwa sana mbele ya Mungu, na ndani ya Qur-an kumesisitizwa kufa kwa kupigania dini yao, kwa wakristo hicho kitu hakipo, na hawana malipo mema wanapo pigania dini yao. Kwa maana hiyo basi waislamu wao kufa hawaogopi na wanapenda kufa kwa kupigania dini yao

Halafu bado wanaiita Quraan ni tukufu ,huo utakatifu unatoka wapi wakati kuuwa mtu ni dhambi kubwa isiyosameheka mbele ya Mwenyezi Mungu
 
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Said Meck Sadick amepiga marufuku mihadhara yote ya kidini inayokashifu na kukebehi imani za watu wengine, hadi hapo hali itakapokuwa shwari.

Ameonya pia dhidi ya waandishi na vyombo vya habari vinavyochochea udini kuacha mara moja kabla hatua husika hazijachukuliwa.Alipoulizwa hali itakapokuwa shwari waendelee alisema , katiba inaruhusu uhuru wa maoni ambao hauhatarishi amani ya nchi.
Ni kweli katiba inatoa uhuru wa kutoa maoni lakini viongozi hao wanapaswa kufahamu na kusimamia mikusanyiko ikiwa ni pamoja na kutoruhusu mikutano isiyokuwa na kibali maalum pamoja na kuhakiki sehemu inakofanyika hiyo mikusanyiko bila kujali ikiwa ni ya kisiasa ama ya ni ya dini kwa namna wanavyoidhibiti mihadhara ya kisiasa na hata hii ya dini ingedhibitiwa kwa jinsi hiyohiyo lengo likiwa ni kulinda na kudumisha amani,kwani kuna sehemu maalum zinazojulikana kufanyia mihadhara na ambazo hazihitaji vibali ambavyo ni makanisa na misikiti.lakini siyo mtu aamue kufunga barabara ama sehemu ambayo siyo rasmi kwa ajili ya kisingizio cha dini matokeo yake itafika wakati watu watakwenda kusimama nje ya majengo ya ibada na hapo watawasubiri watu wa mtizamo tofauti wa kiimani waanapotoka kwenye ibada zao na hapo waanze kuwakashifu kwa kisingizio cha uhuru wa kutoa maoni mahali popote halafu ndipo tutakurupuka na kupiga marufuku mihadhara isiyokuwa rasmi wakati watu watakuwa washaumia....viongozi chukueni hatua mapema kabla ya maafa.
 
Kwikwikwikwikwi!!!!!!!!!!!khakhakahka mkuu wa mkoa hajasema ukweli aseme amepiga marufuku mihadhara ya kiislamu ambayo inakashifu wakristu,na radio iman nayo haitasikika dsm???mmewafuga wenyewe mpaka wanawapiga mkwara sasa mnalia nini??boco haram hawa!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom