Dar: Meli yenye magari 3,743 yawasili bandarini ikitokea Japan

urefu viwanja viwili vya mpira, Endeleeni kupambana na CHADEMA, kuja kufika huku labda YESU atakuwa kisharudi
 
Huo muda ndio gari ya mwisho inatoka melini kumbuka kuna kujaza clearance hapo kusachi stowaway kufunga lamp pilot nae apande melini ili iondoke ni kazi lisaa lizima mbele
 
Mkuu TUJITEGEMEE,

I hope ulisoma ule uzi wangu kuhusu Bandari ya Bagamoyo!!

Uzi ule ulibeba findings za research kuhusu Belt & Road Initiative ya China ambayo ndiyo imezaa Mradi wa Bandari ya Bagamoyo, na Infrastructure Projects zingine kadhaa za Mchina kote duniani!!

Kama unakumbuka, nilisema wazi kwamba moja ya changamoto ambayo tuliipata kwenye ile research ni ukiritimba wa watu kugoma kuonesha official docs!! Na linapokuja suala la mikataba, we all know serikali wamekuwa wagumu sana kuitoa... hili suala limekuwa likilalamikiwa na wabunge miaka nenda rudi!!!

Jambo ambalo tulifanikiwa kupata ni kile kile kinachofanywa siku zote! Kwamba, baadhi ya watendaji walikuwa tayari kuongea off-records lakini sio kutoa docs!! Yaani ingawaje doc yenyewe ilikuwa imesha-expire lakini bado ilikuwa treated, na bila shaka bado inakuwa treated as confidential doc!!

So, no one was ready to reveal it to Beberu (An American Researcher)!!

Lakini ingawaje hatukupata hizo doc but through off-record, lakini tuliweza kufahamu mambo ya msingi yaliyokuwa highlighted!!!

Ujinga wa hili jambo, hata mimi mwenyewe nashindwa kulielezea kwa undani, na ndo maana ingawaje hii research ilikuwa way back in 2016 lakini nilishindwa kusema lolote hadi 2021, na ndipo angalau nikasema machache kutokana na Strict NDA ambayo nimesaini!!
 
Huo muda ndio gari ya mwisho inatoka melini kumbuka kuna kujaza clearance hapo kusachi stowaway kufunga lamp pilot nae apande melini ili iondoke ni kazi lisaa lizima mbele
Mkuu naongelea operation time tu, muda uliotumika kutoa gari ya kwanza mpaka ya mwisho. Mambo ya kusaini documents, booking pilot,search for stowaway na kufungua meli hatuweki kwenye operation tutakuja kuweka kwenye ship dwell time.

Kiufupi meli imetumia muda mrefu kushusha hizo unit 3784 za magari kwa muda wa saa ~33 either kuwe na sababu kama manpower( idadi ndogo ya madereva,makarani, inspection, security n.k), baadhi ya gari kuja na mechanical fault ambazo zinahitaji technicians au msaada wa kuboost au kuvutwa, stowage allocation na sababu nyingine ambazo hatuzijui.

Hesabu hazidanganyi mkuu, kama waweza weka minimum/maximum manpower (idadi ya drivers waliofanya kazi per shift) kisha tukokotoe hapa tupate Makadirio ya wastani ya gari zilizoshuka Kwa saa/shift.

Kwa hayo masaa performance ni ya kawaida Sana.
 
Siku moja nitaenda kutalii bandarini, nione hizo meli zinavyofanana, kwa kweli sikuwahi kufikiri kama meli inaweza kubeba magari mengi kiasi hicho
Bado hiyo ni ndogo... Kuna zinazobeba zaidi na ukubwa wake ni kama viwanja vinne vya mpira
 
Kuna yenye urefu wa mita 458 ambayo ni kama nusu kilomita
 
Mbona hii meli imewahi kuja Bandari ya hapo hapo Dar es Salaam kipindi cha nyuma ?

Nini kimebadilika mpaka iwe habari ?

Naomba ufafanuzi tafadhali !
Kilichobadilika ni kwamba imebeba magari mengi tu basi......
 
Itabidi maza ashughulike hiyo kero kwa kuwawajibisha wahusika.
Ndugu hakuna mahala paajabu kama port kunakulindana kwa hali ya juu, lakini asikufiche mtu pangepata mtu mahususi ni mahala pangeingiza kipato kikubwa sana serekalini mwetu kwakweli.
Usafi,huduma,uangalizi bora,vifaa vinafujwa kiasi ukiona unaweza kulia, Fork lift ikiwashwa mwanzo wa shift mpaka iishe haijazimwa mafuta yanaungua tu hata ikiwa stand by, siku ukikuta machine zimeoshwa jua Raisi anakuja port.
Pale ni zaidi ya shamba la bibi.
 
Inakua Bandari ya kwanza duniani kupokea magari mengi kwa wakati mmoja. Hongera sana
 
Meli haitii nanga bandarini acheni ujinga nanga unatosa nje anchorage ukiwa unasubiri kuingia bandarini na ukiingia bandarini unafunga kamba kwenye gati au berth mfano;berth no;1,2,3 au 5 nakuendelea kutegemea na aina ya meli mfano magari ,container,tanker,car carrier n.k.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…