Dar: Majambazi yapora na kuua

Dar: Majambazi yapora na kuua

Ichunguzwe izo pesa alikuwa anazipeleka wapi...
Cz muusika NAMB moja niambae aliekuwa anaenda kufanya Biashara nae cz alijua pesa inaenda kuchukuliwa so akatengeneza mchezo...
Mtazamo wangu
 
Hiyo CRDB ya Uhuru inafanya kazi Jumapili? Ebu tusaifiane kujua maana yaonekana majambazi hayo yalikuwa na taarifa ya huyo binti kuwa na pesa hizo. So young RIP.
 
Mungu wangu Tz inakwenda wapi? Kila kukicha majanga ya ajabu ajabu yanatokea, serikali na police wajibu wenu kwa raia uko wapi? Sasa waTz tunasubiria kudra za mwenyezi Mungu tu. RID mdada
 
Sijui tunakwenda wapi,
Hizo hela haziwezi kuwafikisha hata wiki moja watakuwa wamechacha tena
R.I.P.

Ni kweli, lakini tatizo Ni vyombo vya dola kuhamisha focus na kutumika kisiasa. Mikutano ya chadema, viongozi wa upinzani, kuumba mazingira ya jinai dhidi yao, kuumba mazingira ya ugaidi na mengine mengi. Nguvu ya police inakuwa distracted. Mi sishangai na hata tukio la Arusha. Police na hata usalama hawana tena muda au resources kudill na kazi yao. Kwa upande wa majambazi Ni sikukuu. Nasikitika. Lakini naamini simuda Hali hii na upumbavu huu utakwisha.
Poleni wafiwa.
 
Poleni sana wafiwa tuko pamoja hii ndiyo tanzania yetu ya sasa natokwa na machozi kwa kweli mdada wa watu anajitahidi kutafuta maisha sasa ukosefu wa usalama madhubuti vifo hivyo vinatukumba mungu tunakuomba mweke dada huyu mahala pema peponi
 
Mleta mada acha uwongo hii ni habari ya jana ya MWASITI...na huyo ndo mwasiti mwenyewe...mfanyakazi wa Grants we knw her..jf si mahali pa kubahatisha km gazeti za shigongo
 
Kwa taarifa yako hiyo ni nzuri sana na uwe na moyo huwo huwo wa kutupasha habari kama hizo lakini jee kwa macho yako hayo majambazi ni tabaka gani? ni wazungu au wahindi. no matusi
 
It's very sad!! R.I.P
Ila mleta taarifa umejuaje kama zilizochukuliwa ni milioni kumi wakati waliozichukua wametokomea?

Na dada mwenye hela amefariki amejuaje. mmmmh maajabu ya musa.
 
Mleta mada umejuaje kuwa ameporwa milioni 10.?
 
Kuchukua roho ya mtu kwa sh. milioni 10? Ila ichunguzwe kama huyu mama alikuwa na business deal na mtu akimpelekea hiyo 10 milioni tuanzie hapo? Wapitie simu yake ya mkononi na verbal kwa watu wa karibu. Si rahisi siku hizi unachukua hela kwa siri tu halafu mtu atambue. Ila crime levels zinzidi kukua kwa kasi hata kwa ujambazi na wizi mdogo unaua binadamu. This is social problem emanating from the exreme poverty among social groups. Tutazalisha majambazi, wezi wa kawaida wa fatuma na nondo, vibaka, etc!!! Chama tawala unatakiwa uchukua hatua stahiki maana watu wamekata tamaa, sera hazileti matokeo kwa maisha bora kwa mtanzania!!!
 
RIP Dada, very sad, 10M inamtoa mtu uhai wakati hao jamaa ghalama tu ya kujificha ni zaidi ya hiyo pesa.
 
Hii habari ina maswali mengi yasiyojibika. Imejulikana vipi kuwa ni 10mil wakati wajambazi wametoweka na mwenye nazo kauawa? Saa 11 jioni crdb wameshafunga ukizingatia ni J2 hizo pesa kachukuaje? Au siku hizi ATM inatoa kiasi hicho? Naondoa shilingi mpaka hoja zangu zipate majibu.
 
Aiseee inasikitisha sana..binadamu hatuthamini tena utu wa mtu. Mungu tushike mkono.
 
Back
Top Bottom