Dar: Majambazi yapora na kuua

Dar: Majambazi yapora na kuua

poilisi siwako bize na ugaidi wa chadema ngoja wajiachie, nchi jk kamkabidhi mwigula mcheba wewe hapo unadhani itakuwaje, wanasema tukio la arusha ni tuki la kawaida kama matukio mengine! haya mwisho tutaona movie inaishia wapi, jk kagoma kukubali ukweli juzi uholanzi alipoulizwa nchi imemshinda na ssm yake,,,,,, sasa hivi hapa anaiweza kweli!
Sijui tunakwenda wapi,
Hizo hela haziwezi kuwafikisha hata wiki moja watakuwa wamechacha tena
R.I.P
 
Sijui tunakwenda wapi,
Hizo hela haziwezi kuwafikisha hata wiki moja watakuwa wamechacha tena
R.I.P

Ndicho kinachotisha zaidi kwa sababu kwa kuwa wamechacha next week ina maana tutegemee ongezeko la matukio ya namna hii hasa ukizingatia Afande Kova na vijana wake hadi LIISHE NDIYO wanakuja....
 
Duh, hali sio shwari tena. Tamaa tumeweka mbele na huruma tumeitupa kule. Hatari!
 
Naomba pia tusiwadharau M23,kama taifa tuweke siasa pembeni kwa sasa tushirikiane kuhakikisha nchi yetu inakuwa salama wakati wote,tutowe taarifa kwa kila dalili itakayo kuwa inatilia mashaka usalama wetu.


naona magaidi wanaotumiwa na ccm wanataka kutuzuga na m23
 
khaa!! Hivi huwezi kuleta habari bila ya kuweka picha ya kinyama kama hii?? kama angekuwa bibi/mama/dada/shangazi yako ungeweka picha hii hapa?? Unaendelea kuwaachia simanzi kiasi gani ndugu au jamaa wa marehemu?? Umeshindwa hata kutumia akili yako kidogo ya kunawia uso asubuhi kujua namna ya kuweka picha?? kwanini hata usiweke picha ya gari lililovunjika kioo tu tukaelewa?? Umeudhalilisha uanadamu wako kwani sasa wewe hauna tofauti na ng'ombe. Acha sifa za kijinga za kuanzisha post huku ukiutukana utu wako!!!:angry:
 
R.I.P

>Juzi tu. Waliuawa majambazi waliokuwa wakishambuliana na police Mbeya.
Na leo tena?

>Hii inamaana kuwa wametapakaa Tz nzima?

>USALAMA WA TAIFA NA VYOMBO VYA ULINZI ONGEZENI UFANISI.

(MUNGU Ibariki Tanzania)
 
Hii Dar si salama kabisa...halafu silaha zimezagaa sana yani ni hatari sana anytime wanakuvamia hawa watu wanakuua...
 
Nakumbuka kipindi cha Raisi mstaafu,Mzee wa Ruksa,Serikali ili laumu kuwa haina pesa,badala yake pesa ilikuwa ikimilikiwa na wananchi (SINA UHAKIKA),kama ndiyo basi kuna haja yakupeana Interval kati ya serikali na raia kama wanavyo peana Interval kwenye uraisi ili tuweze kuwa sawa na pengine haya mauwaji ya kutafuta pesa za kumwagana damu zitakwisha

R I P my loved sister.
 
Nadhani ziile taarifa za intelijensia katika hii nchi hazifanyi kazi kisawasawa....mana kwenye siasa Intelijensia ipo ila kwenye mauaji na visa sugu vya ujambazi huwa huzioni....nadhani mfumo wetu wa ulinzi ni dhaifu sana sawa tu na udhaifu wa nchi nzima
 
Million kumi pesa ndogo sana kumtoa mtu uhai. Anafamili anasomesha, ndugu wanamtegemea. Kwa kweli tupo katika wakati mbaya sana.
 
Siku hizi barabara ya uhuru lami imetolewa? Nina mashaka na hii taarifa usahihi wake
 
Dah! Very sad jamani. RIP dada! Haya ndio mambo ambayo serikali kupitia vyombo vyake vya usalama vilitakiwa vitumie nguvu za ziada kuwatia nguvuni wahusika na sio blah blah za akina Mulungo kwa Lema huko Arusha.

Kwani wanamkameruni?
 
kama habari sio ya jana basi hii jiji imeingiliwa, ni kweli CRDB new lumumba next [HAPA NDIPO ILIPOZALWA TANU] wanafanya kazi jumapili lakini sina uhakika kama ni mpaka jioni
 
Back
Top Bottom