DOKEZO Vibaka wanaotumia boda wanakata watu mapanga Mchana kweupe maeneo ya Kimara

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Heparin

JF-Expert Member
Sep 24, 2021
256
1,301
Matukio ya kihalifu yameanza kurejea tena kwenye baadhi ya mitaa ya Jiji la Dar es Salaam. Kwa leo nitazungumzia yanayoendelea Kimara Korogwe, njia ya kuelekea KAM College kupitia mji mpya.

Ndani ya mwezi mmoja kuna watu wawili wamekatwa mapanga na vibaka wanaotumia bodaboda. Matukio haya yote yanahusisha wasichana, ambapo mmoja ilikuwa ni saa 12 jioni anatoka kazini kurudi nyumbani na tukio lingine limetokea wiki iliyopita saa 1 asubuhi mdada mwingine akiwa anaenda kazini.

Kinachofanyika kinasikitisha sana. Vijana hawa huja na boda wakiwa wamepakiana, na mara nyingi huendesha kwa kasi huku wakimpita mhusika kwenda mbele kukagua kama kuna watu, wakiona hakuna watu hurudi kwa kasi tena na kutoa panga kisha huanza kukata sehemu yoyote wayaoona inafaa.

Kwa visa hivi viwili, mmoja alikatwa taya nusu lidondoke na mwingine kakatwa mkono. Na baada ya kufanya hivi hubeba simu/mkoba wake na kutokomea nao kusikojulikana.

Kwenye tukio la wiki iliyopa, baada ya kukata mkono wa huyo dada waliendesha boda yao ya kasi sana kuelekea Maeneo ya Kimara Bucha huku wakifukuzwa na watu lakini bahati mbaya kutokana na ujenzi wa barabara unaoendeelea litokea gari katikati likaziba njia wakawa wamenusurika vinginevyo wangeuawa. Kumbuka, hii ilikuwa ni saa 1 asubuhi.

Kwasasa wananchi tumeanza kujilinda, tunaomba mamlaka za ulinzi zifike eneo hili kuimarisha ulinzi. Vinginevyo mkisikia tumeua hawa vibaka msije kutusumbua.

========================

MKUU WA WILAYA ATOA NENO
JamiiForums imewasiliana na Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Lazaro Jacob Twange kuhusu hoja hiyo amesema “Hilo suala kwangu ni jipya, ndio nalisikia lakini kwa kuwa aliyezungumza ni Mwananchi na sisi Viongozi tupo kwa ajili ya Wananchi, basi saa mbili kutoka sasa, mimi pamoja na Viongozi wa Jeshi la Polisi Ubungo tutaelekea hapo.”

Ameongeza “Tutaenda kuonana na Serikali za Mtaa kisha tutazungumza na Wananchi tusikie maoni yao kujua kinachoendelea, hiyo itatusaidia kujua tunachukua hatua zipi za kuchukua.”
 
Matukio ya kihalifu yameanza kurejea tena kwenye baadhi ya mitaa ya Jiji la Dar es Salaam. Kwa leo nitazungumzia yanayoendelea Kimara Korogwe, njia ya kuelekea KAM College kupitia mji mpya.

Ndani ya mwezi mmoja kuna watu wawili wamekatwa mapanga na vibaka wanaotumia bodaboda. Matukio haya yote yanahusisha wasichana, ambapo mmoja ilikuwa ni saa 12 jioni anatoka kazini kurudi nyumbani na tukio lingine limetokea wiki iliyopita saa 1 asubuhi mdada mwingine akiwa anaenda kazini.

Kinachofanyika kinasikitisha sana. Vijana hawa huja na boda wakiwa wamepakiana, na mara nyingi huendesha kwa kasi huku wakimpita mhusika kwenda mbele kukagua kama kuna watu, wakiona hakuna watu hurudi kwa kasi tena na kutoa panga kisha huanza kukata sehemu yoyote wayaoona inafaa.

Kwa visa hivi viwili, mmoja alikatwa taya nusu lidondoke na mwingine kakatwa mkono. Na baada ya kufanya hivi hubeba simu/mkoba wake na kutokomea nao kusikojulikana.

Kwenye tukio la wiki iliyopa, baada ya kukata mkono wa huyo dada waliendesha boda yao ya kasi sana kuelekea Maeneo ya Kimara Bucha huku wakifukuzwa na watu lakini bahati mbaya kutokana na ujenzi wa barabara unaoendeelea litokea gari katikati likaziba njia wakawa wamenusurika vinginevyo wangeuawa. Kumbuka, hii ilikuwa ni saa 1 asubuhi.

Kwasasa wananchi tumeanza kujilinda, tunaomba mamlaka za ulinzi zifike eneo hili kuimarisha ulinzi. Vinginevyo mkisikia tumeua hawa vibaka msije kutusumbua.
Usalama wenu upo mikononi mwenu ACHENI kulia Lia chukueni hatua. People's
 
Matukio ya kihalifu yameanza kurejea tena kwenye baadhi ya mitaa ya Jiji la Dar es Salaam. Kwa leo nitazungumzia yanayoendelea Kimara Korogwe, njia ya kuelekea KAM College kupitia mji mpya.

Ndani ya mwezi mmoja kuna watu wawili wamekatwa mapanga na vibaka wanaotumia bodaboda. Matukio haya yote yanahusisha wasichana, ambapo mmoja ilikuwa ni saa 12 jioni anatoka kazini kurudi nyumbani na tukio lingine limetokea wiki iliyopita saa 1 asubuhi mdada mwingine akiwa anaenda kazini.

Kinachofanyika kinasikitisha sana. Vijana hawa huja na boda wakiwa wamepakiana, na mara nyingi huendesha kwa kasi huku wakimpita mhusika kwenda mbele kukagua kama kuna watu, wakiona hakuna watu hurudi kwa kasi tena na kutoa panga kisha huanza kukata sehemu yoyote wayaoona inafaa.

Kwa visa hivi viwili, mmoja alikatwa taya nusu lidondoke na mwingine kakatwa mkono. Na baada ya kufanya hivi hubeba simu/mkoba wake na kutokomea nao kusikojulikana.

Kwenye tukio la wiki iliyopa, baada ya kukata mkono wa huyo dada waliendesha boda yao ya kasi sana kuelekea Maeneo ya Kimara Bucha huku wakifukuzwa na watu lakini bahati mbaya kutokana na ujenzi wa barabara unaoendeelea litokea gari katikati likaziba njia wakawa wamenusurika vinginevyo wangeuawa. Kumbuka, hii ilikuwa ni saa 1 asubuhi.

Kwasasa wananchi tumeanza kujilinda, tunaomba mamlaka za ulinzi zifike eneo hili kuimarisha ulinzi. Vinginevyo mkisikia tumeua hawa vibaka msije kutusumbua.
Aiseee hii Kitu hadi Goba pia imeanza kujitokeza hasa Alfajiri. Wale wanaotoka Majumbani Asubuhi sana bado kagiza kanachungulia ndio wanaipata fresh. Juzi amenusurika Mtu ambaye namfahamu kabisaaa na jana yake mwingine naye alikuwa amepigwa panga maeneo hayohayo ya barabara ya Mtaa ya kuelekea Shule ya Living Minds
 
Matukio ya kihalifu yameanza kurejea tena kwenye baadhi ya mitaa ya Jiji la Dar es Salaam. Kwa leo nitazungumzia yanayoendelea Kimara Korogwe, njia ya kuelekea KAM College kupitia mji mpya.

Ndani ya mwezi mmoja kuna watu wawili wamekatwa mapanga na vibaka wanaotumia bodaboda. Matukio haya yote yanahusisha wasichana, ambapo mmoja ilikuwa ni saa 12 jioni anatoka kazini kurudi nyumbani na tukio lingine limetokea wiki iliyopita saa 1 asubuhi mdada mwingine akiwa anaenda kazini.

Kinachofanyika kinasikitisha sana. Vijana hawa huja na boda wakiwa wamepakiana, na mara nyingi huendesha kwa kasi huku wakimpita mhusika kwenda mbele kukagua kama kuna watu, wakiona hakuna watu hurudi kwa kasi tena na kutoa panga kisha huanza kukata sehemu yoyote wayaoona inafaa.

Kwa visa hivi viwili, mmoja alikatwa taya nusu lidondoke na mwingine kakatwa mkono. Na baada ya kufanya hivi hubeba simu/mkoba wake na kutokomea nao kusikojulikana.

Kwenye tukio la wiki iliyopa, baada ya kukata mkono wa huyo dada waliendesha boda yao ya kasi sana kuelekea Maeneo ya Kimara Bucha huku wakifukuzwa na watu lakini bahati mbaya kutokana na ujenzi wa barabara unaoendeelea litokea gari katikati likaziba njia wakawa wamenusurika vinginevyo wangeuawa. Kumbuka, hii ilikuwa ni saa 1 asubuhi.

Kwasasa wananchi tumeanza kujilinda, tunaomba mamlaka za ulinzi zifike eneo hili kuimarisha ulinzi. Vinginevyo mkisikia tumeua hawa vibaka msije kutusumbua.
Juzi maeneo ya IPTL tegeta wameuliwa vibaka wawili,dawa ni kuwaua tu hao mbwa!
 
Aiseee hii Kitu hadi Goba pia imeanza kujitokeza hasa Alfajiri. Wale wanaotoka Majumbani Asubuhi sana bado kagiza kanachungulia ndio wanaipata fresh. Juzi amenusurika Mtu ambaye namfahamu kabisaaa na jana yake mwingine naye alikuwa amepigwa panga maeneo hayohayo ya barabara ya Mtaa ya kuelekea Shule ya Living Minds
Basi hii issue ipo DSM nzima
 
Matukio ya kihalifu yameanza kurejea tena kwenye baadhi ya mitaa ya Jiji la Dar es Salaam. Kwa leo nitazungumzia yanayoendelea Kimara Korogwe, njia ya kuelekea KAM College kupitia mji mpya.

Ndani ya mwezi mmoja kuna watu wawili wamekatwa mapanga na vibaka wanaotumia bodaboda. Matukio haya yote yanahusisha wasichana, ambapo mmoja ilikuwa ni saa 12 jioni anatoka kazini kurudi nyumbani na tukio lingine limetokea wiki iliyopita saa 1 asubuhi mdada mwingine akiwa anaenda kazini.

Kinachofanyika kinasikitisha sana. Vijana hawa huja na boda wakiwa wamepakiana, na mara nyingi huendesha kwa kasi huku wakimpita mhusika kwenda mbele kukagua kama kuna watu, wakiona hakuna watu hurudi kwa kasi tena na kutoa panga kisha huanza kukata sehemu yoyote wayaoona inafaa.

Kwa visa hivi viwili, mmoja alikatwa taya nusu lidondoke na mwingine kakatwa mkono. Na baada ya kufanya hivi hubeba simu/mkoba wake na kutokomea nao kusikojulikana.

Kwenye tukio la wiki iliyopa, baada ya kukata mkono wa huyo dada waliendesha boda yao ya kasi sana kuelekea Maeneo ya Kimara Bucha huku wakifukuzwa na watu lakini bahati mbaya kutokana na ujenzi wa barabara unaoendeelea litokea gari katikati likaziba njia wakawa wamenusurika vinginevyo wangeuawa. Kumbuka, hii ilikuwa ni saa 1 asubuhi.

Kwasasa wananchi tumeanza kujilinda, tunaomba mamlaka za ulinzi zifike eneo hili kuimarisha ulinzi. Vinginevyo mkisikia tumeua hawa vibaka msije kutusumbua.
Niwapongeze kwa hatua mliyochukua lakini kuita serikali iwafanyie ulinzi si wazo jema Wazo jema NI PANGA KWA PANGA WEKENI MTEGO KAMA MIKOANI watakuwa na HESHIMA na ikitokea mmeshika apelekwe kuzimu haraka
 
Matukio ya kihalifu yameanza kurejea tena kwenye baadhi ya mitaa ya Jiji la Dar es Salaam. Kwa leo nitazungumzia yanayoendelea Kimara Korogwe, njia ya kuelekea KAM College kupitia mji mpya.

Ndani ya mwezi mmoja kuna watu wawili wamekatwa mapanga na vibaka wanaotumia bodaboda. Matukio haya yote yanahusisha wasichana, ambapo mmoja ilikuwa ni saa 12 jioni anatoka kazini kurudi nyumbani na tukio lingine limetokea wiki iliyopita saa 1 asubuhi mdada mwingine akiwa anaenda kazini.

Kinachofanyika kinasikitisha sana. Vijana hawa huja na boda wakiwa wamepakiana, na mara nyingi huendesha kwa kasi huku wakimpita mhusika kwenda mbele kukagua kama kuna watu, wakiona hakuna watu hurudi kwa kasi tena na kutoa panga kisha huanza kukata sehemu yoyote wayaoona inafaa.

Kwa visa hivi viwili, mmoja alikatwa taya nusu lidondoke na mwingine kakatwa mkono. Na baada ya kufanya hivi hubeba simu/mkoba wake na kutokomea nao kusikojulikana.

Kwenye tukio la wiki iliyopa, baada ya kukata mkono wa huyo dada waliendesha boda yao ya kasi sana kuelekea Maeneo ya Kimara Bucha huku wakifukuzwa na watu lakini bahati mbaya kutokana na ujenzi wa barabara unaoendeelea litokea gari katikati likaziba njia wakawa wamenusurika vinginevyo wangeuawa. Kumbuka, hii ilikuwa ni saa 1 asubuhi.

Kwasasa wananchi tumeanza kujilinda, tunaomba mamlaka za ulinzi zifike eneo hili kuimarisha ulinzi. Vinginevyo mkisikia tumeua hawa vibaka msije kutusumbua.
Binafsi juzi kati hapa Kuna vibaka watatu wamewakaba wadogo zangu wawili(wa kike) wakawapiga,wakawapora pesa za mauzo yote ya dukani na simu ya mkononi( smart phone). ktk hao vibaka mmoja walimtambua/ tumemtambua maana muda mwingi alikuwa akionekana pale mtaani kwetu.

Sasa baada ya hilo tukio kibaka huyo ametoweka mtaani na haonekani tena, namtafuta !! Nikimnasa!! Na nitamnasa tu!! Atawataja wenzie wote aliokuwa nao! Sina haraka nae Wacha akimbie kimbie tu
 
Matukio ya kihalifu yameanza kurejea tena kwenye baadhi ya mitaa ya Jiji la Dar es Salaam. Kwa leo nitazungumzia yanayoendelea Kimara Korogwe, njia ya kuelekea KAM College kupitia mji mpya.

Ndani ya mwezi mmoja kuna watu wawili wamekatwa mapanga na vibaka wanaotumia bodaboda. Matukio haya yote yanahusisha wasichana, ambapo mmoja ilikuwa ni saa 12 jioni anatoka kazini kurudi nyumbani na tukio lingine limetokea wiki iliyopita saa 1 asubuhi mdada mwingine akiwa anaenda kazini.

Kinachofanyika kinasikitisha sana. Vijana hawa huja na boda wakiwa wamepakiana, na mara nyingi huendesha kwa kasi huku wakimpita mhusika kwenda mbele kukagua kama kuna watu, wakiona hakuna watu hurudi kwa kasi tena na kutoa panga kisha huanza kukata sehemu yoyote wayaoona inafaa.

Kwa visa hivi viwili, mmoja alikatwa taya nusu lidondoke na mwingine kakatwa mkono. Na baada ya kufanya hivi hubeba simu/mkoba wake na kutokomea nao kusikojulikana.

Kwenye tukio la wiki iliyopa, baada ya kukata mkono wa huyo dada waliendesha boda yao ya kasi sana kuelekea Maeneo ya Kimara Bucha huku wakifukuzwa na watu lakini bahati mbaya kutokana na ujenzi wa barabara unaoendeelea litokea gari katikati likaziba njia wakawa wamenusurika vinginevyo wangeuawa. Kumbuka, hii ilikuwa ni saa 1 asubuhi.

Kwasasa wananchi tumeanza kujilinda, tunaomba mamlaka za ulinzi zifike eneo hili kuimarisha ulinzi. Vinginevyo mkisikia tumeua hawa vibaka msije kutusumbua.
Wakikamatwa mnalaumu polisi kuwa wanawateka huku mkidai polisi waje na kibali cha mwenyekiti wa mtaa. Hao vibaka huwa wanajulisha serikali ya mtaa?
 
Binafsi juzi kati hapa Kuna vibaka watatu wamewakaba wadogo zangu wawili(wa kike) wakawapiga,wakawapora pesa za mauzo yote ya dukani na simu ya mkononi( smart phone). ktk hao vibaka mmoja walimtambua/ tumemtambua maana muda mwingi alikuwa akionekana pale mtaani kwetu.

Sasa baada ya hilo tukio kibaka huyo ametoweka mtaani na haonekani tena, namtafuta !! Nikimnasa!! Na nitamnasa tu!! Atawataja wenzie wote aliokuwa nao! Sina haraka nae Wacha akimbie kimbie tu
Uko sahihi Cha msingi kuwa na ushirukiano baina yenu libebeni jambo pamoja
 
Back
Top Bottom