Songoro
JF-Expert Member
- May 27, 2009
- 4,122
- 1,022
Maandamano ya ajabu hayo! How come waandamane ili wenzao waliokamatwa kwa kukataa kuhesabiwa waachiwe, kwa nini hawakuwashinikiza walipokataa kuhesabiwa ili wahesabiwe? Hao wameshinikizwa wafanye hivyo ili kutengeneza some kind of diversion kwa ajili ya jambo ku-divert the 'big talk' of the country right now. Kama 'kikombe cha Babu' kilivyotumika wakati ule. Sometimes hawa waislamu na ccm huwa naona kama baba mmoja mama mmoja, matumbo tu ndio mbalimbali. Wanatia aibu waislamu wenzao wanaofuata sheria na kutokubali kutumika. Na hapo hata hao policcm kamwe hawato-flex a muscle, maelekezo kutoka kwa wakubwa!
Umenikumbusha mbali sana,Hivi yule 'Sheikh' Laizer KKKT aloshobokea kikombe cha babu ili kumpa Muda jakaya kujipanga na aliyekuwa 'Ustadh' msaidiz Wa jimbo kuu la Dar es salaam alowataka mumpe Baba Ridh kura za Ndio mmeshwahi kuwahoji mkajua kuwa 'damu' ya Epa iliwatia nguvu? Achana na waislam peleka tundu yako kwa wanaowapaka mafuta!