Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 56,752
- 46,271
Sawa mkuu,lakini kwa kuwa nchi hii inaendeshwa kwa utawala wa kisheria kwa nini wasisubili wafikishwe mahakamani na huko ingejulika mbichi na mbivu?badala ya kutumia njia ya mkato?
Mkuu wafikishwe mahakamani kwa kosa gani? hakuna kesi hapo ni uonevu lazima upigwe mapema.