nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,860
- 5,803
oooh,kumbe ndo maana unaanzishaga threads za kuhamasisha uvunjifu wa amani.kumbe unajua likisanuka wewe uko majuu hautaathrika.
Ok.jamaa angu hizo kampeni zako kabambe hazitofanikiWa na IKULU MTAISKIA KWENYE MAJIRA TU.
Mimi naongea tu sina hivyo vi-PISTOL mnavyotembea navyo kila MAHALI hadi kurudisha fomu za kugombea U-NEC... SI AUBU?
Yaani ina MAANA hata kwenda CHOONI mnabeba Ki-PISTOL? sasa nini hapo ni hatari? ni nyie wenyewe mmesha kuwa Mabomu...
kusubiri kulipuka
VI-POLISI vinafyatua WATU kama KARANGA?