..nasikia pia dogo naye anamiliki TSN supermarkets, Dalbit (petroleum transporting company), majengo kadhaa town n amikoani na pia kajinunulia shamba darasa kule mbeya kwa sh milioni 300 tu, shamba kubwa lina mifugo na zana zote za kisasa i.e tractors, graders, bulldozers, combined ploughs, disc harrows, malori, etc... daaaah!
unataka kuniaminisha kuwa mbinu ya kichina ya kuandika' iPhoue' badala ya 'iPhone' ndio imetumika?
kama ni kweli jina "dar lux" basi jamaa anajua na kukubali Dar express wanafanya vizuri ktk biashara yao so anataka kuiba/kukaribia jina hilo labda atawakanganya na kuwavuta wateja, As said biashara, biashara ni karama hata ukiwa na fedha na ukakingiwa vifua(sumatra,police) bado waweza kushindwa kuendesha biashara hiyo. Lets wait and see
ni kampuni ya usafirishaji wa abiria mikoani, imeshakamilisha ofisizake pale ubungo sheli, mahali zilipokuwa afisi za allys bus. kwa mujibu wa tangazo lao wanakwenda karibu destination zote nchini isipokuwa chache sana plus nairobi na kampala to mention the few. habari nilizozipata toka kwa mfanyakazi wa kampuni hiyo ni kuwa karibuni zitaingia basi 50 kwa kuanzia....
My take: nahisi kuwa hii ndio kampuni inayohusishwa na mkuu wa kaya na hujuma dhidi ya kampuni kongwe na inayolipa kodi, dar express.
source: mimi mwenyewe, mphamvu letsholonyane!
Vile anamiliki madude kadhaa kule Songea na msimamizi wake ni Said Kigwenembe. Huyu dogo anasumbua sana watu in the name of Riz..nasikia pia dogo naye anamiliki TSN supermarkets, Dalbit (petroleum transporting company), majengo kadhaa town n amikoani na pia kajinunulia shamba darasa kule mbeya kwa sh milioni 300 tu, shamba kubwa lina mifugo na zana zote za kisasa i.e tractors, graders, bulldozers, combined ploughs, disc harrows, malori, etc... daaaah!
yale mabasi yanaitwaga mombasa raha siyaonagi tena hii dar lux haina connection nao im curios
Kama kampuni hii haikutokana na kuunganisha makampuni kadhaa ya mabasi yanayofanya safari zake hapa nchini basi mimi nakuwa na wasiwasi mkubwa kuwa hizi ni fedha zetu. Haiwezekani mtu hata kama ni tajiri uanzishe biashara kubwa namna hii bila kuwa na uzoefu wa kutosha. Kwa kuwa fedha si za kwake, inaonekana biashara hii itakuwa ni ya kujionyesha kuwa huyu mmiliki anauwezo lakini si kwamba anataka kufanya biashara. Hizi ni fedha haramu, zimetoka wapi zitaendelea kuwa haramu hata kama ni za marehemu Gaddafi zitaendelea kuwa haramu. Nahisi pia kuwa hana mpango mzuri na makampuni yaliyopo kwani atayaua na kutuacha yatima. Mwenye akili na atambue mpango huu, ee Mungu tuepushe na balaa hili. Kama kuna mtu anamtambua mmiliki wa kampuni hii basi ni vizuri habari zake zikaanikwa ili watanzania tuchukue tahadhari.
Vile anamiliki madude kadhaa kule Songea na msimamizi wake ni Said Kigwenembe. Huyu dogo anasumbua sana watu in the name of Riz