wax
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 5,940
- 5,751
Ok Kwel ulisema kwenu ni rukwa rudi tuuKwahiyo unataka kunambia Mimi naiabisha Dar,ilifaa niwe mkoani? Maana hizo sifa sina hata 1 na nipo Dar duh, narudi mkoani kwetuuu....![]()
Ok Kwel ulisema kwenu ni rukwa rudi tuuKwahiyo unataka kunambia Mimi naiabisha Dar,ilifaa niwe mkoani? Maana hizo sifa sina hata 1 na nipo Dar duh, narudi mkoani kwetuuu....![]()
Akili 2 basi tunatofautiana sana.
Mimi katika kuzurura kwangu mikoa mbali mbali hapa bongo, sijawahi kuona mkoa wenye watoto wazuri kama Dodoma.
Hakika huu mkoa kweli unastahili kuwa mji mkuu, pamoja na ukame wake lakini maua tunayokutana nayo kila kona ni bustani tosha isiyochosha kuiangalia.
Halafu kwanza huku Dom mabinti ndio wamejaa, yaani namaanisha warembo ambao bado wako U-30 ndio wapo wengi sana kuliko watu wazima.
Sasa nyie huko Dar kwanza wengi ni fakero, dar kila mwanamke anataka aonekane mweupe kitu kilichopelekea bleaching creams ziwe na soko sana mkoa huo.
Dar es salam is a national bleaching headquarter. Kuna kiongozi fulani miaka ya nyuma aliwahi kulisema hili.

Mpenda vya bureDem wa Arusha ukimtongoza anakuuliza una sh. Ngapi, ukimjibu elfu 20. Anakuambia hiyo haifai![]()
Jombii mbona hukojoi dingilai....Na bado akifika kwa bed analala tuu utasikia bado tuu humalizi aiiisee
YokozunaKama wamekunywa Ngera
Financial servicesKwahiyo unataka kunambia Mimi naiabisha Dar,ilifaa niwe mkoani? Maana hizo sifa sina hata 1 na nipo Dar duh, narudi mkoani kwetuuu....![]()
Mkuu Dodoma hamna kitu pale wengi wachafu chafu sana na sura mbovu mbovu sana,,Akili 2 basi tunatofautiana sana.
Mimi katika kuzurura kwangu mikoa mbali mbali hapa bongo, sijawahi kuona mkoa wenye watoto wazuri kama Dodoma.
Hakika huu mkoa kweli unastahili kuwa mji mkuu, pamoja na ukame wake lakini maua tunayokutana nayo kila kona ni bustani tosha isiyochosha kuiangalia.
Halafu kwanza huku Dom mabinti ndio wamejaa, yaani namaanisha warembo ambao bado wako U-30 ndio wapo wengi sana kuliko watu wazima.
Sasa nyie huko Dar kwanza wengi ni fakero, dar kila mwanamke anataka aonekane mweupe kitu kilichopelekea bleaching creams ziwe na soko sana mkoa huo.
Dar es salam is a national bleaching headquarter. Kuna kiongozi fulani miaka ya nyuma aliwahi kulisema hili.
Kwenye kutokua na maringo hapo ndo napowakubali masuala ya kufukuzia demu miaka minne ni kama unasomea civil engineering ni uboya
Kama ndio sema ndio kama hapana sema hapana
[/QUOTE
Kweli kabisa
Wewe njoo huku utawaona mwenyewePicha picha picha pichaa jamni tushakubaliana nyuzi kam hiz bila picha ni makosa kisheria
Yokozuna
Jamani na sisi tuje huko dasalamu,maana huku kazi za shamba muda wote,tunavizia mabinti mashambani tu
Ni nn hii boss
[/QUO
Alcohol aina ya mbege
Daah haya mkuu, endeleeni kufaidi wengine tutaangalia kwenye TV kwa mwenyekiti wa mtaaMsimu wa kulima huu baki huko huko ulime kwanza, huku mashamba hamna
Mambo Kelvi!Financial services
Kesho ndukiii, niwaachie mji wenye sifa zaoOk Kwel ulisema kwenu ni rukwa rudi tuu

Saf mboni unakufur weweMambo Kelvi!
Kukufuru aje tenaa?Saf mboni unakufur wewe

Umewahi kuniona? Mimi ni mrembo,bongo hamna mwanamke mzuri zaid yangu
Umewahi kuniona? Mimi ni mrembo,bongo hamna mwanamke mzuri zaid yangu