Dar: Halima Mdee afikishwa Mahakamani Kisutu, apewa dhamana

Dar: Halima Mdee afikishwa Mahakamani Kisutu, apewa dhamana

Mwenyenzi Mungu anamamlaka kuliko huyo unayemuabudu.Sina muda wakuabudu kiumbe kama mimi
Na huyo mwenyezi Mungu kasema tutii mamlaka zilizowekwa duniani. Don't you know that?
 
Hakuna kesi kama hii!Kesi ya kuthibitisha kuwa JPM ana kauli za hovyo,hata mimi sio wakili lakini najua pakuwakamatia!
Tuanze na ile ya "kama hela walizipokelea mdomo.._mkononi basi watazirejesha kupitia sehemu yoyote palipo wazi"!
 
tULIAMBIWA HII NI AWAMU YA VIWANDA LAKINI NAONA NI AWAMU YA KUFUKUZANA NA WAPINZANI NA KUHARIBU VITEGA UCHUMI NA MASHAMBA YAO. AU NDIO MBINU YA UJENZI WA TANZANIA YA VIWANDA? HIVI HUYU JAMAA HUWA ANAENDA KANISANI KUMDHIHAKI MUNGU?
 
Mh! Picha hiyo hapo juu, sijui maneno tunayosikiaga hapa mtaani kuhusu "urafiki" wao ni za kweli?
Watuwaliokosa kazi ,kazi yao kuchafua watu na kudhalilishana mitandaoni

Sent from my TECNO-N8 using JamiiForums mobile app
 
Hivi wenzangu mnaelewa maana ya "ushahidi haujakamilika"?

Sent from my MAX 5 using JamiiForums mobile app
 
Na huyo mwenyezi Mungu kasema tutii mamlaka zilizowekwa duniani. Don't you know that?
Zinazotenda haki. Sii tu mamlaka kwa vile ipo duniani.
Na ndio maana akamuinua musa kumdondosha farao. Atawainua wanyonge wamtoe huyo muonezi, kama Goliath
 
Kukosoa ukosoaji ufanyike lakini lazma taasisi ya Urais iheshimike tusishabikie kila kitu kisa tu kimefanywa na mpinzani. ...Mamlaka hutoka kwa Mungu bila Mungu kupanga hakuna litakalowezekana hivyo lazima mamlaka iheshimiwe....Rais anastaili kuheshimiwa na kukosolewa kwa lugha inayofaa si ya kejeli na matusi.
Kumbe kuna mitusi???
Alitukana!!! Jamani!!!
Alisemaje???
 
Zinazotenda haki. Sii tu mamlaka kwa vile ipo duniani.
Na ndio maana akamuinua musa kumdondosha farao. Atawainua wanyonge wamtoe huyo muonezi, kama Goliath
Sawa Maserati, na falme zote zilizokengeuka Mungu aliziangusha, let's wait and see if/when the current regime falls.
 
Kapandishwa kizimbani kwa kosa gani!?

Tunaomba umelizie tafadhali
Mdee alitoa lugha ya matusi na maudhi kwa kiongozi wa nchi, tulimuhoji na baada ya mahojiano tumemfikisha Mahakamani."- Kamanda Mkondya

"Mhe. Halima mdee tulimkamata maeneo ya Ubungo kwa sababu alikua na kikao na waandishi wa habari akipinga maamuzi ya Rais"- Kamanda Mkondya
 
Inaweza isiwe leo wala kesho, wala mwaka huu. But there is a day. Save my words.
Well saved in my archives Maserati, but one thing for sure, hakuna utawala wowote duniani unaotenda haki, hakuna! Kwa Tanzania tu, kuanzia alipokuwa JKN, AHM, BWM, JMK na leo JPM, hakuna haki. Righteousness is a precious thing that we get from God only (for those who believe).
 
Well saved in my archives Maserati, but one thing for sure, hakuna utawala wowote duniani unaotenda haki, hakuna! Kwa Tanzania tu, kuanzia alipokuwa JKN, AHM, BWM, JMK na leo JPM, hakuna haki. Righteousness is a precious thing that we get from God only (for those who believe).
That'swhy i said, save my word. Other countries experience oup de tat kwa sababu zipi?? No place to hide the truth, ikifika zamu ya Tz tutayaona mengi tu.
 
Back
Top Bottom