Dar: Halima Mdee afikishwa Mahakamani Kisutu, apewa dhamana

Dar: Halima Mdee afikishwa Mahakamani Kisutu, apewa dhamana

Mwambieni akanunue zipu afunge mdomo wake akiendelea hawezi kubaki salama
 
Mdee alitoa lugha ya matusi na maudhi kwa kiongozi wa nchi, tulimuhoji na baada ya mahojiano tumemfikisha Mahakamani."- Kamanda Mkondya

"Mhe. Halima mdee tulimkamata maeneo ya Ubungo kwa sababu alikua na kikao na waandishi wa habari akipinga maamuzi ya Rais"- Kamanda Mkondya

Maajabu haya lugha ya matusi na maudhi hiyo ni kwa mujibu wa mkuu wa wilaya ya kinondoni na hakuna mtu mwingine tuluyeskia akisema maneno ya Mdee ni matusi kwa raisi.

Yaani mkuu wa wilaya kile anachoona
yeye ni kosa basi hata vyombo vya dola vinalipitisha moja kwa moja. Maajabu ya nchi ya kusadikika.
 
Kabisa kabisa. Yoyote atakayejifanya mabangi kama Mdee hakuna jinsi akanyee debe tu
Mabashite ya CCM unawashanga sana wanaposema kunyea debe hivi serikali ya miaka hamsini inaruhusu watu wake kunyea debe na kujitishwa kichwani mavi kwenda kutupa harafu wanaona sifa muna akili kweli nyie au ndio stunt brain zinawasumbuwa hivi huoni aibu kwamba mumeshindwa hata kuboresha selo itakuwa shule za msingi au sekondari au vyuo vikuu kama choo cha kunyea mavi kimewashinda , nyie akina kula kulala na kuvimbiwa fedha za walipa kodi na wavuja jasho you shouldnt be proud for your failures
 
Polisi washitakiwe kwa kumuweka ndani zaidi ya saa 48 kwani na wao hawapo juu ya sheria, inapaswa waliomuweka huko wapate fundisho ili iwe somo kwao waache kufanya kazi kwa upnevu mkubwa.
Hivi hawezi kuwashitaki wakome? Maana wamezidi uonevu
 
Mjinga mkubwa mbona nyinyi hamgoji uchaguzi munauza sura na kuhonga watu walioshiwa akili kwa kuwapigia makofi walk the talk hadi 2020 nyie kila siku munafanya siasa kiboko chenu ni UKUTA tu uone mutakavyorusha ndge na kuwafanyia maandamnao askari we need UKUTA no 2
Serikali ya kesi kesi kesi visasi na kukomoana ikisikia UKUTA namba 2 watatuma watu waende Usiku ofisini kwa mbowe waweke Mihuri ya jwtz, magereza, polisi na uhamiaji na Bangi gunia mbili kisha wanajidai kwenda kumsachi ofisini ndipo watambambikia kesi ya uhujumu uchumi, kwa kipindi hiki yafaa sasa teknolojia ibadilike baadhi ya vitu kama mihuri iichwe kutumika watumie vidole gumba na style zingine ili kukwepa kumbambikiana kesi za kukomoana.
 
Mkuu mtu kama una akili timamu huwezi kushabikia uozo wa CCM.

Utimamu wa akili, ni pale unapopambanua hoja kabla ya ku comment. Lakini unapo commen kwasababu ya itikadi, nalo ni tatizo kubwa zaidi linalowakumba wengi na wewe ukiwa mmoja wao. CCM au CHADEMA katika jambo hili vinaingia na kutokea wapi? Au Mdee yeye ni bora zaidi wabunge wote wa kambi ya upinzani! Hili ndo tatizo la post za kishabiki
 
Utimamu wa akili, ni pale unapopambanua hoja kabla ya ku comment. Lakini unapo commen kwasababu ya itikadi, nalo ni tatizo kubwa zaidi linalowakumba wengi na wewe ukiwa mmoja wao. CCM au CHADEMA katika jambo hili vinaingia na kutokea wapi? Au Mdee yeye ni bora zaidi wabunge wote wa kambi ya upinzani! Hili ndo tatizo la post za kishabiki
Wewe ni dr wa mitishamba? sijui kama unaweza kuponya hata panya.
 
Mie naona watu wanateswa kabla ya kupelekwa mahakamani.....wakifika kule wanasema ushahidi haujakamilika.

Sent from my MAX 5 using JamiiForums mobile app
 
Mwambieni akanunue zipu afunge mdomo wake akiendelea hawezi kubaki salama
Nitafurahi siku Magufuli na kundi lake watakapofanywa kama gadaffi au Sadaam maana hawajui kujifunza makosa yao kwa wengine almaaruf wa dunia waliofanyia mema nchi zao lakini kwa kujifanya Miungu watu wakaishia kujificha kwenye mashimo wengine mitaroni it will happen to this regime if the dont change hakuna udhalimu pipote duniani uliokuwa na mwisho mwema just be warned
 
Hivi hawezi kuwashitaki wakome? Maana wamezidi uonevu
ipo sheria inaruhusu kumshitaki polisi akimuweka ndani mtuhumiwa saa 48 pasipo kufikishwa mahakamani, Mdee akitaka anaweza kuwafungulia kesi na akawa
amewasaidia watanzania wengi wanaolundikwa ndani zaidi ya saa 48 pasipo kufikishwa mahakamani.
 
Nitafurahi siku Magufuli na kundi lake watakapofanywa kama gadaffi au Sadaam maana hawajui kujifunza makosa yao kwa wengine almaaruf wa dunia waliofanyia mema nchi zao lakini kwa kujifanya Miungu watu wakaishia kujificha kwenye mashimo wengine mitaroni it will happen to this regime if the dont change hakuna udhalimu pipote duniani uliokuwa na mwisho mwema just be warned
wajifunze kwa Marehemu chiluba wa Zambia
 
Amani ni tunda la haki mwambieni mkulu haya mambo anayoanzisha na Vijana wake hatujayazoea,unapoomba kuombewa Wakati hutendi haki sioni maombi hayo kupokelewa na Mungu,yy ni mwenye haki hapendi dhulma.
Kama hali yenyewe ndvyo hivi maneno ya kawaida kwake Jpm ni maneno ya kuudhi sijui itakuwaje wakati wa kampeni ya uchaguzi 2020 sabab tusipoangalia kwa umakini mwenendo wake wapinzani wengi watakamatiwa majukwaani wakidaiwa kumuudhi mkuu wa Nchi
 
Nitafurahi siku Magufuli na kundi lake watakapofanywa kama gadaffi au Sadaam maana hawajui kujifunza makosa yao kwa wengine almaaruf wa dunia waliofanyia mema nchi zao lakini kwa kujifanya Miungu watu wakaishia kujificha kwenye mashimo wengine mitaroni it will happen to this regime if the dont change hakuna udhalimu pipote duniani uliokuwa na mwisho mwema just be warned
No man can stand attempting to do what you're thinking and if he/she will try that will be his/her end..
 
No man can stand attempting to do what you're thinking and if he/she will try that will be his/her end..
Ha ha OOH My wait and see you think we r in the stone age era, if you think you are above the law keep on doing what your doing guys you ill rip what you sow
 
Kama hali yenyewe ndvyo hivi maneno ya kawaida kwake Jpm ni maneno ya kuudhi sijui itakuwaje wakati wa kampeni ya uchaguzi 2020 sabab tusipoangalia kwa umakini mwenendo wake wapinzani wengi watakamatiwa majukwaani wakidaiwa kumuudhi mkuu wa Nchi
Anadekezwa hana nyimbo huyo
 
Back
Top Bottom