pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 19,035
- 15,242
Miaka 5 itaisha hivi hivi!
Anajiita mpenzi wa mungu
Sent from my S40 using JamiiForums mobile app
Kajilipue pembeni ya ********. Utakuwa umetusaidia sana.
Mamlaka "my foot" kama amejipa mwenyewe aendelee kuwa Idd Amin Dada yatakayomfika asilaumuYule sio binadamu mwenzako, Yule ni mamlaka. Endelea kuwaabudu wana ufipa
Mimi nadhani mahakama ina majukumu makubwa zaudi kuliki hizi fabricated cases...Halima Mdee aliyekaa akisalimiana na Esther Bulaya
Mbunge wa Kawe Halima Mdee, hatimaye amefikishwa Mahakamani Kisutu Dar es Salaam.
Bado sijajua atashitakiwa kwa makosa yapi kwani ndo yupo Kisutu.
Hapo awali Mdee aliwekwa Korokoroni Oysterbay Polisi kwa amri ya Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Ally Hapi. Hata baada ya Masaa 48 kuisha, hakuachiliwa huru kwani aliendelea kushikiliwa.
Halima Mdee(Mb, CHADEMA) akamatwa na Polisi. Apelekwa Oysterbay...
Stay tuned..
UPDATES:
"Mdee alitoa lugha ya matusi na maudhi kwa kiongozi wa nchi, tulimuhoji na baada ya mahojiano tumemfikisha Mahakamani."- Kamanda Mkondya
"Mhe. Halima mdee tulimkamata maeneo ya Ubungo kwa sababu alikua na kikao na waandishi wa habari akipinga maamuzi ya Rais"- Kamanda Mkondya
---------------
UPDATE: 10, JULAI, 2017
Mbunge Halima Mdee ameachiwa kwa dhamana ya Milioni 10 na wadhamini wawili. Ushahidi haujakamilika na kesi imeahirishwa hadi August 7, 2017.
Hivyo ni "vyerehani' vinne ambavyo according to Mwijage thata is equal = Kiwanda!Viwanda vikubwa vya kuzalisha kesi ni Bashite,Hapi, Gambo na Ndugai!
Kwani kuna ubaya mkuu?Hivi kwanini mara kwa mara hawa watu wawili hawakosekani kwenye matukio; Mdee na Bulaya. Kila anapokuwepo mdee lazima utamkuta bulaya. wapo karibu sana inaelekea.
Hahahahhahahha Mkuu u nailed itHivyo ni "vyerehani' vinne ambavyo according to Mwijage thata is equal = Kiwanda!
Nayo mwataka iwe kesi?Hivi kwanini mara kwa mara hawa watu wawili hawakosekani kwenye matukio; Mdee na Bulaya. Kila anapokuwepo mdee lazima utamkuta bulaya. wapo karibu sana inaelekea.
Povu jingi,with no substance.Hata hivyo ni vizuri watu wakakumbuka kwamba uchaguzi umekwisha na mwingine ni 2020.Tusubiri.Hakuna sababu ya kuendelea kusigana na mamlaka iliyopo.kwa kwa mamlaka za hovyo zinadai heshima kwa nguvu mamlaka zenye nidhamu zenye kujenga nchi na utawala bora hazingoji kuweka watu ndani ndio ziheshimike au kuuwa watu na kuwachomeka vitu vigumu kweny malinda yao upuuzi mtu atakaye kufa nakufunikwa kiloalfu za mchanga kujigeuza miungu kisa madaraka ni ajabu . acheni upuuzi wa kufanya nchi hii ni yenu peke yenu akili ya hovyo kabisa utawala mbovu unaokusanya bilioni 700 baada ya miaka miwili upewe heshima gani sijui
Oa umojawapo uone ushikaji wao unatakavyopukutika.Ila wanapendana sana na Esta Bulaya...kila kona wako tugeza. Hope hata ingekuwa jela Bulaya angeomba wafungwe tugeza
Unajifanya hujui aliropoka nini? Arudie tena aone motoHivi wewe unajua alichokiropoka? ebu kiweke hapa
Sio kwa kumchukia yeye bali kwa kuipenda nchi zaidi.Yaani nimecheka sana kwa sauti aisee utadhani mazuri
Sio kwa kumchukia huko
Hv ww unashindaga mashauri huko mahakamani kweli?.....ama ni wakili wa mitandaoni tu.Hilo ndilo jambo la msingi. Asomewe mashtaka yajulikane na mambo mengine yaendelee.
Kabisa kabisa. Yoyote atakayejifanya mabangi kama Mdee hakuna jinsi akanyee debe tuKukosoa ukosoaji ufanyike lakini lazma taasisi ya Urais iheshimike tusishabikie kila kitu kisa tu kimefanywa na mpinzani. ...Mamlaka hutoka kwa Mungu bila Mungu kupanga hakuna litakalowezekana hivyo lazima mamlaka iheshimiwe....Rais anastaili kuheshimiwa na kukosolewa kwa lugha inayofaa si ya kejeli na matusi.
Hahahaaa.Hv ww unashindaga mashauri huko mahakamani kweli?.....ama ni wakili wa mitandaoni tu.