Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,355
- 21,422
Hata kukiwa na kesi nne zinakuwa kiwanda!
Point of correction Case 4= Ki-Wonder
Hata kukiwa na kesi nne zinakuwa kiwanda!
Wakili Msomi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119]hapo jamhuri waxhaxhindwa navoona coz kesi inasimamiwa na wakili msomi peter kibatala[emoji111][emoji111][emoji111][emoji111][emoji111][emoji111]
Sent from my TECNO-C5 using JamiiForums mobile app
hii inakwepesha vipi kesi ya kikatiba ya kuhoji mamlaka ya DC (na RC) katika kamata zao za masaa 48?Wamekwepa mtego wa Hapi kushtakiwa kwa matumizi mabaya ya madaraka hivyo wakaona Jamhuri impeleke mahakamani hata kama hakuna kesi ya msingi
Wakili wa Mdee Ahakikishe Ally Happi anakuwa shahidi kwenye kesi hiyo .Wamekwepa mtego wa Hapi kushtakiwa kwa matumizi mabaya ya madaraka hivyo wakaona Jamhuri impeleke mahakamani hata kama hakuna kesi ya msingi
Nakuaminia mwanaaheriaHilo ndilo jambo la msingi. Asomewe mashtaka yajulikane na mambo mengine yaendelee.
Kama kawaida yaoHakuna kosa lolote ni uzushi tu
Huyo ndiyo anastahili haswa maombi ya watanzania tena bila kulazimishaTumuombee
Sent from my TECNO_W4 using JamiiForums mobile app
Kwahiyo wanakuwa mning'inio wa ziada etiCCM bila polisi ni wepesi kuliko pamba .
Kwa sasa ccm inaongoza kwa ujenzi wa viwandaViwanda vya CCM ni kesi.
Next time asirudie kumtukana tena Rais wetu mpendwa..
Sent from my SM-N9005 using JamiiForums mobile app