Dar: Halima Mdee afikishwa Mahakamani Kisutu, apewa dhamana

Dar: Halima Mdee afikishwa Mahakamani Kisutu, apewa dhamana

Amani ni tunda la haki mwambieni mkulu haya mambo anayoanzisha na Vijana wake hatujayazoea,unapoomba kuombewa Wakati hutendi haki sioni maombi hayo kupokelewa na Mungu,yy ni mwenye haki hapendi dhulma.
Dikteta huyo hakuna wa kumuombea tena kwanza Bashite kampelekea utitiri wa waganga wa kienyeji hawamuni Mungu tena wamekuwa wapenda visasi
 
Alikamatwa kwa amri ya DC, hakuna mashtaka

Sent from my TECNO-W3LTE using JamiiForums mobile app
 
Yaani ccm bwana ivi hawajui kuwa wananchi wanaamini upinzani unaonewa so ndio maana dar es salaam milele itakuwa ya upinzani

Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
 
Ally Happy na yeye anajiona mungu mtu.......asione atakaaa hapo madarakani miaka yote
Bashite Maliyamungu kamshauri awe kama Mseveni wawatunge jela wahindi matajiri wote wamegundua watanzania masikini hufurahia tajiri akifungwa hata kwa kesi ya kutengeneza na kumbambikia, wanataka wabadili katiba Mtukufu atawale mpaka miaka 30 akiwa kikongwe kama kule Zimbabwe.
 
"Mhe. Halima mdee tulimkamata maeneo ya Ubungo kwa sababu alikua na kikao na
waandishi wa habari akipinga maamuzi ya Rais"- Kamanda Mkondya​
Hili ndilo lilitakiwa kufamnyika siku ya kwanza, kumkamata halafu kumfungulia mashtaka

Kitendo cha kumweka mahabusu siku 5 bila mashtaka ni kukiuka haki za Raia

Polisi walimkamata kwa amri ya DC wa Kinondoni bila kujua ana kosa gani

Hakuna kitu kinachoitwa kikao na waandishi. Waandishi wapo kazini hawafanyi vikao

Pili, hakuna kitu kinachoitwa kupinga maamuzi ya Rais.
Kinachoelezwa kisheria ni kupinga sheria

Rais ana wigo wa amri na sheria. Si kila kauli yake ni sheria au amri!
Rais hawezi 'kuingia' katika familia yako, halafu ukapinga na kuwa hilo ni kosa! Ney

Tatu, maamuzi yanayosemwa alipinga ni kuhusu hoja ya mabinti na Mimba.

Hoja aliyotoa haikuwa sheria au amri na imejadiliwa na wengi.Halima kapinga wapi?

Ukitazama kwa undani Polisi wamechukua mzigo wa DC ambaye sasa ana waruka, yupo pembeni Polisi wanahangaika.

Mwisho wa siku taswira ya Polisi kwa umma inakuwa mbaya kwasababu wamechomekewa na DC!​
 
jamani mmesahau kuwa tulikuwa tunaombea tupate rais wa aina hii sasa kulikoni? au emezidisha speed?
Rais wa hivi angeanza kwa vyeti vya Bashite kisha mikataba ya ununuzi wa ndege, ujenzi uwanja wa ndege chato, ukarabati wa bandari, kivuko kupelekwa bungeni ijadiliwe watanzania wangemuelewa lakini Tabia mbovu ya kuzuia mikutano ya Wapinzani kuwabambikia kesi kulipa visasi kwa matajiri ili wawapore mali zao haitamsaidia kuombewa tena na watanzania wengi wameanza kuchoka na kesi kesi kesi kwa Wapinzani na visasi vyake binafsi huku Bashite na yy akimtumia kulipa visasi vyake humo humo.
 
Nasubiria mashahidi watakaitwa ili.kuthibitisha hayo matusi...

Acha nikauze nyanya zangu mie
 
Siasa za dizaini hii hazina tija kwa taifa shindaneni kwa hoja zenye kuleta maendeleo kwa wananchi ambao mnalipwa kwa sababu ya kodi zao

Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
 
Hili ndilo lilitakiwa kufamnyika siku ya kwanza, kumkamata halafu kumfungulia mashtaka

Kitendo cha kumweka mahabusu siku 5 bila mashtaka ni kukiuka haki za Raia

Polisi walimkamata kwa amri ya DC wa Kinondoni bila kujua ana kosa ganiHakuna kitu
kinachoitwa kikao na waandishi. Waandishi wapo kazini hawafanyi vikao na watu

Pili, hakuna kitu kinachoitwa kupinga maamuzi ya Rais.
Kinachoelezwa kisheria ni kupinga sheria

Rais ana wigo wa amri na sheria. Si kila kauli yake ni sheria au amri!
Rais hawezi 'kuingia' katika familia yako, halafu ukapinga na kuwa hilo ni kosa! Ney

Tatu, maamuzi yanayosemwa alipinga ni kuhusu hoja ya mabinti na Mimba.
Hii ni hoja aliyotoa haikuwa sheria au amri na imejadiliwa na watu wengi.
Halima kapinga wapi?

Ukitazama kwa undani Polisi wamechukua mzigo wa DC ambaye sasa ana waruka, yupo pembeni Polisi wanahangaika.

Mwisho wa siku taswira ya Polisi kwa umma inakuwa mbaya kwasababu wamechomekewa na DC!​
Polisi washitakiwe kwa kumuweka ndani zaidi ya saa 48 kwani na wao hawapo juu ya sheria, inapaswa waliomuweka huko wapate fundisho ili iwe somo kwao waache kufanya kazi kwa upnevu mkubwa.
 
Povu jingi,with no substance.Hata hivyo ni vizuri watu wakakumbuka kwamba uchaguzi umekwisha na mwingine ni 2020.Tusubiri.Hakuna sababu ya kuendelea kusigana na mamlaka iliyopo.
Mjinga mkubwa mbona nyinyi hamgoji uchaguzi munauza sura na kuhonga watu walioshiwa akili kwa kuwapigia makofi walk the talk hadi 2020 nyie kila siku munafanya siasa kiboko chenu ni UKUTA tu uone mutakavyorusha ndge na kuwafanyia maandamnao askari we need UKUTA no 2
 
hizi pesa za dhamana huwa zinarudishwa ? Je wakikuwambia utoe 10ml ukasema nna laki kuna shida ? / kunamakubaliano ?
 
Back
Top Bottom