Dar: Halima Mdee afikishwa Mahakamani Kisutu, apewa dhamana

Dar: Halima Mdee afikishwa Mahakamani Kisutu, apewa dhamana

Labda watatutajia hata list ya hayo matusi. Ngoja tusubiri
 
View attachment 539023
Halima Mdee aliyekaa akisalimiana na Esther Bulaya

Mbunge wa Kawe Halima Mdee, hatimaye amefikishwa Mahakamani Kisutu Dar es Salaam.

Bado sijajua atashitakiwa kwa makosa yapi kwani ndo yupo Kisutu.

Hapo awali Mdee aliwekwa Korokoroni Oysterbay Polisi kwa amri ya Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Ally Hapi. Hata baada ya Masaa 48 kuisha, hakuachiliwa huru kwani aliendelea kushikiliwa.
Halima Mdee(Mb, CHADEMA) akamatwa na Polisi. Apelekwa Oysterbay...

Stay tuned..

UPDATES:

"Mdee alitoa lugha ya matusi na maudhi kwa kiongozi wa nchi, tulimuhoji na baada ya mahojiano tumemfikisha Mahakamani."- Kamanda Mkondya

"Mhe. Halima mdee tulimkamata maeneo ya Ubungo kwa sababu alikua na kikao na waandishi wa habari akipinga maamuzi ya Rais"- Kamanda Mkondya

Wala hakuna kesi
 
Alimwambia SPIKA wa Bunge awashughulikie wanaomkosoa ndani ya BUNGE RAIS atawashughulikia nje ya BUNGE.Na huyo ndiyo RAIS wetu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania aka Mwenyekiti wa Chama Cha Makinikia
Mpwa tuna wakati mgumu sana lakini kwa mapenzi yake Mola tutashinda haya.

Sent from my SM-T231 using JamiiForums mobile app
 
Utajijua mwenyewe unayeabudu BINADAMU mwenzako badala ya Mungu aliyekuumba.Kama Binadamu anamkosa Mungu na bado Mungu hampi adhabu leo Ukimkosoa binadamu mwenzako unapelekwa rumande
Mkuu hiyo misukule ni zaidi ya mashetani na yanajitahidi kumuiga lucifer mkuu wao!! kila mmoja anajitahidi kuwa shetani zaidi ya mwingine kwa sababu ndizo sifa anazotaka mkuu wao!! Anayetesa sana binadamu mwenzake hasa watetezi wa watanzania huyo anapata sifa zaidi na zaidi kutoka kwa mkuu!!
 
Mkuu hiyo misukule ni zaidi ya mashetani na yanajitahidi kumuiga lucifer mkuu wao!! kila mmoja anajitahidi kuwa shetani zaidi ya mwingine kwa sababu ndizo sifa anazotaka mkuu wao!! Anayetesa sana binadamu mwenzake hasa watetezi wa watanzania huyo anapata sifa zaidi na zaidi kutoka kwa mkuu!!
Anahakikishiwa na ulinzi mara dufu.
 
Habari njema kutoka mahakamani KISUTU jijini Dar es Salaam,Mbunge wa Kawe mheshimiwa Halima Mdee amekubaliwa dhamana ya bondi ya sh milioni 10 na wadhamini wawili.

Haki hajawahi kushindwa hata siku moja.
 
Utajijua mwenyewe unayeabudu BINADAMU mwenzako badala ya Mungu aliyekuumba.Kama Binadamu anamkosa Mungu na bado Mungu hampi adhabu leo Ukimkosoa binadamu mwenzako unapelekwa rumande
Yule sio binadamu mwenzako, Yule ni mamlaka. Endelea kuwaabudu wana ufipa
 
Halima Mdee aliyekaa akisalimiana na Esther Bulaya

Mbunge wa Kawe Halima Mdee, hatimaye amefikishwa Mahakamani Kisutu Dar es Salaam.

Bado sijajua atashitakiwa kwa makosa yapi kwani ndo yupo Kisutu.

Hapo awali Mdee aliwekwa Korokoroni Oysterbay Polisi kwa amri ya Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Ally Hapi. Hata baada ya Masaa 48 kuisha, hakuachiliwa huru kwani aliendelea kushikiliwa.

Halima Mdee(Mb, CHADEMA) akamatwa na Polisi. Apelekwa Oysterbay...

Stay tuned..

UPDATES:

"Mdee alitoa lugha ya matusi na maudhi kwa kiongozi wa nchi, tulimuhoji na baada ya mahojiano tumemfikisha Mahakamani."- Kamanda Mkondya

"Mhe. Halima mdee tulimkamata maeneo ya Ubungo kwa sababu alikua na kikao na waandishi wa habari akipinga maamuzi ya Rais"- Kamanda Mkondya
---------------

UPDATE: 10, JULAI, 2017

Mbunge Halima Mdee ameachiwa kwa dhamana ya Milioni 10 na wadhamini wawili. Ushahidi haujakamilika na kesi imeahirishwa hadi August 7, 2017.
Hata polisi wenye busara wanapata shida kwa sababu hakuna weledi tena ni ubabe tu!!
 
Habari njema kutoka mahakamani KISUTU jijini Dar es Salaam,Mbunge wa Kawe mheshimiwa Halima Mdee amekubaliwa dhamana ya bondi ya sh milioni 10 na wadhamini wawili.

Haki hajawahi kushindwa hata siku moja.
Hivi hiyo milioni kumi unailipa kwanza alafu ndo anapata dhamana au?? Naomba nielekeze hapa mkuu

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Hivi kwanini mara kwa mara hawa watu wawili hawakosekani kwenye matukio; Mdee na Bulaya. Kila anapokuwepo mdee lazima utamkuta bulaya. wapo karibu sana inaelekea.
 
haya mambo ya uonevu, kubambikia mikesi, kuweka watu ndani bila sababu, kunyanyasa kwa kiasi hiki hatuendi pazuri.
 
Mkuu hiyo misukule ni zaidi ya mashetani na yanajitahidi kumuiga lucifer mkuu wao!! kila mmoja anajitahidi kuwa shetani zaidi ya mwingine kwa sababu ndizo sifa anazotaka mkuu wao!! Anayetesa sana binadamu mwenzake hasa watetezi wa watanzania huyo anapata sifa zaidi na zaidi kutoka kwa mkuu!!

Ni kweli kabisa.Na hawa wanaompigia makofi kesho watakuwa ndiyo wanaomzonga na kumkejeli
 
Mpwa tuna wakati mgumu sana lakini kwa mapenzi yake Mola tutashinda haya.

Sent from my SM-T231 using JamiiForums mobile app

Ngoja tusubiri kwani hata binadamu anamwisho wake hakuna atakayeishi milele
 
Back
Top Bottom