Dar: Halima Mdee afikishwa Mahakamani Kisutu, apewa dhamana

Dar: Halima Mdee afikishwa Mahakamani Kisutu, apewa dhamana

Ha ha OOH My wait and see you think we r in the stone age era, if you think you are above the law keep on doing what your doing guys you ill rip what you sow
Those are the words of encouraging yourselves...I'm sure you know nothing bad can done though we are real not in stone age...keep on dreaming
 
ni uonevu tupu na kunyanyasa wapinzani. ni hatari sana.
Wanataka mpaka kufika 2020 Wapinzani kadhaa wawe jela na matajiri wa kutosha wawe jela wamegundua mtaji wa kuwahadaa masikini na kuwafunga matajiri maana wengi hawana furahia kufungwa kwa tajiri kuliko viwanda na maendeleo.
 
Watafuta kiki hata watumie nguvu gani hawana jipya zaidi ya kutafuta vyeo kwa sizonje

Sent from my SM-G7102 using JamiiForums mobile app
 
Mjinga mkubwa mbona nyinyi hamgoji uchaguzi munauza sura na kuhonga watu walioshiwa akili kwa kuwapigia makofi walk the talk hadi 2020 nyie kila siku munafanya siasa kiboko chenu ni UKUTA tu uone mutakavyorusha ndge na kuwafanyia maandamnao askari we need UKUTA no 2
Shangazi,wajomba,baba wadogo,mama zako wadogo nk.wote wameishiwa akili,sawa bwana.Sisi tunawahitaji pamoja na utaahira wao.
 
Hivi hakukuwa na namna nyingine mpaka apewe dhamana???Angalau angefika ijumaa hivi!!!!

Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
 
Those are the words of encouraging yourselves...I'm sure you know nothing bad can done though we are real not in stone age...keep on dreaming
OOH MY by the way check your grammar: I just want to emphasise Magufuli is not above the law, and he is very much touchable as we are the citizen of this great nation and we ca just terminate his term and decide his fate ,we can just chase him away from our White house, he has to stop his bla bla bla thing now and not tomorrow
 
Wewe ni dr wa nini? jibu kwanza.

Tujadili hoja ya matamshi ya Mdee na hatua aliyochukuliwa, kwamba yanastahili au la, mapambo ya mbele sio hoja ya msingi. Je? mimi nikisema na sawa na prof. Jay utasemaje!
 
Hapo hakuna kesi

Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
 
Shangazi,wajomba,baba wadogo,mama zako wadogo nk.wote wameishiwa akili,sawa bwana.Sisi tunawahitaji pamoja na utaahira wao.
Mabashite ya CCM utayaona tuu stunt brain you can't, think simply ni kupiga makofi ndiyoooo no wonder munalingia watu kubeba mavi vichwani selo upuuzi mtupu
 
Maliyamungu Bashite na Mtukufu malaika wa Chato kwa sasa wamejidai kuwapenda Masikini watu wa chini wamegundua masikini huwa wanapenda na kufurahia kusikia Mtu tajiri kafungwa na kufirisiwa mali zake, wamebuni mbinu ya kuwakomoa matajiri wote wenye visasi nao kwa mbinu za kuwabambikia kesi za ajabu ajabu ili wasake huruma toka watu masikini waje kuwapigia kura 2020 ni mbinu ya gharama kubwa kwani kumtengenezea Kesi tajiri ina gharama kubwa zaidi ya safari za nje na ubanaji matumizi inawabidi kuwapa motisha majaji mawakili wa serikali na mbinu zingine za gharama kubwa, wamewahadaa watanzania kwa kuwaongezea Wapinzani humo humo ili wasionekane wanawakomoa wafanyabiashara ni visasi binafsi kupitia mgongo wa siasa ni Aibu kwa sasa badala ya viwanda na maendeleo wamekalia kupoteza pesa na mda kwenye visasi:
 
Tujadili hoja ya matamshi ya Mdee na hatua aliyochukuliwa, kwamba yanastahili au la, mapambo ya mbele sio hoja ya msingi. Je? mimi nikisema na sawa na prof. Jay utasemaje!
Siyo sahihi ni uonevu wenu nyie CCM, kuwa Prof Jay ama la hakuni saidii mimi.
 
Back
Top Bottom