tpaul
Platinum Member
- Feb 3, 2008
- 27,198
- 27,822
Mama Ann Tib chu.p.i inabana sasa!
---na itabana hatimaye itaachia. chezea fedha za umma wewe! zisipomtokea m@k@|i0n! zitamtokea p@puch!n!
Mama Ann Tib chu.p.i inabana sasa!
Mkuu umesahahu kubadilisha ID au?
manaa haya aliyaongea Yericko Nyerere au mimi nimesahahu?
Kama dini imekuwa ni biashara na ujasiriamalu, itakosaje kuws na element za ufisadi
Haaaa umenikumbusha kemia ya enzi za mabala ze farmer....being frozen is just a physical change when heat is applied then it will unfreeze and return to its original state....tuombe kama wamefreezia kwenye fridge la masaki basi wakaunfreezie kwenye bakula la watoto wa wakulima wa kule mbagalazimekuwa frozen ila baadae zitayeyukia mikononi mwa mafisadi, and the circle continues!
Ni ipi faida ya elimu ya Mtanzania?Ajabu.
Wanajiita wasomi.
Huku usomi wao wakiutumia kulitia umaskini taifa hili.
Aibu.
Ilitakiwa mwengine awe analijua hili kabla alijatendeka na aweze kulizuia sio mambo yashafanyika ndio watu wanafanya uchunguzi kila siku zitakuwa hadithi hizi hizi wakati fungu kubwa lishatoweka, unajiuliza ni nani alielianzisha hili sataka? ni chombo cha ukaguzi wa kila siku au kamati. Kama ni kamati we have a serious problems with our check systems maana wengi tumekuja kusikia baada ya kuwa muhusika kesha chukuwa chake loongi.
"The CAG has recommended that all the officials be charged in court and the money taken from the escrow account returned" na hili ndio Muhimu lakini kwa Tanzania yetu tuendelee kumuomba Mungu
Yericko nyerere huyo.
Ni wa kumpuuza tuh.
Hana utimamu wa akili kudiscuss mada kama hizi.
So ina maana hiyo mkombozi bank inamilikiwa na kanisa???
Hebu vuta picha bank hii ingekuwa ina chembe chembe na uislam kidogo hali ingekuwaje.
Kwa ufupi hawa wenzetu kwa kias kikubwa wanahusika sana ktk kulitia umaskin taifa hili.
Tokea zama na zama.
Eighty to Ninety percent of govment positions wanashikilia wao.
Jiulize taifa limenufaika nin na uwingi wao na kujinasibu kwao na usomi zaid ya wizi na ufisadi??
Mkuu Namini Marehemu Waziri ALilijua hili na alijitahidi sana kulizuia ila ndio Vile watu walimzidi uwezo na maarifa wakaenda Kumkolimba/KuMvungi/Kudalali huko South Africa na Mwane wakampa zawadi ya Ubunge, hivi ujiulizi inakuwa vipi MACCM wagawe Ubunge kama zawadi kwa mtu amabaye kwenye Chama sio mkongwe au marufu au Alwatan.
So.
This means marehemu mgimwa alikuwa analitambua hili hadi likawa ndio sababu ya kifo chake??
Ukiunganisha dots inasound kias flan.
Hivi tokea walipoanza kuiba pale hadi leo wamenufaika na nin hawa jamaa??
Mbaya zaid watakufa very sooon.
Na hivi wanavyoibia wenzao wataviacha.
Kwnn wasiweke uzalendo wa kulijenga taifa hili kwa manufaa ya vizaz vijavyo??
Bimaana sisi na hiki kizaz tumekubali wameshatulostisha tayari.
Haitoshi na hawajatosheka na hili hadi sasa wanaamua kutaka kuvigharim hadi vizaz vijavyo??
Hii hali hivi sasa imefikia pabaya sana.
Haivumiliki.
Haiwezekani sisi tukamuliwe kodi zetu kisha wao wachukue na kuhongana kirahis rahis kama hivi na huku wengine wachukue na kununulia mademu zao Vitara.
Enough is Enough.
Inabid tuchukue maamuz magumu sasa dhidi yai.
Hao Tiss sijui wanafanya nini.
PccB kila siku wanaishia kulalama tu km kawaida yao.
CAG nae amekuwa ni mtu mwenye kutoa suggestions tu tena zisizofuatwa.
Mahakama nazo hazina meno
Yaani ni balaa juu ya balaa.
uzi kama huu akina FAIZAFOXY, MSALANI, LIZABONI etc huwezi waona
Kikwete kuwa kwake muislam hakuondoi uhalisia kwamba 80 to 90 percent of govment positions zinashikiliwa na wakristo.1. Mkuu hata mimi nimeuliza hivi Ingekuwa bank ya Kiislam hali ingakuwaje humu Jf na Mtaani.
2.HIlo la Position hapo sikukubalii maana ukweli ni kuwa kwa sasa Raisi ni Muislam, Mkuu wa Polisi alikuwa ni Muislam, lakini hakuna anachofanya zaidi ya Kula KOLABO na hilo KANISA na kuzidi kutukandamiza huku akiitumia BAKWATA kama Kipaza sauti cha CHAMA na SEREKALI.
HAkika SISI, WAISLAM ni wakuhurumiwa Mana TU-WANAFKI sanaaa tena sanaaaa.
Muislam Mwenzetu Kikwete Kikombe hiki hakiwezi kumpita na hakika siku ya mwisho atakuja kuulizwa uliwafanyia Nini Waislam wenzako pale ulipo pata nafasi ya kuweza kuwasaidia.
Tanzania hatuna uongozi, hili tumepoteza toka 1995