Dar Firm (VIP Engineering and Marketing) Account Seized in Holland

Dar Firm (VIP Engineering and Marketing) Account Seized in Holland

Mwenyezi Mungu anazidi kuiletea Tanganyika MAPAMBAZUKO...hakuna jiwe litakalosalia lisigeuzwe ili kuifukua haki iliyoangamizwa na huu utawala wa CCM na magenge yao ya wezi ndani na nje ya nchi...! Wameiibia jamii yetu kwa miaka zaidi ya 50 na hawajakumbuka kuwa Mwenyezi Mungu halalagi usingizi...ila gurudumu lake ninaswaga taaaratiib...ila linafika mwisho bila kupingwa!
Tunategemea viongozi wengi wamo ndani ya SKANDALI hii, na kulingana na mapendekezo ya CAG, - kama ni ya kweli, na kama yatatekelezwa...tutawapata akina 'MRAMBA' wengi watakaopandishwa vizimbani, hadi 'maprofesa goigoi' wanaodhalilisha uwezo na utaifa wa mtanzani kwa kusema...'wananchi wazawa wawekezaji wa taifa hili hawawezi kuwekeza ktk miradi mikubwa kama Madini na Gesi, bali zaidi kwao ni vimitambo vya juice..'!

.MAY THE ALMIGHTY GOD DO HIS JUDGEMENT SOON....tuna hamu sana ya kuwaweka WEZI hawa mbele ya 'shooting squad' haraka!
 
Namna hii ndio maana inatakiwa Taasisi za DINI zibaki kwenye jukumu lake lakuhubiri tu lkn kujiingiza kwenye mambo ya pesa haya ndio matokeo....!! hii ni KASHFA KUBWA kwa KANISA catholic,,,,,!!
 
Kwa hiyo mmiliki wa hiyo benki ni nani? As far as I know, hii benki ilifuguliwa mwaka 2009 na kanisa Katoliki na makao yake makuu yalikuwa St. Joseph Cathedral Church jijini Dar es Salaam, though hivi karibuni waliuza shares to the public.

Interestingly, benki ilianzishwa ku-target small and medium enterprises (SMEs) and low-end market clientele. Sina uhakika kama hawa ndo wanaopitishia mabilioni ya pesa kwenye hiyo benki.




Hata wakienda wataambiwa kuwa kuna uchunguzi unaendelea kwa hiyo hawawezi kusema lolote.

Hata nasubiri amtaje mmiliki
 
Kwa sisi tuliokosa imani na watendaji wetu, hata matokeo ya kesi za namna hii tunayajua tayari....

Mkuu nimefurahi naww umeliona hili.....kiukweli watawala wetu wametufanyia mambo mabaya hadi tumekata tamaa yakupata Msaada so tukiona mawingu tunaamini Mvua inaweza kunyesha so hata hili jambo unaona watu wanavyotamani hatua kali zichukuliwe lkn hakuna kitu km hicho ni usanii PLUS
 
Huu ni upepo tu wala sitarajii kuona cha maana kikifanyika hapa.
 
"The CAG has recommended that all the officials be charged in court and the money taken from the escrow account returned" na hili ndio Muhimu lakini kwa Tanzania yetu tuendelee kumuomba Mungu
 
"The CAG has recommended that all the officials be charged in court and the money taken from the escrow account returned" na hili ndio Muhimu lakini kwa Tanzania yetu tuendelee kumuomba Mungu
Ilitakiwa mwengine awe analijua hili kabla alijatendeka na aweze kulizuia sio mambo yashafanyika ndio watu wanafanya uchunguzi kila siku zitakuwa hadithi hizi hizi wakati fungu kubwa lishatoweka, unajiuliza ni nani alielianzisha hili sataka? ni chombo cha ukaguzi wa kila siku au kamati. Kama ni kamati we have a serious problems with our check systems maana wengi tumekuja kusikia baada ya kuwa muhusika kesha chukuwa chake loongi.
 
Iko wapi ile Misukule iliyokua unamtetea Maswi???
Mliona kumuunga Mkono Tumbili ni kukubali kua Sisimizi sasa Amekua Tembo.Endeleeni kupigania Maslai ya Chama na Sio ya Nchi.
 
Zzk Hoja ya Pesa za Uswis lakini Misukule ikaona kusapport ni Kumpa kiki Zzk mkaungana na watawa kukandamiza hoja ya Zzk kwa kumvika majina Mengi Muongo,Mnafiki etc.
Mwisho ukweli utajulika nani mzalendo hata ipite miaka 50.
 
Ni vyema hawa waandishi kuandika habari wakiwa na uhakika kutoka katika chanzo sahihi. Sidhani kama huyo waliemtaja ndie owner wa benki kwa sasa.

Mimi najua hivyo kama mmiliki amebadilika tusaidie kumfahamu.

 
Sina imani na mkuu wa kaya katika sakata hili.Jk atalipotezea kama alivyofanya kwa kashifa nyingine zilizotangulia.

Bungeni nako kuna mtu anaitwa Spika. Huyu nae ndio kabisa msanii na kinara wa kulinda maovu ya serikali

Watanzania tumeliwa kwa mara nyingine.

Mkuu sakata hili lazima liwamalize watu japo ni ngumu kumeza lakini ukweli ndio huo.

 
Ilitakiwa mwengine awe analijua hili kabla alijatendeka na aweze kulizuia sio mambo yashafanyika ndio watu wanafanya uchunguzi kila siku zitakuwa hadithi hizi hizi wakati fungu kubwa lishatoweka, unajiuliza ni nani alielianzisha hili sataka? ni chombo cha ukaguzi wa kila siku au kamati. Kama ni kamati we have a serious problems with our check systems maana wengi tumekuja kusikia baada ya kuwa muhusika kesha chukuwa chake loongi.
Na hili ndio TATIZO kwa nchi yetu eti serikali huwa hawajui mpaka upinzani waseme kwanza KWELI ??? Tatizo na Mfumo uliopo unawanufaisha wachache
 
Kwa hiyo mmiliki wa hiyo benki ni nani? As far as I know, hii benki ilifuguliwa mwaka 2009 na kanisa Katoliki na makao yake makuu yalikuwa St. Joseph Cathedral Church jijini Dar es Salaam, though hivi karibuni waliuza shares to the public.

Interestingly, benki ilianzishwa ku-target small and medium enterprises (SMEs) and low-end market clientele. Sina uhakika kama hawa ndo wanaopitishia mabilioni ya pesa kwenye hiyo benki.




Hata wakienda wataambiwa kuwa kuna uchunguzi unaendelea kwa hiyo hawawezi kusema lolote.
Si muda mrefu siri za nchi hii kwanini ni maskini kiasi hiki zitakuja julikana. Kuna siri nyingi sana zimejificha nyuma ya hizi taasisi za kikanisa, sijasahau debate ya misamaha ya kodi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom