THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 18,775
- 15,129
Ajabu.
Wanajiita wasomi.
Huku usomi wao wakiutumia kulitia umaskini taifa hili.
Aibu.
Wanajiita wasomi.
Huku usomi wao wakiutumia kulitia umaskini taifa hili.
Aibu.
Wewe waza tu hayo lakini wenzako watakwambia hii ni mojawapo ya 'indicators' za mafanikio ya serikari ya ccm katika awamu ya nne. ...kwamba hivi sasa makampuni ya tz yana pesa mpaka yanawekeza kwenye benki za nje tena katika dollar.Je ni matunda ya utawala dhaifu au?
MY TAKE:
1. Hii kitu haijawahi kutokea nchi hii, kwa vyovyote yule aliyesema OBAMA na wafadhili wengine wamekasirika basi kuna ukweli, na naamini hasa yule Balozi aliyedhalilishwa Bungeni ameamua kula nao kimyakimya na kuwaonyesha kuwa kama waujua huu, basi na wao waujua ulee.
2. Hivi mbona wameweza kuziia(FREEZ) hizi hela na wanshindwa hela za EPA,Mabilioni Uswiss ?
3. Mama TIbaijuka nad CO's wanojua walipokea hela hapo Mkombozi Bank wakimbie mapema nje ya nchi kama wana uraia wa Nchi mbili(nimemuona juzi Bungeni akipigia debe hili) maana Kifungo kinakuja na wahisani wamekasirika,
4. Hii MKOMBOZI BANK sijuhi BOT wansubiri nini kufungia BANK kama hii iliyokaa Kifisadifisadi kwa kisingizio cha kanisa.
Mkuu RaisMtarajiwa karibu tupate nasaha zako
Hapa cha kuangalia ni kwanini pesa hizo zilipitia mkombozi? Kulikuwa kuna lengo gani? Mfano Labda Anna Tibaijuka anaweza kusema sababu za pesa za mchango wa Babro Johnson zilipitia mkombozi bank na sio account ya shule moja kwa moja! Pengine ni nani kati yao alipendekeza pesa zipitie huko na kwa sababu gani?
Inawezekana kweli mpokea pesa alipokea pesa bila kujua ni haramu au lah lakini kuna maswali anapaswa kuyajibu! Mimi Jana nilitetea pengine hana kosa lolote na hajui lakini nimeanza kujiuliza why mkombozi account na sio Mama ana au Babro johnson bank account?
Halafu swala la kusema BOT waifungie Mkombozi kisa imepokea pesa hilo si sawa,Mkombozi wanafanya biashara na hawawezi bagua wateja na katika hili sijaona kosa lao kabisa labda ikithibitika wamehusika!
Hosea kusema atawashitaki walio pokea pesa hili nalo linaweza lisiwe sawa maana kupokea pesa linaweza lisiwe kosa kabisa labda kama ithibitike watuhumiwa walikuwa wanajua ni pesa haramu na walikuwa kwenye deal!
Kwangu Mimi naona Anna Tibaijuka ana maswali machache ya kujibu kwenye hili sakata na kujinasua!
Huyu Rugemalila ameshaihujumu sana hii nchi kupitia hii VIP Engineering.
Mkuu angeacha LEGACY na KATIBA MPYA lakini baada ya KATIBA MPYA kushindikana hii ndiyo karata ya mwisho,
...hapa mkuu naomba afungue/geuze mawe yote na lisibaki hata moja
Hapa cha kuangalia ni kwanini pesa hizo zilipitia mkombozi? Kulikuwa kuna lengo gani? Mfano Labda Anna Tibaijuka anaweza kusema sababu za pesa za mchango wa Babro Johnson zilipitia mkombozi bank na sio account ya shule moja kwa moja! Pengine ni nani kati yao alipendekeza pesa zipitie huko na kwa sababu gani?
Inawezekana kweli mpokea pesa alipokea pesa bila kujua ni haramu au lah lakini kuna maswali anapaswa kuyajibu!
Mimi Jana nilitetea pengine hana kosa lolote na hajui lakini nimeanza kujiuliza why mkombozi account na sio Mama ana au Babro johnson bank account?
Halafu swala la kusema BOT waifungie Mkombozi kisa imepokea pesa hilo si sawa,Mkombozi wanafanya biashara na hawawezi bagua wateja na katika hili sijaona kosa lao kabisa labda ikithibitika wamehusika!
Hosea kusema atawashitaki walio pokea pesa hili nalo linaweza lisiwe sawa maana kupokea pesa linaweza lisiwe kosa kabisa labda kama ithibitike watuhumiwa walikuwa wanajua ni pesa haramu na walikuwa kwenye deal!
Kwangu Mimi naona Anna Tibaijuka ana maswali machache ya kujibu kwenye hili sakata na kujinasua!
Cc nyumba kubwa
Well Rugemalira mzee wa makongo njuu alikuwa anatamba mitaani kuwa hakuna anayeweza kumkamata Tanzania hii. Sidhani kama alikuwa anatania. Hata yakaigeuzwa mawe 20 na kukuta majina yake bado yeye ana mawili tu ya kugeuza na moto unawaka nchi nzima.
Ni vyema hawa waandishi kuandika habari wakiwa na uhakika kutoka katika chanzo sahihi. Sidhani kama huyo waliemtaja ndie owner wa benki kwa sasa.
Hadi sasa hakuna chombo chochote cha habari ambacho kimejishughulisha kwenda kupata details kwa wahusika zaidi ya kuripoti kile wanachokisikia kutoka kwa third-part.
Find the right source and get the right information. Ukiniuliza mimi, mimi siyo right source. Wewe mwenyewe huoni hata kwenye hiyo source yako information nyingi ni za 2011?
Mkuu kuna siri kubw ahapa, uanweza kufafanua?