Dar es salaam-Kinshasa Railway lazima ijengwe

Dar es salaam-Kinshasa Railway lazima ijengwe

Target kubwa ya Kenya si Rwanda wala Uganda, target kubwa ni kuichukua DRC kibiashara hivyo Kenya anajitahidi kuweka Bandari ya nchi kavu Rwanda na Uganda kuikamata East Congo, lakini Kigeographia Tanzania ndio ana advantage kubwa kaktika hili. Ni kweli miji iliyokuwa far North ya East Congo kama Goma iko karibu sana na Uganda na Rwanda na hata Tanzania kuifikia miji hiyo ni lazima tupite Rwanda,
lakini Tanzania ina advantage ya kufanya biashara na sehemu kubwa ya East Congo na mpaka Katanga province.

Tukitoa Kivu ya Kaskazini ambayo iko mbali na Tanzaia, Kivu ya Kusini na Maniema (Manyema) Pronvice inaweza kuwa target kubwa ya kibiashara, Reli inayotoka Kalemie (Katanga province) kabla ya kufika Lubumbashi (Katanga Province) inapitia Kasongo (Maniema Province), hivyo kunakuwa na Link ya Ziwa Tanganyika kuzifikia pronvice tofauti za DRC na hiyo ni root nzuri sana ya kusafirisha Shaba kutoka copper belt (Katanga Province) kwenda Asia na Europe

Kuna Advantage nyingine ambayo bado hatujaiona vizuri Watanzania ile ya kutumia Ziwa Tanganyika, Kuna link kubwa sana kati ya Tanzania na Zambia na labda Zimbabwe, kwa maana sasa (Wazimbabwe) wanaingia kwa wingi sana Tanzania kufanya manunuzi. kama Rail ya kati ikifanyiwa marekebisho makubwa na Kigoma ikawa Bandari ya nchi kavu na soko kubwa la bidhaa mfano wa Kariakoo (au Dubai ya JK), kinachotakiwa ni kuwekwa Boti za abiria za kisasa ndani ya Ziwa Tanganyika zitakazo unganisha Zambia (Mpulungu port), DRC-Kalemie Port (Katanga province) na DRC-Uvira port (South Kivu), Hilo likiwezekana Tanzania haitatingishika na Coalition inayotengezwa ya Kenya, Uganda, Rwanda

CC: Tuko, Sikonge
Mawazo mazuri sana haya mkuu.
Watanzania tungane katika hili na kujitengenezea uhalali wa kiuchumi kwa vizazi na vizazi vijavyo.
 
Last edited by a moderator:
mkuu hiyo reli kutoka dar hadi kinshasa itapita wapi? malawi au ruanda?? wote hao maadui zetu

Mkuu hiyo Jografia ya Kinshasa na Malawi ulifundishwa na nani? Angalia vizuri ramani yako ndo ujiulize itapita wapi?
 
Dah wabongo bana kwa kukosa maarifa ndio wa kwanza mf.mbona kuna reli ya TAZARA HAITUMIKI NA MNATUMIA TRUCKS KUSAFIRISHA MIZIGOna mafuta na mingi toka DSM PORT Inaenda zambia migodini (copper mining) na South DRC (copper and cobalt mining) so why msianze na reli ya kati na tazara.pia why msiyatoe magari ya mizigo TANZAM ROAD KWANZA Mtoa mada umechemka saana huna jipya fanya utafiti kwanza .
 
Sasa Tanzania imejifunza vitu vingi.
Siasa ni mfumo wa kiuchumi ambso utawainua wananchi husika.
Siasa ya Tanzania kwa nchi za nje kwa miska mingi imekuwa ya ukombozi, ukombozi wa mwafrika toka tawala za kikandamizi za kikoloni.

Hivi karibuni Tanzania imejikuta katika sakata la kuitetea Kongo na wananchi wake walioko mashariki mwa Kongo.

Wananchi hawa kwa miaka mingi wamekuwa katika mlolongo wa matatizo ya kukosa amani na ustawi wa jamii.

Umoja wa mataifa umejaribu kwa miongo mingi tu kuleta amani bila mafanikio.
Lakini ni katika jaribio la mwisho hili la kutumia nguvu kwa kuwashirikisha majirani wa Kongo wenye nia ya dhati kuisaidia, sasa tunaona amani yaweza kurejea mashariki ya Kongo.

Ni wazi kuwaTanzania haina chake ndani ya Afrika Masharikikutokana na hatua za wazi za kutengwa na majirani zetu wa kaskazini.

Lakini akufungiaye njia anakuonyesha mlango mzuri zaidi , hata ni kama wa kuufanyia kazi zaidi.

Ni vema sasa watanzania tukaweka mguu ndani ya Kongo, mguu wa kibiashara, mguu ambao hautaondolewa na tsifa lolote..

Ni muhimu sasa wananchi wa Kongo na Tanzania tukawa wamojs na kuendeleza spirit ya Goma, spirit yz ushirikiani kibiashara sasa.

Kilichobaki ni kuendeleza reli ya kati hadi Kigoma. Na kuanzisha rail ferries hadi mashariki mwa Kongo na kushinikiza wenzetu wa Kongo ku ifungua nchi yso kwa kujenga reli hadi Kinshasa.

Utajiri mkubwa wa Kongo na Tanzania utakuwa kichocheo kikubwa sana katika kujenga reli hii.

I have a dream!!!
This is da point masopakyindi "Kilichobaki ni kuendeleza reli ya kati hadi Kigoma. Na kuanzisha rail ferries hadi mashariki mwa Kongo na kushinikiza wenzetu wa Kongo ku ifungua nchi yso kwa kujenga reli hadi Kinshasa".
 
Last edited by a moderator:
This is da point masopakyindi "Kilichobaki ni kuendeleza reli ya kati hadi Kigoma. Na kuanzisha rail ferries hadi mashariki mwa Kongo na kushinikiza wenzetu wa Kongo ku ifungua nchi yso kwa kujenga reli hadi Kinshasa".

Reli ya nin tena wakati mizigo mnasafirisha kwa trucks mi naona watz mtakua wa maana siku mkitoa kwwnza trucks kwenye roads hizi halafu ndio mfikiri kujenga reli kila mtu bongo ni siasa tu nothing kinachofanyika hii leo mnatoa mapendekezo ya kujenga reli wakati hizi zilizopo hata nyanya hazisafirishi
 
Last edited by a moderator:
Kuna Plan kitambo ya kuiendeleza bandari ya Kasanga ndo maana Mkeka unajengwa Tunduma to Sumbawanga then mwingine Sumbawanga to Kasanga ili items za DRC ziwe zavuka kwa ferry kwenda kwao via L.Tanganyika
 
Tanzania tuna Fursa Nyingi sana, ila Chini ya CCM ni kama tumepigwa laana vile
 
Dah wabongo bana kwa kukosa maarifa ndio wa kwanza mf.mbona kuna reli ya TAZARA HAITUMIKI NA MNATUMIA TRUCKS KUSAFIRISHA MIZIGOna mafuta na mingi toka DSM PORT Inaenda zambia migodini (copper mining) na South DRC (copper and cobalt mining) so why msianze na reli ya kati na tazara.pia why msiyatoe magari ya mizigo TANZAM ROAD KWANZA Mtoa mada umechemka saana huna jipya fanya utafiti kwanza .
Mkuu naheshimu mawazo yako
Hii nchi huru
Umuhimu wa reli hauna mfano popote duniani, kwamba hapa Tanzania katika miongo ya karibuni hatujazitumia ipasavyo haiondoi ukweli huo.

Na sasa kuliko wakati mwingine wowote ndio umuhimu wa reli unazodi kuongezeka.
Nina habari kuwa serikali yetu imeanza mipango ya kufufua reli ya kati ma nitaomba juhudi hizo hizo ziende TAZARA na reli ya Ruvu Mnyusi kwenda kaskazini.
Umuhimu uliopo ni kutengeneza sheria kama ile ya Road Fund ili reli hizi ziweze kuendelezwa kwa miaka si chini ya 20 ijayo.

Mawazo kwamba ati tuondoe mizigo barabarani HALAFU ndo tujenge reli si endelevu.
 
Upo uwezekano wa kujenga daraja juu ya ziwa Tanganyika kuunganisha nchi hizi mbili. wakiamua wanaweza
 
mwambie na mkamasimba aelewe kwamba watusi ni kweli mmevamia kongo ya mashariki maana naona anatetea asichokijua, kivu ni lazima blood suckers muondoke
Pls pls naomba sana tuheshimiane na nilishakuambia sihitaji any debate na wewe,sio lazima unitaje au quote kufikisha point zako,hakuna haja ya name calling or abuse
 
pls pls naomba sana tuheshimiane na nilishakuambia sihitaji any debate na wewe,sio lazima unitaje au quote kufikisha point zako,hakuna haja ya name calling or abuse

pole sana, najua bado unauguza majeraha ya kipigo m 23 ilichokipata hapa goma! Jaribuni tena si bosi wenu ana apache
 
Sasa Tanzania imejifunza vitu vingi.
Siasa ni mfumo wa kiuchumi ambso utawainua wananchi husika.
Siasa ya Tanzania kwa nchi za nje kwa miska mingi imekuwa ya ukombozi, ukombozi wa mwafrika toka tawala za kikandamizi za kikoloni.

Hivi karibuni Tanzania imejikuta katika sakata la kuitetea Kongo na wananchi wake walioko mashariki mwa Kongo.

Wananchi hawa kwa miaka mingi wamekuwa katika mlolongo wa matatizo ya kukosa amani na ustawi wa jamii.

Umoja wa mataifa umejaribu kwa miongo mingi tu kuleta amani bila mafanikio.
Lakini ni katika jaribio la mwisho hili la kutumia nguvu kwa kuwashirikisha majirani wa Kongo wenye nia ya dhati kuisaidia, sasa tunaona amani yaweza kurejea mashariki ya Kongo.

Ni wazi kuwaTanzania haina chake ndani ya Afrika Masharikikutokana na hatua za wazi za kutengwa na majirani zetu wa kaskazini.

Lakini akufungiaye njia anakuonyesha mlango mzuri zaidi , hata ni kama wa kuufanyia kazi zaidi.

Ni vema sasa watanzania tukaweka mguu ndani ya Kongo, mguu wa kibiashara, mguu ambao hautaondolewa na tsifa lolote..

Ni muhimu sasa wananchi wa Kongo na Tanzania tukawa wamojs na kuendeleza spirit ya Goma, spirit yz ushirikiani kibiashara sasa.

Kilichobaki ni kuendeleza reli ya kati hadi Kigoma. Na kuanzisha rail ferries hadi mashariki mwa Kongo na kushinikiza wenzetu wa Kongo ku ifungua nchi yso kwa kujenga reli hadi Kinshasa.

Utajiri mkubwa wa Kongo na Tanzania utakuwa kichocheo kikubwa sana katika kujenga reli hii.

I have a dream!!!
Khaa!! huo ndiyo wivu wa kike. Yaani tujenge reli tu kwa sababu tumetengwa EAC?? Tanzania inaweza kujitegemea yenyewe ikitaka. Tunashindwa kutumia kwa ufanisi reli tulizo nazo hadi mazao ya yanaharibikia mashambani na yanayofika sokoni huwa ghali sana kutokana na ongezeko la gharama za kipuuzi tu tunapoteza mapesa mengi kwa ajili ya kukarabati barabara zetu kwa sababu ya kupitisha mizigo mikubwa. Tunashindwa hata kujenga vireli vidogo vidogo viondoe msongamano katika majiji yetu. Tuache ujinga hivi siku Congo na Rwanda wakiungana tutakuwa wageni wa nani?? Hebu tujiweke sawa kwanza ndani kwetu kisha ndiyo tuanze kuangalia manufaa tutakayoyapata nje. Amka wewe acha ndoto za alinacha :A S 39:
 
mkuu hiyo reli kutoka dar hadi kinshasa itapita wapi? malawi au ruanda?? wote hao maadui zetu
afnewtest.gif
Khaa!! hapo Lake Malawi ndiyo panafaa :A S 39:
 
Khaa!! huo ndiyo wivu wa kike. Yaani tujenge reli tu kwa sababu tumetengwa EAC?? Tanzania inaweza kujitegemea yenyewe ikitaka. Tunashindwa kutumia kwa ufanisi reli tulizo nazo hadi mazao ya yanaharibikia mashambani na yanayofika sokoni huwa ghali sana kutokana na ongezeko la gharama za kipuuzi tu tunapoteza mapesa mengi kwa ajili ya kukarabati barabara zetu kwa sababu ya kupitisha mizigo mikubwa. Tunashindwa hata kujenga vireli vidogo vidogo viondoe msongamano katika majiji yetu. Tuache ujinga hivi siku Congo na Rwanda wakiungana tutakuwa wageni wa nani?? Hebu tujiweke sawa kwanza ndani kwetu kisha ndiyo tuanze kuangalia manufaa tutakayoyapata nje. Amka wewe acha ndoto za alinacha :A S 39:
Na wewe khaaa!
Watoka mchambawima nini.
Matusi katika mada waachie wale e wa F4F, katika mada za uchumi wa kitaifa jaribu kuwa serious, na kama wafiikiri mambo ya EAC ni utani basi uelewa wako lazima una walakin.
 
licha ya kutukana kumbe nawe zero brain
wajuzi wamesema itajengwa port kigoma au itapitia burundi kwenda congo
nliuliza swali sikupinga mada ulipaswa kujibu ingetosha


wewe utakuwa unawaza kwa kutumia Ma------ kwani Malawi haipakani na DRC, hivyo point yako inakuwa batili hata kabla ya kuifikiria, pili Joyce hana akili mbovu, ndio ana matamanio lakini anajua anachoweza na asichoweza ndio maana haonge ovyo ovyo, au kufanya vituko ku discredit majirani zake, na pia ndio maana Chisano anaendelea na usuluhishi.
Tatu tunaweza kupitia Zambia ambapo reli ipo kwa sasa au kutumia Kasanga Port. Mpaka hapo au bado akili ipo......?
 
Khaa!! hapo Lake Malawi ndiyo panafaa :A S 39:

Nyie watu changieni objectively na watu wawaelewe, kama hujui si kosa , ukiuliza utaaeleweshwa, JF darasa kubwa tunajua elimu ya siku hizi ilivyo na mapungufu.
 
Target kubwa ya Kenya si Rwanda wala Uganda, target kubwa ni kuichukua DRC kibiashara hivyo Kenya anajitahidi kuweka Bandari ya nchi kavu Rwanda na Uganda kuikamata East Congo, lakini Kigeographia Tanzania ndio ana advantage kubwa kaktika hili. Ni kweli miji iliyokuwa far North ya East Congo kama Goma iko karibu sana na Uganda na Rwanda na hata Tanzania kuifikia miji hiyo ni lazima tupite Rwanda,
lakini Tanzania ina advantage ya kufanya biashara na sehemu kubwa ya East Congo na mpaka Katanga province.

Tukitoa Kivu ya Kaskazini ambayo iko mbali na Tanzaia, Kivu ya Kusini na Maniema (Manyema) Pronvice inaweza kuwa target kubwa ya kibiashara, Reli inayotoka Kalemie (Katanga province) kabla ya kufika Lubumbashi (Katanga Province) inapitia Kasongo (Maniema Province), hivyo kunakuwa na Link ya Ziwa Tanganyika kuzifikia pronvice tofauti za DRC na hiyo ni root nzuri sana ya kusafirisha Shaba kutoka copper belt (Katanga Province) kwenda Asia na Europe

Kuna Advantage nyingine ambayo bado hatujaiona vizuri Watanzania ile ya kutumia Ziwa Tanganyika, Kuna link kubwa sana kati ya Tanzania na Zambia na labda Zimbabwe, kwa maana sasa (Wazimbabwe) wanaingia kwa wingi sana Tanzania kufanya manunuzi. kama Rail ya kati ikifanyiwa marekebisho makubwa na Kigoma ikawa Bandari ya nchi kavu na soko kubwa la bidhaa mfano wa Kariakoo (au Dubai ya JK), kinachotakiwa ni kuwekwa Boti za abiria za kisasa ndani ya Ziwa Tanganyika zitakazo unganisha Zambia (Mpulungu port), DRC-Kalemie Port (Katanga province) na DRC-Uvira port (South Kivu), Hilo likiwezekana Tanzania haitatingishika na Coalition inayotengezwa ya Kenya, Uganda, Rwanda

CC: Tuko, Sikonge


Plan za kuboresha miundombinu ya usafiri kati yetu na nchi jirani ni nzuri. Hata hivyo mipango hiyo isiishie tu kuifanya Tz kuwa stepping stone ya kypitishia bidhaa za China na kupeleka malighafi ng'ambo, hatutafaidika.
tukiweza kuzalisha bidhaa kwa bei nafuu (potentiality tunayo), then hata kwa miundombinu ya sasa tutafaidika kwa kuuza Kenya, uganda, congo, rwanda burundi na nchi za kusini. Azam anauza kidogo huko lakini tukuwekeza katika kilimo vizuri, in few years tutatengeneza mamia ya mabilioni ya dola kula mwaka kutoka kwa majirani zetu wote...
 
Last edited by a moderator:
Eti I have a dream...Yaani ndoto zingine kuziota ni uchuro hutakiwi hata kumwambia mtu.Nikuulize wewe mleta mada ile reli ya treni za kasi Dar -Mwanza aliyotuahidi m.u.ngu wako tayari?Ile Dubai in Kigoma vipi?Kama serikali yako unayoitukuza na kuilamba miguu imeshindwa hadi leo ..itaweza hiyo ndefu yenye changamoto kiasi hiki?Ile dry port pale Isaka waliojengewa Rwanda nipe ufanisi wake kabla ya kuja na huu uchuro wako.Ungekuwa na uwezo kidogo wa kufikiri ungesema iimarishwe reli ya kati(ambayo inapigwa vita na chama chako na mafisadi) wachukulie mizigo Kigoma in large volumes kwa meli.Ninachoshangaa zaidi hata wale niliodhani wana akili za kufanya analysis leo wanakuunga mkono ptu!
 
Eti I have a dream...Yaani ndoto zingine kuziota ni uchuro hutakiwi hata kumwambia mtu.Nikuulize wewe mleta mada ile reli ya treni za kasi Dar -Mwanza aliyotuahidi m.u.ngu wako tayari?Ile Dubai in Kigoma vipi?Kama serikali yako unayoitukuza na kuilamba miguu imeshindwa hadi leo ..itaweza hiyo ndefu yenye changamoto kiasi hiki?Ile dry port pale Isaka waliojengewa Rwanda nipe ufanisi wake kabla ya kuja na huu uchuro wako.Ungekuwa na uwezo kidogo wa kufikiri ungesema iimarishwe reli ya kati(ambayo inapigwa vita na chama chako na mafisadi) wachukulie mizigo Kigoma in large volumes kwa meli.Ninachoshangaa zaidi hata wale niliodhani wana akili za kufanya analysis leo wanakuunga mkono ptu!
Mkuu usijisikie vibaya kuambiwa you fall short in reasoning.
 
Sasa Tanzania imejifunza vitu vingi.
Siasa ni mfumo wa kiuchumi ambso utawainua wananchi husika.
Siasa ya Tanzania kwa nchi za nje kwa miska mingi imekuwa ya ukombozi, ukombozi wa mwafrika toka tawala za kikandamizi za kikoloni.

Hivi karibuni Tanzania imejikuta katika sakata la kuitetea Kongo na wananchi wake walioko mashariki mwa Kongo.

Wananchi hawa kwa miaka mingi wamekuwa katika mlolongo wa matatizo ya kukosa amani na ustawi wa jamii.

Umoja wa mataifa umejaribu kwa miongo mingi tu kuleta amani bila mafanikio.
Lakini ni katika jaribio la mwisho hili la kutumia nguvu kwa kuwashirikisha majirani wa Kongo wenye nia ya dhati kuisaidia, sasa tunaona amani yaweza kurejea mashariki ya Kongo.

Ni wazi kuwaTanzania haina chake ndani ya Afrika Masharikikutokana na hatua za wazi za kutengwa na majirani zetu wa kaskazini.

Lakini akufungiaye njia anakuonyesha mlango mzuri zaidi , hata ni kama wa kuufanyia kazi zaidi.

Ni vema sasa watanzania tukaweka mguu ndani ya Kongo, mguu wa kibiashara, mguu ambao hautaondolewa na tsifa lolote..

Ni muhimu sasa wananchi wa Kongo na Tanzania tukawa wamojs na kuendeleza spirit ya Goma, spirit yz ushirikiani kibiashara sasa.

Kilichobaki ni kuendeleza reli ya kati hadi Kigoma. Na kuanzisha rail ferries hadi mashariki mwa Kongo na kushinikiza wenzetu wa Kongo ku ifungua nchi yso kwa kujenga reli hadi Kinshasa.

Utajiri mkubwa wa Kongo na Tanzania utakuwa kichocheo kikubwa sana katika kujenga reli hii.

I have a dream!!!
Its OK but very unrealistic, kujenga na kuimarisha reli ya kati tuu imeshindikana leo unaleta story za kujenga reli to Kinshasa,na una nini cha kuuza Kinshasa hata umeme na viwanda huna vya kuzalisha chochote?kama ni chakula Congo wanacho na hawahitaji...be realistic acha mawazo ya siasa za muda mfupi zisizo na maana yeyote,Kenya,Rwanda,Uganda unawahitaji na ni muhimu kuliko Congo
 
Back
Top Bottom