Dar es salaam-Kinshasa Railway lazima ijengwe

Dar es salaam-Kinshasa Railway lazima ijengwe

mkuu hiyo reli kutoka dar hadi kinshasa itapita wapi? malawi au ruanda?? wote hao maadui zetu
afnewtest.gif

wewe utakuwa unawaza kwa kutumia Ma------ kwani Malawi haipakani na DRC, hivyo point yako inakuwa batili hata kabla ya kuifikiria, pili Joyce hana akili mbovu, ndio ana matamanio lakini anajua anachoweza na asichoweza ndio maana haonge ovyo ovyo, au kufanya vituko ku discredit majirani zake, na pia ndio maana Chisano anaendelea na usuluhishi.
Tatu tunaweza kupitia Zambia ambapo reli ipo kwa sasa au kutumia Kasanga Port. Mpaka hapo au bado akili ipo......?
 
wewe utakuwa unawaza kwa kutumia Ma------ kwani Malawi haipakani na DRC, hivyo point yako inakuwa batili hata kabla ya kuifikiria, pili Joyce hana akili mbovu, ndio ana matamanio lakini anajua anachoweza na asichoweza ndio maana haonge ovyo ovyo, au kufanya vituko ku discredit majirani zake, na pia ndio maana Chisano anaendelea na usuluhishi.
Tatu tunaweza kupitia Zambia ambapo reli ipo kwa sasa au kutumia Kasanga Port. Mpaka hapo au bado akili ipo......?

Naona unatimua vumbi tu Mkuu!Sijui ulikuwa bado una hasira ya kugombezwa na Boss wako kazini wakati unaandika hii post?Ungelala kwanza akili itulie kabla ya kuchangia!!!LOL!!!
 
Naona unatimua vumbi tu Mkuu!Sijui ulikuwa bado una hasira ya kugombezwa na Boss wako kazini wakati unaandika hii post?Ungelala kwanza akili itulie kabla ya kuchangia!!!LOL!!!
naona una mtetea mkeo/mumewo kwa kuandika utumbo usio husiana na hali halisi ya bongo na mikakati ya Tz kupambana na watu wenye akili ya vita vita na wizi
 
Ni ukweli mtupu lakini kinachotakiwa kwanza ni kuwaondoa manyang'au madarakani kwanza . Tumeshindwa kuitumia reli ya Tazara kwa uroho tu wa rushwa
 
mkuu hiyo reli kutoka dar hadi kinshasa itapita wapi? malawi au ruanda?? wote hao maadui zetu
afnewtest.gif

Congo ni kubwa sana kulinganisha na nchi zote za EAC. Hata hivyo tusisahau kuwa Congo tulishakuwa nao zamani kibiashara. Kujitoa kwa Rwanda na Uganda ni kupoteza Biashara

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Congo ni kubwa sana kulinganisha na nchi zote za EAC. Hata hivyo tusisahau kuwa Congo tulishakuwa nao zamani kibiashara. Kujitoa kwa Rwanda na Uganda ni kupoteza Biashara

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

Asante kwa kuliona hilo mkuu, lakini tusijitoe huku north ila tujiongezee wigo wa kibiashara.
 
mkuu hiyo reli kutoka dar hadi kinshasa itapita wapi? malawi au ruanda?? wote hao maadui zetu
afnewtest.gif
Asante kwa ramani hii, lakini wadau wanasahau kuwa reli hii ya Dar-Kinshasa kwa upande wa Tanzania tayari ipo(Dar-Kigoma).
Vile vile wengine wanasahau kuwa Ziwa Tanganika si kikwazo kwani hata hapo zanani reli ya Dar-Mwanza-Entenbe ilikuwa inafanya kazi vizuri tu kwa kuwa na railway ferries zinazo ishia Port Bell Uganda.

Lazima miradi hii mikubwa ibuniwe na tusingoje wengine wachukue initiative na waka take advantage ya kulala kwetu.
 
Unafikiri kuwa nchi ya Congo haina Bandari?
Tazama vizuri ramani na utaona kuwa toka east Congo ni mbali zaidi hadi Kinshasa kuliko kwenda Dar.

Na ninavyozungumza sasa, ukienda Tunduma zaidi ya 40% ya mixingo inayotoka nje inaenda Kongo.
Tuchangamkie fursa.
 
Watekelezaji hii miradi ni wakina nani au hayahaya maccm yanayouza kila kitu, tuache juhidanganya na ndoto za alinacha na vimbelembele vyetu
 
Sasa Tanzania imejifunza vitu vingi.
Siasa ni mfumo wa kiuchumi ambso utawainua wananchi husika.
Siasa ya Tanzania kwa nchi za nje kwa miska mingi imekuwa ya ukombozi, ukombozi wa mwafrika toka tawala za kikandamizi za kikoloni.

Hivi karibuni Tanzania imejikuta katika sakata la kuitetea Kongo na wananchi wake walioko mashariki mwa Kongo.

Wananchi hawa kwa miaka mingi wamekuwa katika mlolongo wa matatizo ya kukosa amani na ustawi wa jamii.

Umoja wa mataifa umejaribu kwa miongo mingi tu kuleta amani bila mafanikio.
Lakini ni katika jaribio la mwisho hili la kutumia nguvu kwa kuwashirikisha majirani wa Kongo wenye nia ya dhati kuisaidia, sasa tunaona amani yaweza kurejea mashariki ya Kongo.

Ni wazi kuwaTanzania haina chake ndani ya Afrika Masharikikutokana na hatua za wazi za kutengwa na majirani zetu wa kaskazini.

Lakini akufungiaye njia anakuonyesha mlango mzuri zaidi , hata ni kama wa kuufanyia kazi zaidi.

Ni vema sasa watanzania tukaweka mguu ndani ya Kongo, mguu wa kibiashara, mguu ambao hautaondolewa na tsifa lolote..

Ni muhimu sasa wananchi wa Kongo na Tanzania tukawa wamojs na kuendeleza spirit ya Goma, spirit yz ushirikiani kibiashara sasa.

Kilichobaki ni kuendeleza reli ya kati hadi Kigoma. Na kuanzisha rail ferries hadi mashariki mwa Kongo na kushinikiza wenzetu wa Kongo ku ifungua nchi yso kwa kujenga reli hadi Kinshasa.

Utajiri mkubwa wa Kongo na Tanzania utakuwa kichocheo kikubwa sana katika kujenga reli hii.

I have a dream!!!

Naungana na wewe Mkuu katika hili South Africa wameshaanza kuwekeza na Zuma alikuwa huko Majuzi na wamekubaliana kujenga Bwawa la Umeme na ushirikiano wa Kibiashara.Tatizo letu ni kwamba bando tuna syndicate ya kimatonyamatonya na hatujielekezi kuwekeza kwa kutumia fursa tulizonazo zaidi yakuzunguka zunguka ulaya. Hapa siyo kuimarisha Reli tu iwe nipamoja na kuwawezesha wafanya Biashara wadogo na Wakati kujipenyeza huko na kufanya shughuli za kibiashara .Pia kuboresha upatikanaji wa mitaji kwa ajili ya uwekezaji kwa kuweka Mikopo ya Riba Nafuu.
 
mkuu hiyo reli kutoka dar hadi kinshasa itapita wapi? malawi au ruanda?? wote hao maadui zetu
afnewtest.gif


Sio lazima reli kufika mpaka Kongo kabisa. Unaweza ukaishia lake Tanganyika on our side na kwa upande wao. Jenga bandari on our side and on their side.
 
Naungana na wewe Mkuu katika hili South Africa wameshaanza kuwekeza na Zuma alikuwa huko Majuzi na wamekubaliana kujenga Bwawa la Umeme na ushirikiano wa Kibiashara.Tatizo letu ni kwamba bando tuna syndicate ya kimatonyamatonya na hatujielekezi kuwekeza kwa kutumia fursa tulizonazo zaidi yakuzunguka zunguka ulaya. Hapa siyo kuimarisha Reli tu iwe nipamoja na kuwawezesha wafanya Biashara wadogo na Wakati kujipenyeza huko na kufanya shughuli za kibiashara .Pia kuboresha upatikanaji wa mitaji kwa ajili ya uwekezaji kwa kuweka Mikopo ya Riba Nafuu.

Thats the spirit mkuu
Lazima siasa zetu zilenge kwenye kufaidika kiuchumi.
Siyo siri katika miaka ya huko mbele Kongo itakuwa a giant economical power house, na sisi tujiweke kufaidika.
 
Mawazo mazuri sana, ila sisi bado si watu/nchi ya kibiashara. Tuendelee kufikiri vizuri huku tukiamsha Ari na Mazingira ya kibiashara. Serikali ifanye bishara yenyewe, kupitia mashirika yake, na makampuni ya kitanzania haya haya madogo madogo yawezeshwe, kuweka mazingira bora kabisa kwa watz wengi zaidi kufanya biashara. Ili Hizi fulsa zipate kutumika bara bara. Haya yote yanawezekana ni uthubutu tuu ndio tumekosa.
 
Yote yaliyozungumzwa ni mema na mazuri,ispokuwa kabla ya yote tanzania haina budi kuisaidia drc,1> ktk kuimarisha jeshi lake pamoja na kurecruit vijana wenye origin ya kongo wasio na damu ya kitutsi,2>kuimarisha
mfumo bora zaidi kiusalama wa ndani ya drc 3>kunutralise vikosi vyote vidogo vidogo vya waasi pamoja na kunyanganya silaha zote 4>extend democracy and so so
 
Yote yaliyozungumzwa ni mema na mazuri,ispokuwa kabla ya yote tanzania haina budi kuisaidia drc,1> ktk kuimarisha jeshi lake pamoja na kurecruit vijana wenye origin ya kongo wasio na damu ya kitutsi,2>kuimarisha
mfumo bora zaidi kiusalama wa ndani ya drc 3>kunutralise vikosi vyote vidogo vidogo vya waasi pamoja na kunyanganya silaha zote 4>extend democracy and so so

Mkuu viya isivyoisha Kongo ni sababu ya umasikini.
Wakianza kujenga reli hii hata hao wapiganaji wataajiriwa kwa kipato kizuri tu bila kujali ni kabila gani.
Lakini ni kweli usalama lazima uhakikishwe, na naona hilo linaonekana wazi kwa matukio ya Goma na jinsi M23 walivyo shughulikiwa.
Kongo ikiamua inaweza.
 
Maamuzi yoyote ya jazba na kukomoana yatatucost sana kwa kuwa viongozi waliopo madarakani ndio wanaobadili upepo wa mahusiano baina ya nchi na nchi! Iam sure wakiondoka tu madarakani utaona upepo utakavyobadilika. I think we need to be careful kabla ya kuanza kuingiza mipesa yetu kisha yakaishia njiani kama tulivyoanza kuwekeza kwenye miuondombini na Rwanda. Tuache siasa za visasi............Ya ngoswe mwachie ngoswe
 
Back
Top Bottom