Reli ipi ijengwe wakati reli zilizopo mnazidi kuzibunia mikakati ya kuziua?
Na ndiyo sababu wenzetu kaona kutushirikisha ni kujaza viti tu katika vikao vyao vya maamuzi, maana waliona tuna opportunities nyingi lakini hatuzitumii. Miundo mbinu ya reli ipo lakini mashiriki yote yapo taabani, mbaya zaidi wakaona tunapoteza hela nyingi kukarabati barabara, badala ya kutumia reli iliyopo, wakaona mikakati ya nchi yetu ni ya maslahi ya watu wachache zaidi na wala hayana ustawi kwa taifa ndiyo maana, wakaamua kwenda kivyao.
Hapa mchawi ni watanzania wenyewe, wala msilie kutengwa, hata huyo mkongo, very soon mtaona akipata akili zake atakavyobadirika na kuwageuka. Sijui mtalia na nani?