Dar es Salaam ili uende kazini na kurudi lazima uandae elfu 10 ya usafiri pamoja na chakula. Maskini hana chake hapa nchini

Naandika hii mada nikiwa na uchungu moyoni.

Sasa hivi nina miezi kama 4 hivi natumia Daladala kwenda na kurudi kazini na mara chache, tena chache sana huwa natumia bodaboda kazini mpaka home, home mpaka kazini.

Kutoka Nyumbani mpaka kazini nikipanda bodaboda direct ni elfu 15. Go and return inalala 30000 sh
Nikipanda bodaboda 1500 sh. mpaka kituo cha Daladala na nikipanda Daladala moja mpaka kazini awali nilikuwa natumia 1000 sh. Jumla 2500 sh, kwenda na kurudi natumia sh. 5000 kamili, nikipanda gari mbili nilikuwa natumia kama elfu 6 hivi. Pesa ambayo himilivu kwangu.

Ila sasa nikipanda Daladala itanilazimu nitumie takribani 7000 kwenda na kurudi.

Hapo ukiweka na chakula na maji around 5000.

Kwahiyo Mimi tu inabidi nitumie angalau elfu 12 kwaajili ya kazini. Familia kwa sasa hali ilivyo kwa siku ni sh. 10 -20 hapo mahitaji yote muhimu kama gas, mkaa, chumvi, Michele na unga viko ndani. Kama havipo lazima uangushe 20.

Kwahiyo inanilazimu kwa siku nitumie kuanzia elfu 30.

Vipi kwa anayelipwa laki 2.5 au laki tatu kwa Wahindi?

Vipi anayelipwa elfu 7 kiwandani kwa siku?

Kipato changu kidogo nahisi kupata msongo wa mawazo.

Serikali ipunguze nauli, watu wanashindia mihogo makazini Ili kubana nauli za kurudia nyumbani jioni.

Hakuna mtumishi wa umma au mwajiriwa wa sekta binafsi Dar es Salaam anaweza kununua kiwanja center labda awe fisadi. Wengi tunajuchanga tunapata viwanja Chanika, Bagamoyo, Kisarawe, Pugu n.k.

Kwa nauli hizi Ili ugeuke na gari upate seat lazima ujipange. Unakuta kila ukipiga hesabu 20 imeenda kwa usafiri na misosi.

Umaskini utaendelea kutupiga maana hatuna mtetezi.
Na bado mkuu! Wakulima na wao wanapanga wawe na chama Chao kitakachokuwa kinapanga bei za mazao yote ya chakula.
Wanadai kilq mtu ale urefu wa kamba yake.
Pandisha ghalama za usafiri, napandisha bei mazao.
 
Sometimes tuache kulalamikia serikali kila siku,

Wew unajua una kazi ya kudumu kkoo,
Unaenda nunua na kujenga nyumba huko kibaha kwa mfipa tena ndani kabisa, unataka serikali ifanyaje ?
Sometimes tusikwepe majukumu yetu na uzembe wetu wa kupiga hesabu, mtoa mada angejua maisha yake pengine angejichanga zaidi apate kiwanja karibu na kazini

kwahiyo kama unafanya kazi Kariakoo, ujenge Magomeni, Sinza, Keko, Chang'ombe nk, unajua bei ya maeneo karibu na hiyo unayosema kariakoo.

Watu wanaopt kukaa mbagara na huko Kibaha kutokana na bei ya viwanja kuwa rahisi maana hata hapo kwenye viwanja napo hapana control.

Serikali inajukumu kubwa kufanya standard ya maisha ya watu wake inakuwa nzuri na pia ina jukumu la kufanya bei za bidhaa na huduma zinaendana na uhalisia wa watu wake.

Kama Serikali inashindwa kucontrol mifumo inayopandisha gharama za maisha kwanini tusiilaumu, kama serikali imeshindwa kucontrol bei za mafuta, imeshindwa kujenga miundo mbinu na kurahisisha huduma za usafiri kwenye miji kwanini isilaumiwe?
 
Naandika hii mada nikiwa na uchungu moyoni.

Sasa hivi nina miezi kama 4 hivi natumia Daladala kwenda na kurudi kazini na mara chache, tena chache sana huwa natumia bodaboda kazini mpaka home, home mpaka kazini.

Kutoka Nyumbani mpaka kazini nikipanda bodaboda direct ni elfu 15. Go and return inalala 30000 sh
Nikipanda bodaboda 1500 sh. mpaka kituo cha Daladala na nikipanda Daladala moja mpaka kazini awali nilikuwa natumia 1000 sh. Jumla 2500 sh, kwenda na kurudi natumia sh. 5000 kamili, nikipanda gari mbili nilikuwa natumia kama elfu 6 hivi. Pesa ambayo himilivu kwangu.

Ila sasa nikipanda Daladala itanilazimu nitumie takribani 7000 kwenda na kurudi.

Hapo ukiweka na chakula na maji around 5000.

Kwahiyo Mimi tu inabidi nitumie angalau elfu 12 kwaajili ya kazini. Familia kwa sasa hali ilivyo kwa siku ni sh. 10 -20 hapo mahitaji yote muhimu kama gas, mkaa, chumvi, Michele na unga viko ndani. Kama havipo lazima uangushe 20.

Kwahiyo inanilazimu kwa siku nitumie kuanzia elfu 30.

Vipi kwa anayelipwa laki 2.5 au laki tatu kwa Wahindi?

Vipi anayelipwa elfu 7 kiwandani kwa siku?

Kipato changu kidogo nahisi kupata msongo wa mawazo.

Serikali ipunguze nauli, watu wanashindia mihogo makazini Ili kubana nauli za kurudia nyumbani jioni.

Hakuna mtumishi wa umma au mwajiriwa wa sekta binafsi Dar es Salaam anaweza kununua kiwanja center labda awe fisadi. Wengi tunajuchanga tunapata viwanja Chanika, Bagamoyo, Kisarawe, Pugu n.k.

Kwa nauli hizi Ili ugeuke na gari upate seat lazima ujipange. Unakuta kila ukipiga hesabu 20 imeenda kwa usafiri na misosi.

Umaskini utaendelea kutupiga maana hatuna mtetezi.
Rais Samia aione kwenye jalada
 
Naandika hii mada nikiwa na uchungu moyoni.

Sasa hivi nina miezi kama 4 hivi natumia Daladala kwenda na kurudi kazini na mara chache, tena chache sana huwa natumia bodaboda kazini mpaka home, home mpaka kazini.

Kutoka Nyumbani mpaka kazini nikipanda bodaboda direct ni elfu 15. Go and return inalala 30000 sh
Nikipanda bodaboda 1500 sh. mpaka kituo cha Daladala na nikipanda Daladala moja mpaka kazini awali nilikuwa natumia 1000 sh. Jumla 2500 sh, kwenda na kurudi natumia sh. 5000 kamili, nikipanda gari mbili nilikuwa natumia kama elfu 6 hivi. Pesa ambayo himilivu kwangu.

Ila sasa nikipanda Daladala itanilazimu nitumie takribani 7000 kwenda na kurudi.

Hapo ukiweka na chakula na maji around 5000.

Kwahiyo Mimi tu inabidi nitumie angalau elfu 12 kwaajili ya kazini. Familia kwa sasa hali ilivyo kwa siku ni sh. 10 -20 hapo mahitaji yote muhimu kama gas, mkaa, chumvi, Michele na unga viko ndani. Kama havipo lazima uangushe 20.

Kwahiyo inanilazimu kwa siku nitumie kuanzia elfu 30.

Vipi kwa anayelipwa laki 2.5 au laki tatu kwa Wahindi?

Vipi anayelipwa elfu 7 kiwandani kwa siku?

Kipato changu kidogo nahisi kupata msongo wa mawazo.

Serikali ipunguze nauli, watu wanashindia mihogo makazini Ili kubana nauli za kurudia nyumbani jioni.

Hakuna mtumishi wa umma au mwajiriwa wa sekta binafsi Dar es Salaam anaweza kununua kiwanja center labda awe fisadi. Wengi tunajuchanga tunapata viwanja Chanika, Bagamoyo, Kisarawe, Pugu n.k.

Kwa nauli hizi Ili ugeuke na gari upate seat lazima ujipange. Unakuta kila ukipiga hesabu 20 imeenda kwa usafiri na misosi.

Umaskini utaendelea kutupiga maana hatuna mtetezi.
kuna lile PUNGA linaitwa LUCAS MWASHAMBWA halielewagi haya mambo,lenyewe kazi kusifia tu
 
kwahiyo kama unafanya kazi Kariakoo, ujenge Magomeni, Sinza, Keko, Chang'ombe nk, unajua bei ya maeneo karibu na hiyo unayosema kariakoo.

Watu wanaopt kukaa mbagara na huko Kibaha kutokana na bei ya viwanja kuwa rahisi maana hata hapo kwenye viwanja napo hapana control.

Serikali inajukumu kubwa kufanya standard ya maisha ya watu wake inakuwa nzuri na pia ina jukumu la kufanya bei za bidhaa na huduma zinaendana na uhalisia wa watu wake.

Kama Serikali inashindwa kucontrol mifumo inayopandisha gharama za maisha kwanini tusiilaumu, kama serikali imeshindwa kucontrol bei za mafuta, imeshindwa kujenga miundo mbinu na kurahisisha huduma za usafiri kwenye miji kwanini isilaumiwe?
Unafanya kazi kkoo, unashindwa kwenda kimara ? Malamba mawili humo viwanja kwa 7M unapata ukubwa wa kutosha na hivyo unatumia 1000-1500 kufika job,
Sasa unafanya kazi kkoo halafu unanunua uwanja kibaha ndani ndani huko sehemu ya wew kupanda boda kufika barabaran,

Huu ni uzembe wake, asiilamu serikali
 
Nikimwangalia huyu mama naona kabisa hamna project yoyote pale kichwani.... Wanaume kuongozwa na mama dizaini ile ni aibu.
Unakuta nauli ilikuwa inapaswa kuongezwa shiling 100 pekee ila wameongeza 200 ili baadae wapunguze hio 100 kwa kumpa promosheni mama samia ili aonekane ana huruma sana na watanzania

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
kwahiyo kama unafanya kazi Kariakoo, ujenge Magomeni, Sinza, Keko, Chang'ombe nk, unajua bei ya maeneo karibu na hiyo unayosema kariakoo.

Watu wanaopt kukaa mbagara na huko Kibaha kutokana na bei ya viwanja kuwa rahisi maana hata hapo kwenye viwanja napo hapana control.

Serikali inajukumu kubwa kufanya standard ya maisha ya watu wake inakuwa nzuri na pia ina jukumu la kufanya bei za bidhaa na huduma zinaendana na uhalisia wa watu wake.

Kama Serikali inashindwa kucontrol mifumo inayopandisha gharama za maisha kwanini tusiilaumu, kama serikali imeshindwa kucontrol bei za mafuta, imeshindwa kujenga miundo mbinu na kurahisisha huduma za usafiri kwenye miji kwanini isilaumiwe?
Serikali ipi kaka unayozungumzia? Hii hii ya ccm iliyojaa walafi wabinafsi machawa na mafisadi? Hii haiwezi kufanya lolote kuset living standards, bali itafanya Kila kitu kukamua Kodi na kuneemesha matumbo yao tu.

Kwa sasa kila raia apambane kivyake kuboresha maisha yake mwenyewe.


Lakini watanzania nao ni wa kulaumiwa, maana mambo kama haya yanayogusa maisha yao yakitangazwa michakato yake huwa wako busy na umbea, vigodoro, singeli ngono fumanizi , Simba na yanga. Hawana habari . Utekelezaji ukianza ndio wanajifanya kushituka
 
  • Kumbe ndio sababu kuu ya kampeni ya KATAA NDOA! I
  • kiwa kijana ana uwezo wa kujihudumia mwenyewe na akabakiwa na akiba hawezi kakaa fahari ya kuitwa MME.
  • Kumbe maisha ni magumu hivyo huko town ndio maana umri ukienda mnaona bora mzae kama wanyama - dume halijui kuhudumia mtoto wala mtoto hamjui baba wala ndugu wa baba. NI HATARI!
 
Boda boda mpya 1lt inapiga 50Km
Ikishakuwa chakavu inapiga 35-42Km
Ukienda kuibana cableta inapiga 55-60Km

Kwa rate hiyo mtu unaweza kukaa bunju na kufanya kazi kariakoo kwa Lita 1 tu go and return ambayo ni 3200 per lita.

Kwa common sense kutoka bunju had kariakoo huwezi kumkosa abiria hata 1 ambaye ukimuambia akupe buku 5 au buku nne hawezi kukataa.
Sasa ukipiga hesabu umeenda na kichwa kimoja kakupa elfu 4 means kakulipia hela ya mafuta.

Kurudi umepata kichwa kingine kakupa buku 4 means umepata hela ya msosi kazini.

Kwa mantiki hii hautakuwa na kuhangaika na mshahara wako.

Note. Service za boda boda siyo ghali na kubwa kinachotakiwa ni kubadilisha oil kila baada ya week 2 au siku 10. Na hiyo oil ni buku ,8-10

Kwa boda boda ambayo private haiwezi kupata hitilafu.

Bei ya boda boda, polisi unaweza kuuziwa kuanzia laki 5-9.

Za mtaani kuanzia laki 8-2M
Ukienda dukani jipange na 2.6-3.1M

Kupanga ni.kuchagua.
Absolutely right, but ktk jiji hili ambalo limesheheni magari na idadi nzuri tu ya madereva makanjanja, risk ya kutumia boda iko juu sana!
 
Tupige hesabu za mtu anayetumia gari ndogo tu inayokula wese la kawaida tu, say 1.3L engine. Mtu huyu anaendesha 50km kwenda kazini na kurudi kila siku. Gari inakula walau 1L kwa 10-12km/hr kwa wastani. Huyu mtu anahitaji kila siku kuweka wese angalau 5L x 3150 = 16,000 ≈ 20,000...hapo ameenda na kurudi, hajapata mishe yoyote ya kuongeza km.

Mwanzo tuliona wanaomiliki pikipiki hawajielewi, leo hii naona wao ndio wanafurahia maisha. Nasikia 1L inaweza kutembea hadi 60km sijui kama kuna ukweli hapo.
Sasa mkuu ukisema gari inakula 1L kwa 10-12km/hr, utawafanya watu waendeshe kwa speed hiyo ili wasitumie wese jingi, kumbe hata wakienda kwa speed kubwa, kiasi cha wese kuliwa kitakuwa kile kile cha 1L kwa 10-12km.
 
Nilishaacha kitambo kupiga mahesabu haisaidii maana haya mafisadi hayana huruma yanatunyanyasa kama mashetani vile.

Wategemezi nao hawajui kuwa kuna mabadiliko kiuchumi sasa hapo ndipo utajua kuwa hujui.

Na ukija kwa raia huku navyo walivyo wazito unabakia kupambana tu na hali yako.

Ipo hivyo.
 
Unafanya kazi kkoo, unashindwa kwenda kimara ? Malamba mawili humo viwanja kwa 7M unapata ukubwa wa kutosha na hivyo unatumia 1000-1500 kufika job,
Sasa unafanya kazi kkoo halafu unanunua uwanja kibaha ndani ndani huko sehemu ya wew kupanda boda kufika barabaran,

Huu ni uzembe wake, asiilamu serikali

sasa mkuu huko Kimara na Maramba si ni yale yale tu, bora useme Keko, Chang'ombe, Magomeni, Kinondoni, Manzese nk.

Lakini pia mkuu, hakuna anayependa kuishi Kibaha ndanindani, umasikini mkuu, jamii ya kubwa ya Watanzania ni masikini.
 
Absolutely right, but ktk jiji hili ambalo limesheheni magari na idadi nzuri tu ya madereva makanjanja, risk ya kutumia boda iko juu sana!
Kati ya usafiri ambao hauna risk naweza kusema boda boda.
Boda n umakini wako dereva tu.
Ukiona huwezi kupita main road unaweza kupita service road.
Kwani Kama ukipita high way na ukafuata Sheria utapata changamoto gani?

Mf kwenye mataa ukasimama na kwenye kuendesha ukakaa Lane yako hapo huwezi kupata ajali kizembe.

Ajali nyingi za boda boda ni uvunjifu wa Sheria unakuta
kwenye Mataa unaforce kupita
Unapenya Kati Kati ya roli na basi
Una overtake basi au roli kwa pembeni au upande wa dereva .

Ila ukiwa smart njiani hutopata ajali za ki puuzi.
Kingine Kama huna uwezo wa kubeba wawili chukua abiria 1 tu mwepesi.

Nyongeza

Boda boda.
Hakai foleni
Hakaguliwi na polisi
Hatoi hela ya ku brush viatu
Hapigwi mkono na polisi

Kupanga ni kuchagua.
 
Back
Top Bottom