Na sio sawa, Utumishi ni kama mraba, kila mtu analima wa kwake, amekosea.Kujiita mrithi wa Bonnke ndio tangazo la biashara.
Hauzi kitu chochot na wala haitaji pesa yako anakufundisha na kukuombeaHuyo Bonnke ndiyo nani??
Nilifikiri mrithi wa nabii TB shujaa wa Africa.
Hawa beberu nyuma yake utasikia wananunua au kuuza kitu fulani.
Hizi dini bado zina malengo ya kikoloni.
Everyday is Saturday...............................
Sawa anatumia pesa zake binafsi kufunga masteji na maspika.Hauzi kitu chochot na wala haitaji pesa yako anakufundisha na kukuombea
Kwan si kuna sadaka ndugu watu wanatoa ndo zinawezesha hivyo vitu lakin sio kuuza maji au mafutaSawa anatumia pesa zake binafsi kufunga masteji na maspika.
Anasafiri bure, hotel pia huduma ni bure.
Everyday is Saturday...............................
Siongelei maji wala mafuta, beberu anayetumika kikoloni hana biashara za kuuza chumvi, biashara mbuzi hizo za muafrika.Kwan si kuna sadaka ndugu watu wanatoa ndo zinawezesha hivyo vitu lakin sio kuuza maji au mafuta
Ha ha ha barikiwa mtumishiBonnke noma sana nakumbukuka nilibaki na kitabu chake.
siku aliyokua anaondoka Tz alisema tutaonana paradiso na tutamgundua huko paradiso kwa kua atakuwa anaimba sauti ya juu mnoo ingawa itakua inakwaruza-kwaruza.
mrithi wa Bhonke? ufafanuzi kidogoNi mrithi wa REINHARD BONNKE, atahubiri kuanzia leo MOROGORO, IRINGA, MBEYA NA DODOMA.
Ninasogea eneo la tukio Morogoro. Nitawaleta mrejesho itakavyokuwa.
MUNGU AWABARIKI WOTE WATAKAOHUDHURIA MIKUTANO HII YA CFAN-,Christ For All Nations.
Sawa mkuu, Tumtakie kila la heri katika kuwaleta watu kwa YesuHuyu kijana alikuwa anafanya kazi na Bonnke kuzunguka dunia nzima kuhubiri injili.
Huduma yao inaitwa CFAN- Christ For All Nations.
Ni timu moja na Bonnke.
Kama ni Mzungu ndiyo Mhubiri nitamuamini kuliko Mwafrika Mwenzangu kwani hata katika Neno MZUNGU ukiiondoa Herufi ' Z ' tu neno linalobakia ndiyo Mmiliki Mkuu wa hii dunia tuliyopo sasa.Ni mrithi wa REINHARD BONNKE, atahubiri kuanzia leo MOROGORO, IRINGA, MBEYA NA DODOMA.
Ninasogea eneo la tukio Morogoro. Nitawaleta mrejesho itakavyokuwa.
MUNGU AWABARIKI WOTE WATAKAOHUDHURIA MIKUTANO HII YA CFAN-,Christ For All Nations.