Damu ya mtu hunuka

Damu ya mtu hunuka

Unaweza kuuliza inanukaje na pengine unadhani ni baada ya kuhifadhiwa muda mrefu kwa utaratibu usio sahihi...kwenye mada hii sina maana hiyo
Damu ya mtu ina harufu yake, harufu ya kushangaza harufu yenye kuvuta kwa namna ya ajabu kabisa...hii ni damu ile ambayo mhusika wake amekatishwa maisha yake kwa namna dhalimu
Wauaji ndio wahanga wakubwa wa hili jambo, damu ya marehemu huwanukia, huwavuta na ili waweze kuwa sawa hutamani kuua tena, nafuu yao ni kupata ile harufu, hawa ndio wale serial killers
Kuua mnyama ni tofauti kabisa na kuua mtu na sababu yake ni moja tu..binadamu ana utashi wakati mnyama ni hayawani...binadamu ana fikra yakinifu wakati mnyama hana
Ni kitu cha kawaida kabisa kumgonga mnyama kama mbwa sungura ng'ombe punda nk uwapo barabarani na ukasimulia hilo tukio bila hisia zozote! Lakini gonga mtu uone...!

Tukitoka kwenye perspective ya kawaida,huenda pia kuua mnyama sio sahihi.

Inawezekana pia huu umwagaji damu baina ya binadamu ni kutokana umwagaji damu kwa wanyama maksudi.

Kuchinja ni kuua, kuua ni kutoa uhai

Je mnyama hana haki ya kuishi kama ilivyo kwa binaadam ?
 
Tukitoka kwenye perspective ya kawaida,huenda pia kuua mnyama sio sahihi.

Inawezekana pia huu umwagaji damu baina ya binadamu ni kutokana umwagaji damu kwa wanyama maksudi.

Kuchinja ni kuua, kuua ni kutoa uhai

Je mnyama hana haki ya kuishi kama ilivyo kwa binaadam ?
Je mnyama hana haki ya kuishi kama ilivyo kwa binaadam

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee kaua 48
9fcb51c8e1fa72d90efcdd28461a0a96.jpg
01f852192494f5247121ca9ca4bdccc0.jpg
Jamaa kajutia aisee, ila still this doesn't matter.
👉Many people life's has been endangered,and now ana compesate for just saying sorry- damn all killers
 
Mkuu,
Umenikumbusha Kitabu kiitwacho "Bado Mmoja" kikiwa na mauaji mfululizo na kila ilipokutwa maiti ya mtu pembeni yake kulikuwa na karatasi yenye tangazo "bado mmoja"
Mauaji hayo yalikuwa yakifanywa na MTU aitwaye "Marcus Sayuki"
Unaeza nisaidia PDF yake mkuu.
 
Naona wakorea wana liona Hilo pia, wame Anza kutoa documentary au cinema.
👉Kuhusu Aina ya watu tulio nao, Kuna wagonjwa wengi- even I huwa naji kemea Nikiwa na hasira
Hivi tuna serial killer huko nyumbani kweli na wanajulikana?
Na kwanini huwa hakuna documentaries za mauwaji bongo? Wakati kila leo kuna mauaji kwani ingesaidia sana kuepuka
Mkuu nakuombea mema tu
Hasira zipo ila tunajizuia tu wengi ila yasifike huko
 
Hivi tuna serial killer huko nyumbani kweli na wanajulikana?
Na kwanini huwa hakuna documentaries za mauwaji bongo? Wakati kila leo kuna mauaji kwani ingesaidia sana kuepuka
Mkuu nakuombea mema tu
Hasira zipo ila tunajizuia tu wengi ila yasifike huko
Kuhusu serial killer Hawa wapo, ni vile tu hatuja gunduana.
👉Katika ngazi zote kuanzia mtu, familia, jamii na hata nchi kwa ujumla.

Wengine nadhani huanza kwa kuchukia kudhihakiwa, so ana ona the only solution ni ku deal na wabaya wake.
Katika ngazi ya familia-, nasikia Wanawake wa kimachame ni mabingwa wa kuwa tanguliza waume zao.
👉Ili wabaki na mali, fatilia nba ni kubwa mno kule ( Mshana Jr atakuwa ana jua hili.
 
Kuhusu serial killer Hawa wapo, ni vile tu hatuja gunduana.
👉Katika ngazi zote kuanzia mtu, familia, jamii na hata nchi kwa ujumla.

Wengine nadhani huanza kwa kuchukia kudhihakiwa, so ana ona the only solution ni ku deal na wabaya wake.
Katika ngazi ya familia-, nasikia Wanawake wa kimachame ni mabingwa wa kuwa tanguliza waume zao.
👉Ili wabaki na mali, fatilia nba ni kubwa mno kule ( Mshana Jr atakuwa ana jua hili.
Asante, nimekuelewa ila nasubiri comment ya Ndugu Mshana
 
Asante, nimekuelewa ila nasubiri comment ya Ndugu Mshana
Naweza kujibu halafu jibu langu likabananishwa na mambo ya kisiasa


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaweza kuuliza inanukaje na pengine unadhani ni baada ya kuhifadhiwa muda mrefu kwa utaratibu usio sahihi...kwenye mada hii sina maana hiyo
Damu ya mtu ina harufu yake, harufu ya kushangaza harufu yenye kuvuta kwa namna ya ajabu kabisa...hii ni damu ile ambayo mhusika wake amekatishwa maisha yake kwa namna dhalimu
Wauaji ndio wahanga wakubwa wa hili jambo, damu ya marehemu huwanukia, huwavuta na ili waweze kuwa sawa hutamani kuua tena, nafuu yao ni kupata ile harufu, hawa ndio wale serial killers
Kuua mnyama ni tofauti kabisa na kuua mtu na sababu yake ni moja tu..binadamu ana utashi wakati mnyama ni hayawani...binadamu ana fikra yakinifu wakati mnyama hana
Ni kitu cha kawaida kabisa kumgonga mnyama kama mbwa sungura ng'ombe punda nk uwapo barabarani na ukasimulia hilo tukio bila hisia zozote! Lakini gonga mtu uone...!
Majaribio yafanyike kwenye damu yako ili tuprove kunuka kwa damu ya mtu
 
Kama alipelekwa kwenye mahabusu ya magereza zetu hizi,basi walimpeleka kumshape product ambayo inaweza kuja kuwa muuaji tishio
Simuombei mabaya Rama, simtakii mabaya mimi kama mzazi natamani kusikia kesi yake iliisha na sasa ni kiumbe kipya kabisa! Raia mwema mtaani
Kwel Rama mla watu akitoka na amekua raia mwema na mara ya mwsho kumuona alkua ameokoka sasa sjui kama Bado yupo ndan ya wokovu au alirudia ya kale ,lakn baada ya kutoka kweny mahojiano nligundua alkua anatumikishwa na wachawi' kulko kawaida
 
Back
Top Bottom