NostradamusEstrademe
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 3,032
- 4,028
Damu ina harufu ya chuma kwasababu haemoglobin ina madini ya Fe
Yule mgonjwa , 2013 nilimkuta hospitali ya milembe bada ya hapo ametoka.Picha zimenikumbusha ile story ya Rama mla vichwa,sijui kesi yake iliishiaga wapi.
Na waliomuua AkwelinaUnaweza kuuliza inanukaje na pengine unadhani ni baada ya kuhifadhiwa muda mrefu kwa utaratibu usio sahihi...kwenye mada hii sina maana hiyo
Damu ya mtu ina harufu yake, harufu ya kushangaza harufu yenye kuvuta kwa namna ya ajabu kabisa...hii ni damu ile ambayo mhusika wake amekatishwa maisha yake kwa namna dhalimu
Wauaji ndio wahanga wakubwa wa hili jambo, damu ya marehemu huwanukia, huwavuta na ili waweze kuwa sawa hutamani kuua tena, nafuu yao ni kupata ile harufu, hawa ndio wale serial killers
Kuua mnyama ni tofauti kabisa na kuua mtu na sababu yake ni moja tu..binadamu ana utashi wakati mnyama ni hayawani...binadamu ana fikra yakinifu wakati mnyama hana
Ni kitu cha kawaida kabisa kumgonga mnyama kama mbwa sungura ng'ombe punda nk uwapo barabarani na ukasimulia hilo tukio bila hisia zozote! Lakini gonga mtu uone...!
Nimesoma baadhi ya makala za serial killers, Ted Bundy aliamua kuua baada ya kuachwa na mpenzi wake hata wahanga wake walikua ni wanaoendana kimuonekano na aliyekuwa mpenzi wake, nyakati nyingine alikaa na maiti kwa muda mrefu akiendelea kuiingilia (necrophilia). Kuna Andrei Chikatilo uhanithi wake mbele ya wanawake aliulipizia kwa kua mbabe mbele ya wavulana wadogo huku akiwabaka pia hata baada ya kufa aliendelea kuwaingilia au kupiga puchu (necrophilia).
Stori ndefu iwe fupi. Baadhi ya Serial killers huwa wanavutiwa na wao kujiona kama Mungu kwamba wanaamua nani aishi na nani asiishi (serial killers madaktari wana tendency hii).
Wengine hupendelea jinsi wanavyozungumziwa midomoni mwa watu na vyombo vya habari mfano Dennis Rader a.k.a BTK.
Wengine huinjoy ile scenario na kuwapandisha ashki mfano Andrei Chikatilo na David Berkowitz.
Aliyepoint kua anavutiwa na damu ni mmexico mmoja (jina limenitoka) na Charles Manson. Hawa walikua wana mawazo ya kishirikina wote walitaka kuunda followers wengi ambao watafuatisha imani na mitazamo yao bila kupinga.
Kama alipelekwa kwenye mahabusu ya magereza zetu hizi,basi walimpeleka kumshape product ambayo inaweza kuja kuwa muuaji tishio
Simuombei mabaya Rama, simtakii mabaya mimi kama mzazi natamani kusikia kesi yake iliisha na sasa ni kiumbe kipya kabisa! Raia mwema mtaani
Shukrani mkuu...
Hasa akiua hakamatwi na kufungwa au inakuaje mpaka inajirudia hiyo interval
Death is not funy!Wasome hapa baadhi yao...tafsiri yake ni wauaji wanaofanya mauaji mfululizo na wakati mwingine bila sababu yoyote
Aisee,Not to all people
Uyu muuaji ana mdomo mzuriNi kitu kama hicho na nafsi zao huwaadhibu kwa namna tofauti hivyo hutamani kuua hata kwa silaha yoyote mpaka meno hutumika
Moja kwa mojalakini ni muuaji