
Naomba mnielekeze jins ya kutumia bleed kumroga mume
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
aiseeh unataka umufanye ndondocha!?Damu ya hedhi iliyotumiwa kwa mtu katika kahawa yake au chai ni kichocheo cha uhuru cha kukamata nth kimapenzi. Hakuna ibada, sala, au kuomba sio muhimu; Unaongeza tu damu ya hedhi kwa kahawa ya mtu au chai. Wazo ni kupata harufu yako katika nyanja ya mpendwa wako na ufahamu wake. Hii hufanywa sana na wanawake.
![]()


We jamaa bwana, mambo mengi unayoandika to me ndio kwanza nayasikia toka kwako. Sijui unayatoa wapi kweli duniani kila mtu ana uwanja wake wa kujidai.




jamii forum kuna wachawi kibao humu
Sio vizuri kiroho na kiafya piaMshana unaliongeleaje swala la kugegedana wakat mwanamke yuko kwa hedhi
Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app
Damu ya hedhi iliyotumiwa kwa mtu katika kahawa yake au chai ni kichocheo cha uhuru cha kukamata nth kimapenzi. Hakuna ibada, sala, au kuomba sio muhimu; Unaongeza tu damu ya hedhi kwa kahawa ya mtu au chai. Wazo ni kupata harufu yako katika nyanja ya mpendwa wako na ufahamu wake. Hii hufanywa sana na wanawake.
![]()
Poa tafanya hivyoMshana siku moja utueleze kuhusu uhusiano wa tarehe ya kuzaliwa na majina ya ukoo na masuala ya kiroho kuna uhusiano gani
Post sent using JamiiForums mobile app
Kwanini umloge? Umelazimishwa kuwa nae? Hii mpyaNaomba mnielekeze jins ya kutumia bleed kumroga mume
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
You never know about loveKwanini umloge? Umelazimishwa kuwa nae? Hii mpya
Najua sana mkuu. Mpk ufikie hatua ya kumloga mume au mke basi humpendi tena. Sasa taabu yote ya nini? Bora uchape lapa ukaishi mwenyewe au utafute unayempenda. Akisema anataka kumlisha limbwata nitaelewa
kweli utatapika lakini si dawa ya kuondoa uchawi!Mkuu mshana Mimi kuna jamaa angu alinambia hii n dawa ya limbwata kama mkeo kakupa limbwata ukinywa Damu yake ya hedhi unatapika uchawi wote.
Sasa kumbe n SUMU au sometimes inaweza kuwa dawa na muda mwingine SUMU?
ndiyo maana zamani watu walikua wanatumia vitambaa na kuvifua ili kuepusha hili ila siku hizi ukienda tuu barabarani unakutana na lungo la pedi .binafsi nikikutana na mwanamkea aliye chinja kuku kwakeli nitamchukia na baadae uhusiano unakufa hiyo ilikua kabla sijaoa ila kwa sasa nipo occupied.Preferable mbichi epuka kabisa kuexpose ile kitu si kwa mchawi tu hata adui
Hivi kwa nini watu wengi hatufanyi tafiti juu ya yale tunayoyasikii au kuyaona? Galilei licha watu waliokuwa wamemtangulia kuwaaminisha wanadamu kuwa Dunia ilikuwa na umbile la Meza bado aliamua kufanya utafiti ili kujiridhisha. Cha ajabu,Wengi wetu Waafrika tumebaki watu Wa kuamini na kufanyia kazi Soga za zamani tu.Wazee Wa zamani walianzisha hadithi kama hizi ili kutia hamasa kazi ziende.Mfano watu wakiwa wanachambua pamba au kupukuchua Mahindi,Karanga,Njugu mawe na mazao mengine.Ila watu wengine wajanja wajanja ndio wakageuza hizo hadithi na kufanya vyanzo vya kujipatia pesa.Hao ndio wanaojiita waganga na wachawi.
Hivi damu ya hedhi ina kipi cha ziada hata itumike "kusimentisha" wapenzi? Damu ya hedhi inaundwa na seli tofauti na zile zinazokuwa kwenye damu ya kawaida hata iweze kuwa na maweza kiasi anachokisema mtoa mada? Damu ya hedhi ina upekee gani tofauti na ile inayotoka kwenye jipu linalotumbuliwa mwilini?
Damu ya hedhi ina kipi cha maana kuitofautisha na ile inayotokana na mtu kupata kidonda na kisha kikatunga usaha na hivi kutoa mchanganyiko Wa damu,majimaji na usaha?
Waafrika tumekosa nini? Hivi hatuna vyanzo vingine vya mapato tukaachana na huu ujinga Wa eti uchawi,Dawa za mapenzi.Kama Luna Dawa za mapenzi kwa nini hatujaenda kujichukulia akina Wema kilaini wakaja kwenye mageto yetu usiku kiulaini tu? Eritrea inasemekana ina mabinti wazuri sana lakini hakuna wanaume Wa kutosha kuwaoa.Kwa nini hatujatumia hiyo damu ya hedhi tukawaita hapa wakaja wenyewe tu kama watalii na wakifika huku tuwaoe?