Bashatu
JF-Expert Member
- Nov 8, 2015
- 834
- 889
Mshana kujua haya mambo unatakiwa usomee nini.Hayo ni mambo ya imani ila kiafya haishauriwi kwakuwa ile damu ni chafu
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaan nikitaka kujua uganga na uchawi nisomee nini (B.A au B.Sc in..........) na wapi?! Nigeria, au...
Sent using Jamii Forums mobile app

