Damu ya hedhi na ibada za kiimani

Damu ya hedhi na ibada za kiimani

Nimetoka kuagiza ' Kiepe Kyuku ' lakini nilivyosoma tu ' Content ' nzima ya ' uzi ' nimeghairi hata kula tena Chakula chenyewe.
 
Ndugu achana na mambo yaushirikina nenda hospital utapewa dawa na atapona kabisa wengi wana tatizo Hilo na wamepona kupitia hospital,

Halafu Kuna dawa nyingine za uzazi WA mpango unaweza kaa hata miezi 5,bila kupata hedhi yako,so cheki na hilo
Ngoja tu, niweke shida yangu hapa , unisaidie. Ni hivi Mimi ninaangaika mda mrefu kuhusu mke wangu, hedhi yake haipo sawa anapata hedhi baada ya miezi mitatu, nimeenda hosptali imeshindikana, nimeenda kwa watalamu wakaniambia alikanyaga tego , lakini lile tego hakutegewa yeye, sasa tego hilo ndio limeharibu mfumo wake wa mzunguko wa hedhi.

Kwa hiyo, ametumia dawa nyingi sana za kienyeji lakini bado siku hazija kaa sawa, tumeshindwa hata kupanga jinsi ya kupata Mtoto.
Naomba msahada wako mkuu jinsi ya kutoa tego hilo mwilini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu achana na mambo yaushirikina nenda hospital utapewa dawa na atapona kabisa wengi wana tatizo Hilo na wamepona kupitia hospital,

Halafu Kuna dawa nyingine za uzazi WA mpango unaweza kaa hata miezi 5,bila kupata hedhi yako,so cheki na hilo
Ngoja tu, niweke shida yangu hapa , unisaidie. Ni hivi Mimi ninaangaika mda mrefu kuhusu mke wangu, hedhi yake haipo sawa anapata hedhi baada ya miezi mitatu, nimeenda hosptali imeshindikana, nimeenda kwa watalamu wakaniambia alikanyaga tego , lakini lile tego hakutegewa yeye, sasa tego hilo ndio limeharibu mfumo wake wa mzunguko wa hedhi.

Kwa hiyo, ametumia dawa nyingi sana za kienyeji lakini bado siku hazija kaa sawa, tumeshindwa hata kupanga jinsi ya kupata Mtoto.
Naomba msahada wako mkuu jinsi ya kutoa tego hilo mwilini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
.
IMG-20180831-WA0132.jpg


Jr
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom