Damu ya hedhi na ibada za kiimani

Damu ya hedhi na ibada za kiimani

Kupata kichaa cha muda mwezi unapokuwa mchanga


Mkuu nadhani sasa tumehamia kwenye mada nyingine.Mimi nimejibu kadri ulivyouliza na kadri ya mada iliyoko jukwaani.Roho ni kitu hakionekani lakini effect yake ndo huonyesha kuwa hapa kuna roho au hakuna.

Ukweli hilo ni jambo la kifalsafa na ni dhana pana.Na ukweli unaweza kuu-testify.Sasa sielewi unataka kujenga hoja gani kwa haya maswali yako.
 
Usimkosoe Mwenyezi MUNGU ambaye wana wa Israel waliokuwa kwenye hedhi hawakutakiwa kufika jirani na mahala patakatifu. Au ww humuamini Mungu wa Israel?? Unavokosoa jua unajikosoa mwenyewe. Tafakari kabla ya kunena


Mkuu Mungu wetu ni Mungu atufundishae kama vile tunavyofundishwa hatua kwa hatua katika masomo.Ndio kisa basi wakati ule mwanamke akifumaniwa ilikuwa lazima auwawe tena kwa mawe.Yesu alipokuja akakazia msamaha.Wakati Wa Musa ili uweze kula chakula ililazimu kunawa hadi viwiko vya mikono.Yesu alipokuja akasema si staili ya kunawa au chakula alacho mtu kinachompatia Mwanadamu utukufu Bali matendo yake.Kwa hiyo nyakati zetu hedhi siyo kitu cha kumtenganisha mwanadamu na Mungu wake.
 
Mkuu nadhani sasa tumehamia kwenye mada nyingine.Mimi nimejibu kadri ulivyouliza na kadri ya mada iliyoko jukwaani.Roho ni kitu hakionekani lakini effect yake ndo huonyesha kuwa hapa kuna roho au hakuna.

Ukweli hilo ni jambo la kifalsafa na ni dhana pana.Na ukweli unaweza kuu-testify.Sasa sielewi unataka kujenga hoja gani kwa haya maswali yako.
Kidogo unaanza kurudi kwenye mstari maana ulikuwa unaleta changamoto isiyoendana na mada
Hapa tunaweza kuendelea sasa
 
Retired you know exactly this is not about science... Ambayo inaprove beyond doubts kuwa menstruation blood ina madhara
Nilishawahi kuambiwa eti menstruation blood inaua, mtu akinywa anakufa, msimuliaji akanambia walifanya jaribio kwa paka, paka akivokunywa tu akafa.... Inaua kweli au fix?
 
ndio maana mna maisha marefu kwakuwa kila mwezi mnapunguza sumu na kupokea vitamins, wakati sisi kila siku tunapoteza vitamins na hatuna njia ya kupunguza sumu... jiulize kwanini kuna wajane wengi kuliko wagane?
Ha ha ha poleni
 
Niliwahi kumsikia jamaa mmoja aliewahi kuwa mchawi(kwa mujibu wa ushuhuda wake) akisema ukiwa unapiga unapiga nyeto, ukipizi huwa kuna jini kwa muundo wa nyoka ndiye anae kunywa shahawa zako, na zile si shahawa kama unavyoona, pale anakuwa anakunywa damu yako.
dah ndo maana nakonda aisee...huyu nyoka kanywa damu yangu nyingi sana
 
Ni sumu na ni kweli inaua
Mkuu mshana Mimi kuna jamaa angu alinambia hii n dawa ya limbwata kama mkeo kakupa limbwata ukinywa Damu yake ya hedhi unatapika uchawi wote.

Sasa kumbe n SUMU au sometimes inaweza kuwa dawa na muda mwingine SUMU?
 
Ni sumu na ni kweli inaua
Mkuu mshana Mimi kuna jamaa angu alinambia hii n dawa ya limbwata kama mkeo kakupa limbwata ukinywa Damu yake ya hedhi unatapika uchawi wote.

Sasa kumbe n SUMU au sometimes inaweza kuwa dawa na muda mwingine SUMU?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom