Damu ya hedhi na ibada za kiimani

Mshana ni kweli kisiwa cha gamboshi kipo katika ulimwengu wa roho wa wachawi,kwani kuna msukule mmoja ambaye alirudishwa na gwajima aliongea mambo ya hatari sana ya gamboshi
Gamboshi ya kishirikina ipo lakini watoa shuhuda wa gwajima huwa siwaamini sana.... Wengi ni wa kupikwa

Jr
 
Mwezi ni alama ya makazi ya mungu na malaika wa kike. Hivyo basi ibada yoyote inayouhusika na kunywa damu ya hedhi, hiyo ni ibada ya kuabudu mwezi kwa maana ya kumuabudu mwanamke
 
Mwezi ni alama ya makazi ya mungu na malaika wa kike. Hivyo basi ibada yoyote inayouhusika na kunywa damu ya hedhi, hiyo ni ibada ya kuabudu mwezi kwa maana ya kumuabudu mwanamke
Scarlet Ladies wanao-fugwa na Ufalme/Umalkia wa Ungereza kwa ajili ya ku-harvest damu zao za hedhi nao wanaanguakia hapa!Binadamu tuna makandokando ya kijinga kweli kweli.Yaani tunaabudu idols,vitu ambavyo sio Mungu,tunamuacha Mungu aliyeviumba!!!How stupid.
 
Back
Top Bottom