Mshana ni kweli kisiwa cha gamboshi kipo katika ulimwengu wa roho wa wachawi,kwani kuna msukule mmoja ambaye alirudishwa na gwajima aliongea mambo ya hatari sana ya gamboshiHahaahhaaaa
Mshana ni kweli kisiwa cha gamboshi kipo katika ulimwengu wa roho wa wachawi,kwani kuna msukule mmoja ambaye alirudishwa na gwajima aliongea mambo ya hatari sana ya gamboshiHahaahhaaaa
Gamboshi ya kishirikina ipo lakini watoa shuhuda wa gwajima huwa siwaamini sana.... Wengi ni wa kupikwaMshana ni kweli kisiwa cha gamboshi kipo katika ulimwengu wa roho wa wachawi,kwani kuna msukule mmoja ambaye alirudishwa na gwajima aliongea mambo ya hatari sana ya gamboshi
Scarlet Ladies wanao-fugwa na Ufalme/Umalkia wa Ungereza kwa ajili ya ku-harvest damu zao za hedhi nao wanaanguakia hapa!Binadamu tuna makandokando ya kijinga kweli kweli.Yaani tunaabudu idols,vitu ambavyo sio Mungu,tunamuacha Mungu aliyeviumba!!!How stupid.Mwezi ni alama ya makazi ya mungu na malaika wa kike. Hivyo basi ibada yoyote inayouhusika na kunywa damu ya hedhi, hiyo ni ibada ya kuabudu mwezi kwa maana ya kumuabudu mwanamke