nsanzu
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 4,387
- 4,807
Soma Mambo ya Walawi nduguNAOMBA NIJIBIWE
Je, kwa imani ya mwanamke wakati wa hedhi asiingie kwenye nyumba fulani za ibada ni ushetani au ni ipi tafsiri yake ?
Soma Mambo ya Walawi nduguNAOMBA NIJIBIWE
Je, kwa imani ya mwanamke wakati wa hedhi asiingie kwenye nyumba fulani za ibada ni ushetani au ni ipi tafsiri yake ?
Niliwahi kumsikia jamaa mmoja aliewahi kuwa mchawi(kwa mujibu wa ushuhuda wake) akisema ukiwa unapiga unapiga nyeto, ukipizi huwa kuna jini kwa muundo wa nyoka ndiye anae kunywa shahawa zako, na zile si shahawa kama unavyoona, pale anakuwa anakunywa damu yako.Mkuu asante kwa maarifa..... vp masturbation na yenyewe haina uhusiano na manyokanyoka?
ngapi ?Soma Mambo ya Walawi ndugu
Kuanzia 11 na kuendeleangapi ?
Tukiachana na hao hapa kwetu damu ya hedhi hutumika kutengeneza dawa za mvuto wa kimapenzi na ishu za kishirikina kufarakanisha ama hata kupatanisha...!
je dawa hizo zinatengenezewa na damu mbichi ya hedhi au iliyokauka? Je mchawi anaeza kukudhuru kupitia pedi iliyotumika? tuanzie hapo.
Naomba mnielekeze jins ya kutumia bleed kumroga mume
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
Mkuu mbona km umejibu kwa jazbaaa sana? Nadhan kuna kitu huelewi! ulimwengu wa roho si sayansi na ndo maana huu ulimwengu wa wachawi au wale wanaoruka na ungo usiku haujawekwa wazi sana.Hivi kwa nini watu wengi hatufanyi tafiti juu ya yale tunayoyasikii au kuyaona? Galilei licha watu waliokuwa wamemtangulia kuwaaminisha wanadamu kuwa Dunia ilikuwa na umbile la Meza bado aliamua kufanya utafiti ili kujiridhisha. Cha ajabu,Wengi wetu Waafrika tumebaki watu Wa kuamini na kufanyia kazi Soga za zamani tu.Wazee Wa zamani walianzisha hadithi kama hizi ili kutia hamasa kazi ziende.Mfano watu wakiwa wanachambua pamba au kupukuchua Mahindi,Karanga,Njugu mawe na mazao mengine.Ila watu wengine wajanja wajanja ndio wakageuza hizo hadithi na kufanya vyanzo vya kujipatia pesa.Hao ndio wanaojiita waganga na wachawi.
Hivi damu ya hedhi ina kipi cha ziada hata itumike "kusimentisha" wapenzi? Damu ya hedhi inaundwa na seli tofauti na zile zinazokuwa kwenye damu ya kawaida hata iweze kuwa na maweza kiasi anachokisema mtoa mada? Damu ya hedhi ina upekee gani tofauti na ile inayotoka kwenye jipu linalotumbuliwa mwilini?
Damu ya hedhi ina kipi cha maana kuitofautisha na ile inayotokana na mtu kupata kidonda na kisha kikatunga usaha na hivi kutoa mchanganyiko Wa damu,majimaji na usaha?
Waafrika tumekosa nini? Hivi hatuna vyanzo vingine vya mapato tukaachana na huu ujinga Wa eti uchawi,Dawa za mapenzi.Kama Luna Dawa za mapenzi kwa nini hatujaenda kujichukulia akina Wema kilaini wakaja kwenye mageto yetu usiku kiulaini tu? Eritrea inasemekana ina mabinti wazuri sana lakini hakuna wanaume Wa kutosha kuwaoa.Kwa nini hatujatumia hiyo damu ya hedhi tukawaita hapa wakaja wenyewe tu kama watalii na wakifika huku tuwaoe?
Asante Mshana Jr kwa hii mambo
@ Charty...
namna yakutupa inashauriwa uzichome Moto au Loweka kwenye Maji then choma....
Kwa wanawake Mchawi akikamata hiyo Kitu inatakiwa Maarifa mengi kujinasua vinginevyo umekwisha
Mmhh kunywa bwana chai hiyoooKweli Asee Nimetega Ka Camera Kangu Room Hakaonekani Nikashuhudia Tendo La Tissue Kugeuzwa Chujio La Chai Nikavunga Sinywi Chai Kama Wiki Hv Chai Naandaa Mwenyewe Itakuwa Kagundua
Mkuu mbona km umejibu kwa jazbaaa sana? Nadhan kuna kitu huelewi! ulimwengu wa roho si sayansi na ndo maana huu ulimwengu wa wachawi au wale wanaoruka na ungo usiku haujawekwa wazi sana.
Ni vyema kusoma na kuelewa kisha kuchangia ipasavyo!
Maswala ya kipato, mara hakuna shughuli za kufanya, ww huitaji kujifunza yaliyo ktk ulimwengu huu uliojaa uchafu mwingi usioonekana.
Nadhan mkuu ile elimu yako ya sayansi ya advance ama chuo inakufanya usione upande wa pili wa dunia.
Elimu na tahadhari imetolewa na mtoa mada kwa upande wangu ni nzuri na naongeza uelewa! kuhusu ku provuu nadhan kaka mshana jr atakuwa tayari kukuonesha ulimwengu huo km utakuwa tayari.
Angalizo! Usije ukalia tu na kujuta kutaka kuprovu maswala ya kichawi!
Mmhh can this be true????Niliwahi kumsikia jamaa mmoja aliewahi kuwa mchawi(kwa mujibu wa ushuhuda wake) akisema ukiwa unapiga unapiga nyeto, ukipizi huwa kuna jini kwa muundo wa nyoka ndiye anae kunywa shahawa zako, na zile si shahawa kama unavyoona, pale anakuwa anakunywa damu yako.
Niliwahi kumsikia jamaa mmoja aliewahi kuwa mchawi(kwa mujibu wa ushuhuda wake) akisema ukiwa unapiga unapiga nyeto, ukipizi huwa kuna jini kwa muundo wa nyoka ndiye anae kunywa shahawa zako, na zile si shahawa kama unavyoona, pale anakuwa anakunywa damu yako.
Kweli Asee Nimetega Ka Camera Kangu Room Hakaonekani Nikashuhudia Tendo La Tissue Kugeuzwa Chujio La Chai Nikavunga Sinywi Chai Kama Wiki Hv Chai Naandaa Mwenyewe Itakuwa Kagundua
NAOMBA NIJIBIWE
Je, kwa imani ya mwanamke wakati wa hedhi asiingie kwenye nyumba fulani za ibada ni ushetani au ni ipi tafsiri yake ?
Naona kuna upotoshaji mkubwa sana unaendelea kuhusu kunywa damu ya hedhi...ifahamike kwamba kwa namna moja kiafya ule ni uchafu na una madhara
Kinachofanyika ni sehemu kidogo ya damu huchukuliwa na kuchanganywa na vyakula maalum na vinywaji maaalum ....ngojeni nina dharura nitarudi kwa ufafanuzi