Dalili zipi zinaonesha mapenzi ya kweli?

Dalili zipi zinaonesha mapenzi ya kweli?

Mimi kipimo changu ni kwenye matumizi ya pesa .. je nikipungukiwa pesa.. ata behave vip.. hapo ndio huwa napima.
 
kwa mwanamke anaweza akabaki na ww ukipata ulemavu kwa kuhofia kusemwa amemkimbia sababu mwenzie kapata hitilafu.lakini la kuyumba kiuchumi halina ugumu sana kama hilo nilolitaja!
lakini wanaume ni wachache sana maana wengine hata mke akiwa ktk hedhi anamtenga vipi akipata ulemavu?!
 
Heading ni nzuri sana lakini discussion haiko sawa. Jaribu kuanzisha tena kwa mtazamo mwingine kulingana na heading yako..
Binafsi nafikiri watu wangejadili viashiria vya kuwa mtu fulani ananipenda ukweli, kwa mfano: akinywa maji ananiona kwenye glass au anashindwa kujizuia kunisaidia kitu ambacho anakuwa na uwezo nacho
Binafsi nafkiri nimeelewa heading kwa staili hiyo
Heading ni nzuri sana lakini discussion haiko sawa. Jaribu kuanzisha tena kwa mtazamo mwingine kulingana na heading yako..
Binafsi nafikiri watu wangejadili viashiria vya kuwa mtu fulani ananipenda ukweli, kwa mfano: akinywa maji ananiona kwenye glass au anashindwa kujizuia kunisaidia kitu ambacho anakuwa na uwezo nacho
Binafsi nafkiri nimeelewa heading kwa staili hiyo
 
We nae... Ukiumwa ukajisaidia hapo hapo kitandani pesa zitakusafisha uchafu? You need someone...(not your mother).
Unapotafuta mapenzi ya kweli anzia kwako mwenyewe je unavovitaka mwenzi wako avifanye we unavyo? au kuvifanya??. Acha kuwa mtu wa lawama na kulia lia jichunguze mwenyewe kwanza.
 
Pethaaaa nikipimo kizuri sana
ukitumia kigezo cha pesa utamuona kila mtu mbaya kwasababu hakuna mtu aliye tayari kuwa masikini wengi wa wanawake wanahitaji wenzi wenye pesa.
 
We nae... Ukiumwa ukajisaidia hapo hapo kitandani pesa zitakusafisha uchafu? You need someone...(not your mother).
ahahah ujue nilipo toa reply hii nlikuwa nimetibuliwa na waropokaji juu ya tuhuma mll 10 za wabunge wa ccm.
 
.
 

Attachments

  • IMG-20160907-100358.jpg
    IMG-20160907-100358.jpg
    44.5 KB · Views: 37
Yule mwenyewe uthubutu wa kusimama nami wakati wengine wamenikimbia....
Yupo alokuwepo kwa ajili yangu wakati hakuna yeyote alokuwepo zaidi yake...lakini akaja nambia alifanya hayo kama rafiki tu sio mpenzi...upendo una tafsiri nyingi sana
 
Back
Top Bottom