Dalili zipi zinaonesha mapenzi ya kweli?

Dalili zipi zinaonesha mapenzi ya kweli?

papakitope

Member
Joined
Oct 31, 2016
Posts
17
Reaction score
3
Katika global world hii leo wanandoa na hata wapenzi wamekuwa hawaaminiani kabisa kutokana na maendeleo ya kiteknolojia

Wanaume weng wamekuwa wakiamini kuwa wakifanyiwa baadhi ya mambo ndio indicator ya real love. Kwa mfano

1. Kuwekwa na mpenzi wake d.p

2. Kupeana passwords za social network

3. Kubwa kuliko ni kusex ( Wanaume wengi wamekuwa wakiamini kuwa kunyimwa nyapu na mpenzi wake anakuwa hampendi kuna mtu mwingine anampaga)

Wewe je unapimaje real love kutoka kwa mpenzi wako?
#Don't_destroy_de_fun
 
We je unapimaj real love kutoka kwa mpenzi wko
#Don't_destroy_de_fun

Kipimo changu ni uaminifu wake katika shida na raha.

Kwa mfano, tumekutana wote tukiwa wazima na timilifu wa viungo vyote vya mwili.

Kwa bahati mbaya ikatokea napata ajali ambayo inapelekea mimi kukatwa moja ya kiungo, mkono au mguu.

Baada ya hapo, akiendelea kunipenda kwa dhati kabisa kama alivyonipenda hapo awali kabla ya ajali na pia akaendelea kuwa mwaminifu kwangu [kwa asilimia 100], hayo ndo mapenzi ya kweli.
 
Kipimo changu ni uaminifu wake katika shida na raha.

Kwa mfano, tumekutana wote tukiwa wazima na timilifu wa viungo vyote vya mwili.

Kwa bahati mbaya ikatokea napata ajali ambayo inapelekea mimi kukatwa moja ya kiungo, mkono au mguu.

Baada ya hapo, akiendelea kunipenda kwa dhati kabisa kama alivyonipenda hapo awali kabla ya ajali na pia akaendelea kuwa mwaminifu kwangu [kwa asilimia 100], hayo ndo mapenzi ya kweli.
Mbna unajitabiria maajali mkuu
 
Heading ni nzuri sana lakini discussion haiko sawa. Jaribu kuanzisha tena kwa mtazamo mwingine kulingana na heading yako..
 
Kipimo changu ni uaminifu wake katika shida na raha.

Kwa mfano, tumekutana wote tukiwa wazima na timilifu wa viungo vyote vya mwili.

Kwa bahati mbaya ikatokea napata ajali ambayo inapelekea mimi kukatwa moja ya kiungo, mkono au mguu.

Baada ya hapo, akiendelea kunipenda kwa dhati kabisa kama alivyonipenda hapo awali kabla ya ajali na pia akaendelea kuwa mwaminifu kwangu [kwa asilimia 100], hayo ndo mapenzi ya kweli.
Mkuu hapa umemaliza
 
Kuwa na uwezo wa kutoa fursa kumpa mwenza wako katika kumsikiliza ili atoe hisia zake juu ya jambo fulani, kiwango kikubwa cha kumjali mwenza wako, kuvumilia mapungufu yake na kutoyaeleza kwa wengine, whether anakipato cha chini cha wastani au cha juu haijalishi. Kutomchoka kwa namna yeyote ile
 
Kipimo changu ni pale uchum wangu ukiyumba je anakuwa mfariji wangu au ananipotezea
 
NI Wachache sana wenye moyo kama wa huyo kaka...hakika hiyo ndo true love....Mungu atamwongoza katika maisha yake na atafanikiwa katika kila alifanyaloo. .
 
But, kiukweli most of the people wanaangalia mwenza wake ana wealth kiasi gani, meaning atanufaika vipi kwa yeye kuwa nae in terms of wealth and the like. Vitu Kama biashara ya (za) maana, kazi ya maana, nyumba ya (za) maana, gari ya (za) maana ni vitu ambavyo vinatazamwa in the first place. So basically mapenzi ya kweli yapo kwa watu wachache sana
 
We kua na. Uhakika wa kwenda ATM kila siku ndio utaona penz la kwel lilipo
 
Back
Top Bottom