THOMASS SANKARA
JF-Expert Member
- Nov 13, 2014
- 2,066
- 4,775
Kajifunze kuandika kwanza ndio uje uendelee kusifu na kuabudu.
Siku hizi LUmumba B7 wanasajili hata darasa la saba???
Siku hizi LUmumba B7 wanasajili hata darasa la saba???
Anha wafuas wa club billicanas wauza ngada Ni wa Jesus au shetaniWacha kumfananisha Jesus na wafuasi wa shetani.
Hivi Mkurugenzi wa Twaweza amerudishwa passport yake?Ishu yake ya uraia baada ya ule utafiti wa sauti za wananchi imefikia wapi?Tulikuwa tupo katika gari makumbusho to T/segerea,Basi buana katikati ya safari maada ikaanzishwa kuhusu mambo ya mabarabara.abiria karibia wote wakawa wanachangia wanakwambia Magufuli Ni kiongozi mwema anajenga mabarabara na madaraja kila Kona ya nchi.abiria baadhi wachache sana waliokuwa kimya nadhani hao ndo chadema masalia wakawa wanaona aibu kusema lolote maana bus Zima tulikuwa team Magufuli.kwa hiyo jamani ndugu zangu tusemeni tu ukweli Magufuli anakubalika Sana katika wananchi 10 Basi utakuta 7 wanaelewa kazi zinavyoendelea.japo changamoto zipo za utawala huu Ila Ni ndogo ndogo Sana kwa mfano maisha ya mbowe hayana athari kwa sisi wananchi Kama ni viongozi hata wa upinzani wapo kibao tunaowakubali wenye uwezo.maisha yetu sisi yanaendelea Kama kawaida.Tunakula ubwabwa maharage Kama kawaida na hakuna wa kututisha.hata polisi wenyewe wameacha kabisa manyanyaso.
Mimi huwa sijui huwa unalipwa shilingi ngapi ili uandike kwenye mtandao huu ambao mwenyewe anashitakiwa na serikali kwa kuweka mtandao huu?!Tulikuwa tupo katika gari makumbusho to T/segerea,Basi buana katikati ya safari maada ikaanzishwa kuhusu mambo ya mabarabara.abiria karibia wote wakawa wanachangia wanakwambia Magufuli Ni kiongozi mwema anajenga mabarabara na madaraja kila Kona ya nchi.abiria baadhi wachache sana waliokuwa kimya nadhani hao ndo chadema masalia wakawa wanaona aibu kusema lolote maana bus Zima tulikuwa team Magufuli.kwa hiyo jamani ndugu zangu tusemeni tu ukweli Magufuli anakubalika Sana katika wananchi 10 Basi utakuta 7 wanaelewa kazi zinavyoendelea.japo changamoto zipo za utawala huu Ila Ni ndogo ndogo Sana kwa mfano maisha ya mbowe hayana athari kwa sisi wananchi Kama ni viongozi hata wa upinzani wapo kibao tunaowakubali wenye uwezo.maisha yetu sisi yanaendelea Kama kawaida.Tunakula ubwabwa maharage Kama kawaida na hakuna wa kututisha.hata polisi wenyewe wameacha kabisa manyanyaso.
Tuondolee utaahira wako hapaTulikuwa tupo katika gari makumbusho to T/Segerea,Basi buana katikati ya safari maada ikaanzishwa kuhusu mambo ya mabarabara.
Abiria karibia wote wakawa wanachangia wanakwambia Magufuli Ni kiongozi mwema anajenga mabarabara na madaraja kila Kona ya nchi.
Abiria baadhi wachache sana waliokuwa kimya nadhani hao ndo chadema masalia wakawa wanaona aibu kusema lolote maana bus Zima tulikuwa team Magufuli.Kwa hiyo jamani ndugu zangu tusemeni tu ukweli Magufuli anakubalika Sana katika wananchi 10 Basi utakuta 7 wanaelewa kazi zinavyoendelea.
Japo changamoto zipo za utawala huu Ila Ni ndogo ndogo Sana kwa mfano maisha ya mbowe hayana athari kwa sisi wananchi Kama ni viongozi hata wa upinzani wapo kibao tunaowakubali wenye uwezo.maisha yetu sisi yanaendelea Kama kawaida.
Tunakula ubwabwa maharage Kama kawaida na hakuna wa kututisha.Hata polisi wenyewe wameacha kabisa manyanyaso.
Waambie MODS Mimi siwezi kuufutaTuondolee utaahira wako hapa
Matatizo ya watu Ni pamoja na wakulima kunyanyaswa na wafanyabiashara.sasa inapotokea wanasaidiwa kwanini niache kusifiaMimi huwa sijui huwa unalipwa shilingi ngapi ili uandike kwenye mtandao huu ambao mwenyewe anashitakiwa na serikali kwa kuweka mtandao huu?!
Ila Mungu anakuona kwani post zako ni za kumsifia mtu na si za kuangalia matatizo ya watu, endelea kupata shibe mabegani kwa wanaohangamia.
Team jesus ya nyumbani kwenu. Ulishaona kwa jesus kuna team akili za kishoga.ukiwa team Magufuli sawasawa upo team Jesus.unadhani Nani hapo wa kukuloga?hakuna!.
Wakulima wepi hao waliotishiwa kupigiwa shangazi zao au wengine?!Matatizo ya watu Ni pamoja na wakulima kunyanyaswa na wafanyabiashara.sasa inapotokea wanasaidiwa kwanini niache kusifia
Hapo hapo rasilimali zimelindwa kwa wote,huduma za afya kuwa Bora Ni kwa wote,reli SGR Pia Ni kwa woteUzuri ni kwamba madaraja na mishahara haipandi kwa wote, pension 25% kwa wote, ajira hakuna kwa wote, utofauti uliopo ni kwamba angalau wao wanaweza hata kulalamika kupunguza kdg uchungu, lakin nyinyi ni kusifia tu
Agiza kitimoto nakujaHata marehemu mzee Kingunge alisema huyu ni mzuri wa unyapara wa barabara na si vinginevyo.