Daladala nzima tukaanza kumsifia Rais Magufuli

Daladala nzima tukaanza kumsifia Rais Magufuli

Magari huwa yanasomba watu kupeleka kwenye mikutano .. humo yamejaa mazombi tu .. sishangai uzi huu.
 
Sample yako ni biased; unrepresentative !!!!! Hivyo usitegemee kupata majibu tofauti na hayo uliyopata !!!
 
Haya, kachukue buku 7 yako
Tulikuwa tupo katika gari makumbusho to T/segerea,Basi buana katikati ya safari maada ikaanzishwa kuhusu mambo ya mabarabara.abiria karibia wote wakawa wanachangia wanakwambia Magufuli Ni kiongozi mwema anajenga mabarabara na madaraja kila Kona ya nchi.abiria baadhi wachache sana waliokuwa kimya nadhani hao ndo chadema masalia wakawa wanaona aibu kusema lolote maana bus Zima tulikuwa team Magufuli.kwa hiyo jamani ndugu zangu tusemeni tu ukweli Magufuli anakubalika Sana katika wananchi 10 Basi utakuta 7 wanaelewa kazi zinavyoendelea.japo changamoto zipo za utawala huu Ila Ni ndogo ndogo Sana kwa mfano maisha ya mbowe hayana athari kwa sisi wananchi Kama ni viongozi hata wa upinzani wapo kibao tunaowakubali wenye uwezo.maisha yetu sisi yanaendelea Kama kawaida.Tunakula ubwabwa maharage Kama kawaida na hakuna wa kututisha.hata polisi wenyewe wameacha kabisa manyanyaso.
 
Sasa hivi ukiwa hadharani inakubidi kusifia tu hata kinafiki. Ukilogwa ukakosoa basi risasi ama kutekwa nje nje.
" ukishawanyima watu uhuru wa mawazo ni rahisi kuwanyima haki nyingine zaidi "
 
Mkuu natamani tukutane siku moja tushereke kidogo bhana natafuta rafiki mpya aneitwa ndege wa john
 
Sasa hivi ukiwa hadharani inakubidi kusifia tu hata kinafiki. Ukilogwa ukakosoa basi risasi ama kutekwa nje nje.
" ukishawanyima watu uhuru wa mawazo ni rahisi kuwanyima haki nyingine zaidi "
 
Back
Top Bottom