Ni kama chaputa tu, chama kipo ila wanachama wanatoka na kuingia kila siku na hawajulikani.
Hongera,ila angalia hiyo gari ina miaka imetumika kwa wenye akili na inaonekana mpya..sasa wewe hapo kwa wanuka vikwapa Bongo,baada ya miezi sita tutumie picha tena tuione inaonekana vipi???Sasa daladala bye bye
Kaa vizuri na Mungu
Muda huu nipo hapa Banana Big John Katika Sheli ya Petro Africa
Vijana tuishi Katika Mungu Mimi hii namba C inanitosha
View attachment 2428933
Kwa huyo mjerumani 😂😂😂 Bado tupo nae sana kwenye daladalaSisi kama umoja wa wapanda daladala tunakwambia "hapa utakuja tu"
Pure African spirit, akudanganye ili apate faida gani?!!Haya people bana. Si lazima uwe na gari ndo usipande daladala. Tumia tax, Uber, n.k.
Hapa nia yako najua unataka tujue unamiliki gari aina gani. Anyway hatuna uhakika kama hiyo ni namba C, tena hatujui kama ni yako. Useless...