Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 11,748
- 14,650
Huyo ni mhaya mkuu,mpe hongera akajinenepee zake mbele huko.Hongera ila ukiishi kimya kimya bila kutangaza mambo yako itaishi poa sana...
Huyo ni mhaya mkuu,mpe hongera akajinenepee zake mbele huko.Hongera ila ukiishi kimya kimya bila kutangaza mambo yako itaishi poa sana...
Ki baby walker utapata tu mangi! Tahadhari tu Sheli hawakopeshi mafuta,wala vitz hainywi mbege bwana Shayo,reasses your wish pleaseMaisha ya kupanda daladala ni kero sana natafuta anayeuza kibeby walker na mimi niachane na daladala
chaputa ukiingina hutoki unapumzika tu😂😂Ni kama chaputa tu, chama kipo ila wanachama wanatoka na kuingia kila siku na hawajulikani.
Mhaya huyoHongera ila ukiishi kimya kimya bila kutangaza mambo yako itaishi poa sana...
chaputa ukiingina hutoki unapumzika tu😂😂Ni kama chaputa tu, chama kipo ila wanachama wanatoka na kuingia kila siku na hawajulikani.
ujenge huna gari unaendaje site?Umeshajenga?
Huoni kabila hiloHongera ila ukiishi kimya kimya bila kutangaza mambo yako itaishi poa sana...
Kwamba sisi wapanda daladala tumemkosea sana Mungu.Kaa vizuri na Mungu
Hahahahahaaa... mbona za nssf mkuu... siku hizi ni stika moja tu ya fireHongera gari nzuri sana sema punguza hizo stiker kwenye kioo umebandika hadi za Nssf nini mkuu...
Sasa mbona zipo stiker nyingi hapo hizo zingine zimetoka wapi...hao fire wenyewe inatakiwa wafutwe uhuni tuu..Hahahahahaaa... mbona za nssf mkuu... siku hizi ni stika moja tu ya fire
Wanaume ni kupeana moyo..hata kama tunajua yajayo ni mazito 😂Kwa gari moja, unakua umepinguza tu, tu siyo kuepuka kabisa. Angala atakapokua na uwezo wa kumiki gari tatu.
Hapana! Neema ya mola wako simulie.Hongera ila ukiishi kimya kimya bila kutangaza mambo yako itaishi poa sana...
Ila pia kuwasimilia ni kama unawapa silaha ya kukufanyia maisha yawe magumu... watu ni wa hovyo sana hapa dunianiHapan! Neema ya mola wako simulie.
Wahaya kwa kujisifu hamjambo!Ukinunua boti ya kfaharii/yatch usisite kuleta habari.Sasa daladala bye bye
Kaa vizuri na Mungu
Muda huu nipo hapa Banana Big John Katika Sheli ya Petro Africa
Vijana tuishi Katika Mungu Mimi hii namba C inanitosha
View attachment 2428933